Matumizi ni software za design za autodesk, revit, ms-project, prota softwares na zinazofanana na hizo.Matumizi ni yapi? Ukaaji chaji muhimu kwako? Generation mpya za Cpu zinatoka muda si mrefu mwezi wa 6 mpaka wa 9, Zen 5 za Amd, Lunar lake za Intel na Snapdragon X za Qualcomm zote hizo zitakua ni efficiency sana kwenye ulaji umeme.
Otherwise kwa generation za sasa hio i9 ama Ryzen 9 za zen 3 ama i9 za 13th gen hazitakua na utofauti sana,
Binafsi ningeagizishia online hapo unaweza save 2-3M kwa kuagizishia mwenyewe.
Kujibu swali lako ya juu ni nzuri zaidi.
Hio hela unanunua MacBook nzuri for such heavy task kachukue hata M1 still performance itakua nzuri sana.Matumizi ni software za design za autodesk, revit, ms-project, prota softwares na zinazofanana na hizo.
Chaji sio muhimu sana maana pc ni ya kutumia home.
Online nicheki wapi? Maana kwa amazon zinarange kwenye 5m
Ina specification nzuri zaidi mkuuKwa vigezo vipi kaka?
Hizi PC zimetoka hivi karibuni, so refub hazipo bado sokoniHio hela unanunua MacBook nzuri for such heavy task kachukue hata M1 still performance itakua nzuri sana.
Windows ikianza beba update and as you add applications inakua slow.
Kwa kununua angalia eBay pia hukosi refurbished/used nzuri tu or agiza dubai watu kibao wapo huko and wana office mjini hapa
Mkuu kinachongeza bei ni hizo Cpu za Meteorlake i9 na mambo ya AI ila hio Cpu haina maajabu compare na i9 gen ya 13 ama Ryzen 9 ya Zen 4, so ushauri wangu nenda Amazon halafu search laptop zenye hizo GPU utaona Rtx 4060 zinaanzia around $800 hivi.Matumizi ni software za design za autodesk, revit, ms-project, prota softwares na zinazofanana na hizo.
Chaji sio muhimu sana maana pc ni ya kutumia home.
Online nicheki wapi? Maana kwa amazon zinarange kwenye 5m
@Mkwawa,kwenye kuchukua mzigo ikoje ukifika hapa mjini gharama ni kubwa nasikia kuchukua as posta/agents wanatoza kodi kubwa almost the same na uliochukulia mzigoMkuu kinachongeza bei ni hizo Cpu za Meteorlake i9 na mambo ya AI ila hio Cpu haina maajabu compare na i9 gen ya 13 ama Ryzen 9 ya Zen 4, so ushauri wangu nenda Amazon halafu search laptop zenye hizo GPU utaona Rtx 4060 zinaanzia around $800 hivi.
Pia Cpu sio lazima iwe i9 ama ryzen 9, kuna case kibao sababu ya thermal za Laptop Ryzen 7 ama i7 zikawa zina perfomance kubwa zaidi. Ukipata Ryzen 7 7840H itakua vyema zaidi kwa kazi zako. Rtx 4070 na hio Cpu around 1.2-1.4K usd unapata.
Mkuu hilo tatizo lipo ila kwa ufahamu wangu computer hazina charges ama zinachajiwa tu asilimia 18 za VAT.@Mkwawa,kwenye kuchukua mzigo ikoje ukifika hapa mjini gharama ni kubwa nasikia kuchukua as posta/agents wanatoza kodi kubwa almost the same na uliochukulia mzigo
Thanks maana watu wanalia sn na hii kituMkuu hilo tatizo lipo ila kwa ufahamu wangu computer hazina charges ama zinachajiwa tu asilimia 18 za VAT.
Amazon siku hizi wanaanza kuandika charges kule kule kwenye website yao inakua haina longo longo sana, wenye shida ni hawa ma Agent wa Airport ndio wana tabia za kubambikia watu gharama so mzigo usipopitia kwao shida nazo zinapungua.
Mkuu kule pm nimekutext msaada tafadhali.Matumizi ni yapi? Ukaaji chaji muhimu kwako? Generation mpya za Cpu zinatoka muda si mrefu mwezi wa 6 mpaka wa 9, Zen 5 za Amd, Lunar lake za Intel na Snapdragon X za Qualcomm zote hizo zitakua ni efficiency sana kwenye ulaji umeme.
Otherwise kwa generation za sasa hio i9 ama Ryzen 9 za zen 3 ama i9 za 13th gen hazitakua na utofauti sana,
Binafsi ningeagizishia online hapo unaweza save 2-3M kwa kuagizishia mwenyewe.
Kujibu swali lako ya juu ni nzuri zaidi.
Matumizi ni software za design za autodesk, revit, ms-project, prota softwares na zinazofanana na hizo.
Chaji sio muhimu sana maana pc ni ya kutumia home.
Online nicheki wapi? Maana kwa amazon zinarange kwenye 5m