Nichukue laptop ipi kati ya hizi mbili?

Nichukue laptop ipi kati ya hizi mbili?

Mh Hizo mashine ni nzito haswa, sijajua kipato chako ila kwa matumizi uliyoorodhesha hayaitaji mashine nzito hivyo.
Labda kama utatumia autodesk maya na ufanye rendering ila kama ni autoCAD hizo mashine ni overkill
rendering sifanyi. sipendi tu mashine slow ninapofungua vitu vingi kwa wakati mmoja. so inabidi nipate PC nzuri
 
Mkuu kinachongeza bei ni hizo Cpu za Meteorlake i9 na mambo ya AI ila hio Cpu haina maajabu compare na i9 gen ya 13 ama Ryzen 9 ya Zen 4, so ushauri wangu nenda Amazon halafu search laptop zenye hizo GPU utaona Rtx 4060 zinaanzia around $800 hivi.

Pia Cpu sio lazima iwe i9 ama ryzen 9, kuna case kibao sababu ya thermal za Laptop Ryzen 7 ama i7 zikawa zina perfomance kubwa zaidi. Ukipata Ryzen 7 7840H itakua vyema zaidi kwa kazi zako. Rtx 4070 na hio Cpu around 1.2-1.4K usd unapata.
Chief labda unaweza kunipatia pendekezo kwa PC nzuri ambayo umeshawahi kukutana nayo ina perform vizuri kwenye multitasking na ambayo iko portable, generations za hivi karibuni.

pia i7 ipi itakua na power efficiency nzuri? maana nimechecki comparisons naona i7 13th generation inapitwa mbali na core ultra 9..
 
Kama charge sio muhimu, kwann usiende na custom PC? bei ni nafuu zaidi, na incremental upgrades zinakuwa rahisi.

I built my current PC in 2018, na since then, nimebadilisha GPU mara tatu (RX 580 -> GTX 1070 -> RTX 3070), CPU mara mbili (Ryzen 7 2700X -> Ryzen 7 5700x), mobo mara mbili (ya kwanza iliungua), case mara tatu (bado nataka a better case, sema hizi huwa kipengele kupata at a good price), upgraded from 16 to 32GB RAM na switched from a double monitor setup to triple monitor setup.

In that same time, laptop yangu ya MSI ilikufa mobo na nikakosa fundi huku bongo na hadi Nairobi, XPS iliyokuwa replacement nayo ikafa touchsreen (and was eventually stolen kwenye gari) na current laptop inaanza kupoteza charge.

Nikiangalia cost to benefit ratio, desktop imenibeba zaidi and has been more cost effective (siku nataka 4xxx series GPU nitauza current one as I have before), inakuwa rahisi kubadilisha au kurekebisha partd (only time niliteseka ni when the motherboard ilikufa and I had to wait 2 weeks nipate a new one from Nairobi).View attachment 3015256
asante kwa ushauri jamaa. mimi nilikua nahitaji laptop portable lakini yenye uwezo mkubwa kwasababu ya mizunguko ya hapa na pale pia.

custom setum nadhani nitakuja kuwa nayo, lakini baadaye.
 
Chief labda unaweza kunipatia pendekezo kwa PC nzuri ambayo umeshawahi kukutana nayo ina perform vizuri kwenye multitasking na ambayo iko portable, generations za hivi karibuni.

pia i7 ipi itakua na power efficiency nzuri? maana nimechecki comparisons naona i7 13th generation inapitwa mbali na core ultra 9..
Thermal mkuu, let's say wewe unapenda laptop portable na laptop portable haina cooling system kupoza watts 100-200 uwezo wake inapoza hadi watts 65, so cpu itakayo perform vizuri kwa hizo watts ndio nzuri.

Mimi binafsi ningechukua Ryzen 7 7840H ama i7 13700H ama varieties zake, kwa Laptop Ryzen 9 na core i9 ni unnecessary cost most of time Laptop hazina uwezo wa kusustain hio performance.

Pia advantage ya Gen ya 14 Intel hio Ulio list ni ukaaji chaji kwa load ndogo, na ni more efficienct compare na gen ya 13 ila still gen ya 14 imepitwa na Ryzen hizi za zen 4, so no need kukomaa na Intel hio gen ya 14, na sababu hizo laptop zina Nvidia dedicated Gpu itaziba pengo la Amd kutoka na decoders nzuri za media.

Kuhusu Laptop ya kuchagua, uzuri wa Laptop ni model hio hio inakua na Cpu kama zote, mfano juu umepost Rog Zephyrus, model hio hio ina varieties za Cpu zote.

Wadau wengi ambao ni waatalam wa hizi proffesion wana recomend Asus Rog Zephyrus 16/14 ama Lenovo Legion 7i zote hizi zitakusimamia around 1.5K usd Amazon.

Jambo jengine muhimu la kufahamu Lpddr5 ram ni soldered kwenye motherboard hazitoki, Hapo Amazon nimeona 2TB ssd na 16GB ram na 32GB ram na 1TB ssd ni bei moja, prioritize ram chukua kubwa kadri utakavyoweza then ssd utakuja ku upgrade mbele ya safari.
 
1. 2024 ASUS ROG Zephyrus G16
GU605MI-G16.U94070
Intel Core Ultra 9 185H
16GB RAM
1TB NVMe SSD
NVIDIA GeForce RTX 4070
16" 240Hz OLED
6.1m

2. LENOVO LEGION PRO 5 16IRX8
1TB SSD
32GB RAM
CORE I9 113th gen
INVIDIA GEFORCE RTX 4060 (8GB) DEDICATED
WINDOWS 11 HOME
16.0” WQXGA
BATTER 4 CELL
5.7m
Rtx 4060 ,[emoji91] balaha hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Paa
Weka fifa 24 updated ucheze

Sent using Jamii Forums mobile app
Still ni overkill
IMG_20240614_080703.jpg
 
  • Thanks
Reactions: Paa
1. 2024 ASUS ROG Zephyrus G16
GU605MI-G16.U94070
Intel Core Ultra 9 185H
16GB RAM
1TB NVMe SSD
NVIDIA GeForce RTX 4070
16" 240Hz OLED
6.1m

2. LENOVO LEGION PRO 5 16IRX8
1TB SSD
32GB RAM
CORE I9 113th gen
INVIDIA GEFORCE RTX 4060 (8GB) DEDICATED
WINDOWS 11 HOME
16.0” WQXGA
BATTER 4 CELL
5.7m
Kwa hizo price chukua Macbook Pro M1 14inch

M1 Max, 10-core CPU, 32-core GPU, 32GB unified memory, 1TB storage.
MacBook Pro (16-inch, 2021) - Technical Specifications - Apple Support.
 
  • Thanks
Reactions: Paa
Thermal mkuu, let's say wewe unapenda laptop portable na laptop portable haina cooling system kupoza watts 100-200 uwezo wake inapoza hadi watts 65, so cpu itakayo perform vizuri kwa hizo watts ndio nzuri.

Mimi binafsi ningechukua Ryzen 7 7840H ama i7 13700H ama varieties zake, kwa Laptop Ryzen 9 na core i9 ni unnecessary cost most of time Laptop hazina uwezo wa kusustain hio performance.

Pia advantage ya Gen ya 14 Intel hio Ulio list ni ukaaji chaji kwa load ndogo, na ni more efficienct compare na gen ya 13 ila still gen ya 14 imepitwa na Ryzen hizi za zen 4, so no need kukomaa na Intel hio gen ya 14, na sababu hizo laptop zina Nvidia dedicated Gpu itaziba pengo la Amd kutoka na decoders nzuri za media.

Kuhusu Laptop ya kuchagua, uzuri wa Laptop ni model hio hio inakua na Cpu kama zote, mfano juu umepost Rog Zephyrus, model hio hio ina varieties za Cpu zote.

Wadau wengi ambao ni waatalam wa hizi proffesion wana recomend Asus Rog Zephyrus 16/14 ama Lenovo Legion 7i zote hizi zitakusimamia around 1.5K usd Amazon.

Jambo jengine muhimu la kufahamu Lpddr5 ram ni soldered kwenye motherboard hazitoki, Hapo Amazon nimeona 2TB ssd na 16GB ram na 32GB ram na 1TB ssd ni bei moja, prioritize ram chukua kubwa kadri utakavyoweza then ssd utakuja ku upgrade mbele ya safari.
Mkuu hizi Geolaptop nime ziona kwa Chris Lukosi bei kitonga zina support Ms office je kwa matumizi ya kawaida zinaweza nifaa?
 
Mkuu hizi Geolaptop nime ziona kwa Chris Lukosi bei kitonga zina support Ms office je kwa matumizi ya kawaida zinaweza nifaa?
Specification yake na bei mkuU, ama weka link nikuangalizie
 
Thermal mkuu, let's say wewe unapenda laptop portable na laptop portable haina cooling system kupoza watts 100-200 uwezo wake inapoza hadi watts 65, so cpu itakayo perform vizuri kwa hizo watts ndio nzuri.

Mimi binafsi ningechukua Ryzen 7 7840H ama i7 13700H ama varieties zake, kwa Laptop Ryzen 9 na core i9 ni unnecessary cost most of time Laptop hazina uwezo wa kusustain hio performance.

Pia advantage ya Gen ya 14 Intel hio Ulio list ni ukaaji chaji kwa load ndogo, na ni more efficienct compare na gen ya 13 ila still gen ya 14 imepitwa na Ryzen hizi za zen 4, so no need kukomaa na Intel hio gen ya 14, na sababu hizo laptop zina Nvidia dedicated Gpu itaziba pengo la Amd kutoka na decoders nzuri za media.

Kuhusu Laptop ya kuchagua, uzuri wa Laptop ni model hio hio inakua na Cpu kama zote, mfano juu umepost Rog Zephyrus, model hio hio ina varieties za Cpu zote.

Wadau wengi ambao ni waatalam wa hizi proffesion wana recomend Asus Rog Zephyrus 16/14 ama Lenovo Legion 7i zote hizi zitakusimamia around 1.5K usd Amazon.

Jambo jengine muhimu la kufahamu Lpddr5 ram ni soldered kwenye motherboard hazitoki, Hapo Amazon nimeona 2TB ssd na 16GB ram na 32GB ram na 1TB ssd ni bei moja, prioritize ram chukua kubwa kadri utakavyoweza then ssd utakuja ku upgrade mbele ya safari.
Asante sana Chief hapo nimekuelewa vizuri.🙏🏿
 
Back
Top Bottom