Nichukue mkopo bank gani?

fleha

Senior Member
Joined
Oct 9, 2014
Posts
111
Reaction score
103
Habari zenu wakuu.

Nina idea ya biashara ila nina changamoto ya mtaji, hivyo nimeshawishika kuingia bank kupata mkopo kwa dhamana ya nyumba yangu.. swali ni, je?

Bank gani itakuwa option bora zaidi kwa maana ya unafuu wa masharti, udogo wa riba na uharaka wa kupata mkopo wenyewe.

Natanguliza shukrani zangu
 
Hiyo biashara umeshaanza au ndio unafikiria upate mtaji uanze??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…