Anza kwa namna nyingine hata kidogo. Unless hiyo nyumba unataka kuiuza.Sina mali nyingine ya kunidhamini ndugu
Si tulikubaliana kuwa mikopo huwa ni kwaajaili ya kuendeleza au kukuza biashara.
Huyu mkuu alikuaga wapi siku ya kikao?
Hutaweza kulipa kwa biashara mpya ambayo huijui na hujawahi kufanya.Si ni mpaka nishindwe kulipa
Usichukue mkopo bank Kuanzia biasharaNdo nataka kupata mtaji niianze mkuu
Please don't dareNdo nataka kupata mtaji niianze mkuu
Una nini mikononi mwako?Kwenye kuanza tunapata wapi mitaji?
naunga mkono hoja hii.Naelewa hio hali bosi,
Kama hamna njia kabisa, basi nenda CRDB...
Pambana Boss na pole, unaweza ukabadiri hii picha iliyojengeka kua
1. huwezi kuchomoa kwa kukopa ili uannze mwanzo...
2 Lakini pia unaweza ukaidhihirisha...
Advantage uliyonayo ni kwamba unaingia ukijua kuna #1.
Uaimtishe,mikopo Ni mizuri sanaUSILOGWE/USITHUBUTU