Alisina
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 4,178
- 4,449
Umenikumbushaa mbalii aisee..Kumjadili ngwini huo ni ufala
Kuna Lecturer mmoja Alikuwa anawatania sana NGwini,alikuwa analipenda sana neno ngwini.
Tumefika siku ya kwanza mlangoni kulamba Algebra,Integral & Diff Tunakutana na neno NGwini.