Nick wa Pili bado ana ushamba fulani hivi wa kishule shule

Nick wa Pili bado ana ushamba fulani hivi wa kishule shule

Nimeipenda sana hii comment kwenye post yake iliyofuatia ambayo nick kajirudi
IMG_20190517_231100_384.JPG
 
nina waza kama wewe.. nick namfananisha na rafiki yangu mmoja sekondari yeye alikuwa anapenda sana kutuambia vitu vinavyochanganya ili tumwone anafuatilia vitu..
mjanja wa town.. anasoma sana nk.
.
.
wasomaji hawapo kama yeye.. anagusa gusa vitabu halafu anakuja kutudanganya na vi quotes!!
.
.
 
Hapo vip!!
Binafsi mimi ni mtu wa Arusha, ila Nick wa pili sijawahi kumkubali kabisa.

Kwanza hatua aliyofikia kuikosoa Biblia kisa Mwanamke, ni kumkosea muumba wake na kuwakosea wakristo wote Duniani.

Nick2,wakati anamvalisha Mchumba wake pete ambapo ni jambo jema kabisa.
Baada ya tukio hilo akasema sio kweli kuwa mwanaume ndio wakwanza kuumba na Mungu ila imeendikwa hivyo kwasababu Bliblia imeendikwa na wanaume.Hivyo eti ni mfumo dume.

Yeye amefanya Wap utafiti akajua yaliandikwa kwenye Bliblia sio kweli, au ameshushiwa kitabu kingine na Mungu inayopinga na Bliblia? Kwa sababu hauwezi unatumia akili za music na banki kupinga Bliblia.

Huyu jamaa binafsi sijawahi kumkubali, huwa namuonaga mshamba fulani hivi,kwa namna alivyo ikosoa Bliblia ni kiwango cha akili ya watoto wa form Two wanao balehe.

Huyu anajionaga smart kuliko Kila mtu..huu ni ushamba, angekuwa angekuwa smart kuliko Kila kitu angegundua Kila kitu ndege, magari, simu n. K...
Nasishangai wakatokea wafuasi wake, kwasababu katika jambo lolote liwe la kipumbavu au la maana, lazima linawafuasi, mfano hata nabii Tito alikuwa na wafuasi kindaki ndani, lakini mwisho wa siku nabii Tito alikuja kuokoka, akakiri upumbavu na Uovu wake, lakini kumbuka katika upumbavu alikuwa na wafuasi.
Usiumize kichwa kwa maneno ya wasanii,mda wote wapo stejini au location.
 
Nani alikuambia Biblia imeandikwa na Mungu!?? Vitabu vya mwanzo,kutoka,mambo ya walawi,hesabu na kumbukumbu la Torati vimeandikwa na Mussa. Biblia ni mkusanyiko wa vitabu. Hata injili hao wainjilist mathayo,Marko,Luka na Yohane ndiyo walioandika hizo injili. Na kati yao,Marko ndo mwinjilist Msomi kuliko hao wengine. Ndo maana injili ya Marko ipo tofauti sana na zile zingine.

Ndugu, husipende kujikita ktk jambo ambalo huwezi kuliongelea kwa ufasaha.
 
Ila tz kuna watu wa ajabu sana...hivi inakuaje mtu anamuunga mkono nick hadharani.?
kuna wakati wa kusema na pia kuna wakati wa kukaa kimya, je, kulikua kuna ulazima gani Nick kuandika maneno yale public?.
kiuhalisia Nick ametumia mihemko ya darasa la 3 B
 
Siku hizi mtu kuwa na masters siyo issue maana vijana wakimaliza degree ya kwanza ajira hamna anaanza kusoma masters tukirudi kwenye mada Hutu Nikki huwa nasoma post zake na interview zake upeo wake uko chini sana japokuwa kugundua hilo inategemea na wewe una upeo gani!...kingine habadiliki yeye kila kitu shule tu anafikiria kama mwanafunzi muda wrote!...tulivyokuwa vyuoni tukikuwa tunafikiria vitu Fulani ambavyo baada ya kufika uraiani tunaona ni tofauti sana
 
Me too simpendagi kusema ukwel ana kisabengo kujiona anajua kumbe kuna watu smart zaid yake apite hv kabsaaa[emoji118][emoji118][emoji118][emoji118]
 
Hapo vip!!
Binafsi mimi ni mtu wa Arusha, ila Nick wa pili sijawahi kumkubali kabisa.

Kwanza hatua aliyofikia kuikosoa Biblia kisa Mwanamke, ni kumkosea muumba wake na kuwakosea wakristo wote Duniani.

Nick2,wakati anamvalisha Mchumba wake pete ambapo ni jambo jema kabisa.
Baada ya tukio hilo akasema sio kweli kuwa mwanaume ndio wakwanza kuumba na Mungu ila imeendikwa hivyo kwasababu Bliblia imeendikwa na wanaume.Hivyo eti ni mfumo dume.

Yeye amefanya Wap utafiti akajua yaliandikwa kwenye Bliblia sio kweli, au ameshushiwa kitabu kingine na Mungu inayopinga na Bliblia? Kwa sababu hauwezi unatumia akili za music na banki kupinga Bliblia.

Huyu jamaa binafsi sijawahi kumkubali, huwa namuonaga mshamba fulani hivi,kwa namna alivyo ikosoa Bliblia ni kiwango cha akili ya watoto wa form Two wanao balehe.

Huyu anajionaga smart kuliko Kila mtu..huu ni ushamba, angekuwa angekuwa smart kuliko Kila kitu angegundua Kila kitu ndege, magari, simu n. K...
Nasishangai wakatokea wafuasi wake, kwasababu katika jambo lolote liwe la kipumbavu au la maana, lazima linawafuasi, mfano hata nabii Tito alikuwa na wafuasi kindaki ndani, lakini mwisho wa siku nabii Tito alikuja kuokoka, akakiri upumbavu na Uovu wake, lakini kumbuka katika upumbavu alikuwa na wafuasi.
o

kauli ya Nick wa pili kuhusu biblia
Kauli ya Makonda kuhusu wachaga

hazina shida yoyote isipokuwa kizazi hiki cha kudekadeka, kulalamika, kugumia

sasa kama haujawahi kumkumbali kilichokufanya usome jumbe zake ba kufuatilia maisha yake ni nini?
 
Yuko sahihi kwenye point ipi?
Kwamba binadamu wa kwanza kuumbwa hakuwa mwanaume?
Au biblia iliandikwa na wanaume?
Anyway: ingewekwa hapa nukuu kamili ingekuwa rahisi kujadili, maana unaposema binadamu wa kwanza siyo mwanaume, inabidi tupate maelezo ya wa kwanza ni nani na uumbaji wake ulikuwaje.
Nina wasiwasi jamaa atakuwa alishasoma soma issues za Holy Grail ila kashindwa kuifafanua vizuri.
Nickk bado hajitambui pamoja na hako ka master chake ukiona binadamu yoyote analingana na maneno ya mungu usiloteze hata sekunde mmsimiliza.
 
kweli jamaa hakuongea kitu ambacho hauji maana yake kama yeye anajua hivo kwanini anataka amuoe na utasikia ataenda kanisani na atasoma na kufata kitabu kile kile atakacho kikosoa mpuuzi na hana akili....na pia tukija katika hali ya kawaida mwanaume ni mwanaume yeye aoe halafu ashindwe kumhudumia kw mahitaji anayoyahitaji mwanamke wake uone kama hata enda kumvulia mwanaume mwingine au akose pesa
Dan lokomotive...kweli umeona mbali..huyu nikk ni mjinga sana umaarufu hauji kwa kutafuta kiki kwa neno la mungu..
 
Back
Top Bottom