Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hakuna bunge hapo ni genge la matapeli tupuWabunge hawa hawana akili nchi ipo kwenye mkwamo wa mafuta wao wapo busy kujadili mambo mwingine tofauti poor tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna bunge hapo ni genge la matapeli tupuWabunge hawa hawana akili nchi ipo kwenye mkwamo wa mafuta wao wapo busy kujadili mambo mwingine tofauti poor tanzania
wananchi nao wanajuwa wanambunge,Mbunge wa jimbo la Mbogwe Nicodemas Maganga, amesema Tanzania inabidi ichague lugha kutoka kwenye kabila moja hapa nchini ikiwemo Kisukuma kwa ajili ya kuiweka kwenye system itakayopelekea Wachina ama Wazungu watakapokuja nchini waisomee na itumike katika biashara.
![]()
Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 11, 2022, bungeni jijini Dodoma na kuongeza kuwa waangalie mifano kutoka mataifa mengine yanayotumia lugha zao hadi kwenye vyombo vya habari.
"Mimi ni Msukuma lugha yangu mkiipa nafasi mkaweka kwenye system, Kisukuma kikiingia kwenye computer Wachina watakuja kujifunza hapa, hata Wazungu wakija kwenye migodi yetu wakakuta Askari wanazungumza Kisukuma tu hiyo hali itawafanya wakisomee, lazima tukae tufikirie tunawachenga vipi kwenye huu ulimwengu wa kutafuta pesa," amesema Mbunge Maganga
Huyu mbunge hajui Kiswahili tayari ni lugha ya taifa?Mbunge wa jimbo la Mbogwe Nicodemas Maganga, amesema Tanzania inabidi ichague lugha kutoka kwenye kabila moja hapa nchini ikiwemo Kisukuma kwa ajili ya kuiweka kwenye system itakayopelekea Wachina ama Wazungu watakapokuja nchini waisomee na itumike katika biashara.
![]()
Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 11, 2022, bungeni jijini Dodoma na kuongeza kuwa waangalie mifano kutoka mataifa mengine yanayotumia lugha zao hadi kwenye vyombo vya habari.
"Mimi ni Msukuma lugha yangu mkiipa nafasi mkaweka kwenye system, Kisukuma kikiingia kwenye computer Wachina watakuja kujifunza hapa, hata Wazungu wakija kwenye migodi yetu wakakuta Askari wanazungumza Kisukuma tu hiyo hali itawafanya wakisomee, lazima tukae tufikirie tunawachenga vipi kwenye huu ulimwengu wa kutafuta pesa," amesema Mbunge Maganga
HahahaSukuma watabakia tu kuwa washamba na ujinga juu...hapa ndio level yake ya kufikiri ilipofikia..
Kuna watu wakiongea vitu, wewe msikilizaji ndio unaona aibuMbunge wa jimbo la Mbogwe Nicodemas Maganga, amesema Tanzania inabidi ichague lugha kutoka kwenye kabila moja hapa nchini ikiwemo Kisukuma kwa ajili ya kuiweka kwenye system itakayopelekea Wachina ama Wazungu watakapokuja nchini waisomee na itumike katika biashara.
![]()
Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 11, 2022, bungeni jijini Dodoma na kuongeza kuwa waangalie mifano kutoka mataifa mengine yanayotumia lugha zao hadi kwenye vyombo vya habari.
"Mimi ni Msukuma lugha yangu mkiipa nafasi mkaweka kwenye system, Kisukuma kikiingia kwenye computer Wachina watakuja kujifunza hapa, hata Wazungu wakija kwenye migodi yetu wakakuta Askari wanazungumza Kisukuma tu hiyo hali itawafanya wakisomee, lazima tukae tufikirie tunawachenga vipi kwenye huu ulimwengu wa kutafuta pesa," amesema Mbunge Maganga
Wabunge wa CCM hao.... kazi ipoMbunge wa jimbo la Mbogwe Nicodemas Maganga, amesema Tanzania inabidi ichague lugha kutoka kwenye kabila moja hapa nchini ikiwemo Kisukuma kwa ajili ya kuiweka kwenye system itakayopelekea Wachina ama Wazungu watakapokuja nchini waisomee na itumike katika biashara.
![]()
Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 11, 2022, bungeni jijini Dodoma na kuongeza kuwa waangalie mifano kutoka mataifa mengine yanayotumia lugha zao hadi kwenye vyombo vya habari.
"Mimi ni Msukuma lugha yangu mkiipa nafasi mkaweka kwenye system, Kisukuma kikiingia kwenye computer Wachina watakuja kujifunza hapa, hata Wazungu wakija kwenye migodi yetu wakakuta Askari wanazungumza Kisukuma tu hiyo hali itawafanya wakisomee, lazima tukae tufikirie tunawachenga vipi kwenye huu ulimwengu wa kutafuta pesa," amesema Mbunge Maganga
Hakika, Huyu nae kesho kutwa ni WaziriKuna watu wakiongea vitu, wewe msikilizaji ndio unaona aibu
yeye na waliyemleta wote wapumbavu
Wanakula, urefu wa kamba zao mkuu,Bunge letu linajadili mambo ovyo sana
Ova
Kuna watu wakiongea vitu, wewe msikilizaji ndio unaona aibu
Wacha Weeee !!Mbunge wa jimbo la Mbogwe Nicodemas Maganga, amesema Tanzania inabidi ichague lugha kutoka kwenye kabila moja hapa nchini ikiwemo Kisukuma kwa ajili ya kuiweka kwenye system itakayopelekea Wachina ama Wazungu watakapokuja nchini waisomee na itumike katika biashara.
![]()
Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 11, 2022, bungeni jijini Dodoma na kuongeza kuwa waangalie mifano kutoka mataifa mengine yanayotumia lugha zao hadi kwenye vyombo vya habari.
"Mimi ni Msukuma lugha yangu mkiipa nafasi mkaweka kwenye system, Kisukuma kikiingia kwenye computer Wachina watakuja kujifunza hapa, hata Wazungu wakija kwenye migodi yetu wakakuta Askari wanazungumza Kisukuma tu hiyo hali itawafanya wakisomee, lazima tukae tufikirie tunawachenga vipi kwenye huu ulimwengu wa kutafuta pesa," amesema Mbunge Maganga
Huyu mbunge ni kati ya wapumbavu walioteuliwa kipindi cha mwendazake.Mbunge wa jimbo la Mbogwe Nicodemas Maganga, amesema Tanzania inabidi ichague lugha kutoka kwenye kabila moja hapa nchini ikiwemo Kisukuma kwa ajili ya kuiweka kwenye system itakayopelekea Wachina ama Wazungu watakapokuja nchini waisomee na itumike katika biashara.
![]()
Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 11, 2022, bungeni jijini Dodoma na kuongeza kuwa waangalie mifano kutoka mataifa mengine yanayotumia lugha zao hadi kwenye vyombo vya habari.
"Mimi ni Msukuma lugha yangu mkiipa nafasi mkaweka kwenye system, Kisukuma kikiingia kwenye computer Wachina watakuja kujifunza hapa, hata Wazungu wakija kwenye migodi yetu wakakuta Askari wanazungumza Kisukuma tu hiyo hali itawafanya wakisomee, lazima tukae tufikirie tunawachenga vipi kwenye huu ulimwengu wa kutafuta pesa," amesema Mbunge Maganga
Duuuuuuh Kama hawa ndio wasomi wetu Basi tume kwama pakubwa Kama taifa, maskini nchi yangu Tanzania [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Safari hii tuna bunge limejaa uharo mtupu! Mwendazake hakututendea haki kwa kweli!
Na ni rahisi sana kujifunza na kuelewa kwa watu wa makabila na race zingineJambo la busara sana hilo
Tena kisukuma kinazungumzwa na watu wengi
Angeileta kipindi kile cha Shujaa fake wa Africa aliekuzimu huko Chato.Hiiiiiiiiiiiiiii, amechelewa kuileta hiyo hoja mezani, ni kama amepishana na gari la mshahara [emoji205]
Ila si tuna Kiswahili tayari, kwa nini tukiache?Na ni rahisi sana kujifunza na kuelewa kwa watu wa makabila na race zingine
Hii haina maana ya kwamba tunakipa kisogo kiswahili bali tunatanua wigo wa njia (media) za mawasiliano kwa watu wengi zaidi ikizingatiwa kuwa pamoja na kwamba kiswahili ndio lugha yetu kuu ya mawasiliano lakini kuna kundi kubwa la watu wasiojua kiswahili fasaha ama katika maeneo fulani wanatumia lugha zao za asili kama lugha kuu ya mawasiliano. Aidha watu hawa ndio wasambazaji au walaji wakubwa wa bidhaa mbalimbali, pia ndio watoa huduma wakuu.Ila si tuna Kiswahili tayari, kwa nini tukiache?