Nicodemas Maganga, Mbunge wa Mbogwe ataka Kisukuma kiwe Lugha ya Biashara Tanzania

Nicodemas Maganga, Mbunge wa Mbogwe ataka Kisukuma kiwe Lugha ya Biashara Tanzania

Hii haina maana ya kwamba tunakipa kisogo kiswahili bali tunatanua wigo wa njia (media) za mawasiliano kwa watu wengi zaidi ikizingatiwa kuwa pamoja na kwamba kiswahili ndio lugha yetu kuu ya mawasiliano lakini kuna kundi kubwa la watu wasiojua kiswahili fasaha ama katika maeneo fulani wanatumia lugha zao za asili kama lugha kuu ya mawasiliano. Aidha watu hawa ndio wasambazaji au walaji wakubwa wa bidhaa mbalimbali, pia ndio watoa huduma wakuu.
Kiswahili hakitoshi? Ni wananchi wa wapi huko ambako hawajui Kiswahili? Na kama hawajui Kiswahili kwa nini wasifundishwe wakakijua badala yake tuwafundishe Kisukma?
 
Mbunge wa jimbo la Mbogwe Nicodemas Maganga, amesema Tanzania inabidi ichague lugha kutoka kwenye kabila moja hapa nchini ikiwemo Kisukuma kwa ajili ya kuiweka kwenye system itakayopelekea Wachina ama Wazungu watakapokuja nchini waisomee na itumike katika biashara.



mbogwe%202.jpg


Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 11, 2022, bungeni jijini Dodoma na kuongeza kuwa waangalie mifano kutoka mataifa mengine yanayotumia lugha zao hadi kwenye vyombo vya habari.

"Mimi ni Msukuma lugha yangu mkiipa nafasi mkaweka kwenye system, Kisukuma kikiingia kwenye computer Wachina watakuja kujifunza hapa, hata Wazungu wakija kwenye migodi yetu wakakuta Askari wanazungumza Kisukuma tu hiyo hali itawafanya wakisomee, lazima tukae tufikirie tunawachenga vipi kwenye huu ulimwengu wa kutafuta pesa," amesema Mbunge Maganga
Kuna lugha inayotuunganisha ya Kiswahili sasa lugha ya kabila moja tena ya nini. Ukabila huo. Kwa nini nijifunze lugha isiyokuwa ya kabila langu wakati kuna lugha isiyokuwa ya kabila moja inayotuunganisha.
 
Hayo ni maandalizi ya Nyanza Nation.

Tuwe na lugha yetu nayo ni kisukuma mji wetu mkuu ni Mwanza.

Wasukuma hoye.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ujinga wa watu flani hao wasiojua Kiswahili vizuri.
Mbunge wa jimbo la Mbogwe Nicodemas Maganga, amesema Tanzania inabidi ichague lugha kutoka kwenye kabila moja hapa nchini ikiwemo Kisukuma kwa ajili ya kuiweka kwenye system itakayopelekea Wachina ama Wazungu watakapokuja nchini waisomee na itumike katika biashara.



mbogwe%202.jpg


Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 11, 2022, bungeni jijini Dodoma na kuongeza kuwa waangalie mifano kutoka mataifa mengine yanayotumia lugha zao hadi kwenye vyombo vya habari.

"Mimi ni Msukuma lugha yangu mkiipa nafasi mkaweka kwenye system, Kisukuma kikiingia kwenye computer Wachina watakuja kujifunza hapa, hata Wazungu wakija kwenye migodi yetu wakakuta Askari wanazungumza Kisukuma tu hiyo hali itawafanya wakisomee, lazima tukae tufikirie tunawachenga vipi kwenye huu ulimwengu wa kutafuta pesa," amesema Mbunge Maganga
wa
 
Mbunge wa jimbo la Mbogwe Nicodemas Maganga, amesema Tanzania inabidi ichague lugha kutoka kwenye kabila moja hapa nchini ikiwemo Kisukuma kwa ajili ya kuiweka kwenye system itakayopelekea Wachina ama Wazungu watakapokuja nchini waisomee na itumike katika biashara.



mbogwe%202.jpg


Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 11, 2022, bungeni jijini Dodoma na kuongeza kuwa waangalie mifano kutoka mataifa mengine yanayotumia lugha zao hadi kwenye vyombo vya habari.

"Mimi ni Msukuma lugha yangu mkiipa nafasi mkaweka kwenye system, Kisukuma kikiingia kwenye computer Wachina watakuja kujifunza hapa, hata Wazungu wakija kwenye migodi yetu wakakuta Askari wanazungumza Kisukuma tu hiyo hali itawafanya wakisomee, lazima tukae tufikirie tunawachenga vipi kwenye huu ulimwengu wa kutafuta pesa," amesema Mbunge Maganga


Inashangaza mbunge kuongea Kama mtoto, maneno hayo yalipaswa kutolewa na wanafunzi wa Kidato cha pili wanaobishana,

Sio mtu mzima tena mwenye Cheo cha ubunge
 
Hivi lile somo la historia yenu liliishia wapi
 
Hadi nimehisi kichefuchefu kwa hoja yake ya kipumbavu
 
Mbunge wa jimbo la Mbogwe Nicodemas Maganga, amesema Tanzania inabidi ichague lugha kutoka kwenye kabila moja hapa nchini ikiwemo Kisukuma kwa ajili ya kuiweka kwenye system itakayopelekea Wachina ama Wazungu watakapokuja nchini waisomee na itumike katika biashara.



mbogwe%202.jpg


Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 11, 2022, bungeni jijini Dodoma na kuongeza kuwa waangalie mifano kutoka mataifa mengine yanayotumia lugha zao hadi kwenye vyombo vya habari.

"Mimi ni Msukuma lugha yangu mkiipa nafasi mkaweka kwenye system, Kisukuma kikiingia kwenye computer Wachina watakuja kujifunza hapa, hata Wazungu wakija kwenye migodi yetu wakakuta Askari wanazungumza Kisukuma tu hiyo hali itawafanya wakisomee, lazima tukae tufikirie tunawachenga vipi kwenye huu ulimwengu wa kutafuta pesa," amesema Mbunge Maganga
Alishapona huyu?
 
2020 tuliachiwa wapumbavu wengi mjengoni, kuna mtu aliweka wapumbavu wengi ili atawale milele
 
Wabunge hawa hawana akili nchi ipo kwenye mkwamo wa mafuta wao wapo busy kujadili mambo mwingine tofauti poor tanzania
Mkuu sio hawana akili tu bali ni wapumbavu na wabinafsi tena wakabila wakubwa sana na hawa ndio walikhwa wakimpoteza yule buana
 
Back
Top Bottom