Magufuli ndio jembe mchapa kazi bora.Kulikuwa na dada mmoja mrembo sana "Female Assassin" wa idara ya ujasusi ya KGB aliwahi kuficha risasi mbili ndani ya uke wake alipoenda kumuua mfanyabiashara mmoja maarufu sana katika hotelini huko jijini Minsk mji mkuu wa nchi ya Belarus.
Mfanyabiashara huyo alikuwa amepishana kauli na serikali ya USSR mwaka 1979.
Nipo ninaiandaa hiyo story alafu ikikamilika nitaiweka humu HARAKA SANA.
Mkuu hii story ilishakamilika? Kama Tayari naomba unitag kakaKulikuwa na dada mmoja mrembo sana "Female Assassin" wa idara ya ujasusi ya KGB aliwahi kuficha risasi mbili ndani ya uke wake alipoenda kumuua mfanyabiashara mmoja maarufu sana katika hotelini huko jijini Minsk mji mkuu wa nchi ya Belarus.
Mfanyabiashara huyo alikuwa amepishana kauli na serikali ya USSR mwaka 1979.
Nipo ninaiandaa hiyo story alafu ikikamilika nitaiweka humu HARAKA SANA.
Kwa jinsi Rais Magufuli alivyopambana na corona atashinda kwa 100%.Kulikuwa na dada mmoja mrembo sana "Female Assassin" wa idara ya ujasusi ya KGB aliwahi kuficha risasi mbili ndani ya uke wake alipoenda kumuua mfanyabiashara mmoja maarufu sana katika hotelini huko jijini Minsk mji mkuu wa nchi ya Belarus.
Mfanyabiashara huyo alikuwa amepishana kauli na serikali ya USSR mwaka 1979.
Nipo ninaiandaa hiyo story alafu ikikamilika nitaiweka humu HARAKA SANA.
Sawa nitaku-tag mzee baba. Usihofu mkuu.Mkuu hii story ilishakamilika? Kama Tayari naomba unitag kaka
Sawa mzee wa CCMMagufuli ndio jembe mchapa kazi bora.
Dikteta ndio jina mbalo mabeberu wanapenda kuwabatiza viongozi wazalendo kutoka nchi za Eastern Bloc.alikuwa dikteta katili
Aliuwa watu 60,000Dikteta ndio jina mbalo mabeberu wanapenda kuwabatiza viongozi wazalendo kutoka nchi za Eastern Bloc.
U.S.A imeua watu wangapi Afghanistan na Iraq?Aliuwa watu 60,000
Na yeye akauwawa kwa kupigwa risasi hadharani
Umawapenda madikteta kwani???U.S.A imeua watu wangapi Afghanistan na Iraq?
Sijawahi kuwapenda madikteta kama Idd Amin pamoja na Mobutu.Umawapenda madikteta kwani???
Mimi nikisikia neno dikteta tu napata kiharusi.Sijawahi kuwapenda madikteta kama Idd Amin pamoja na Mobutu.
Sipendi double standard...!!!!
Sawa mkuu. Pole sana. Upo kama mimi.Mimi nikisikia neno dikteta tu napata kiharusi.
Hahahahahaaaaa noma sana mzee baba. Huyo ndiye Nicolae wa Romania.Unajifanya mjamaa kmbe wewe mwenyewe unaishi kama bepari.....
Ova
Huyu hakuwa mjamaa mkuuWestern propaganda machinery at work...!!!!!!
Story ya huu jamaa wa Uruguay niliionaga katika TV station ya Al-Jazeera. Rais anatembelea VW Beetle.Mjamaa pekee ni aliyekuwa Rais wa Uruguay
Ni ngumu kiongozi wakijamaa kutokua diktetaDikteta ndio jina mbalo mabeberu wanapenda kuwabatiza viongozi wazalendo kutoka nchi za Eastern Bloc.
Ujamaa ni upumbavu wa kibinaadamStory ya huu jamaa wa Uruguay niliionaga katika TV station ya Al-Jazeera. Rais anatembelea VW Beetle.
Mkuu, kwanini unasema hivyo?Ujamaa ni upumbavu wa kibinaadam