Nicolae Ceauşescu: Swahiba wa Julius Nyerere, Rais wa Romania na mjamaa kindakindaki aliyeuawa kifo cha kumiminiwa risasi na wanajeshi (Firing Squad)

 
Causesco ni kielelezo cha hatari ya kutumia POLISI/JESHI kunyanyasa wananchi ....palitokea maandamano Romania ...akatuma polisi wakashindwa akaagiza Jeshi wakatumia sana nguvu ikashindikana ...option ya mwisho ikawa kuwatishia kuwakanyaga na vifaru nayo wananchi wakagoma .....wakajaribu kwaponda wachache na bado waliokuwa nyuma hawakukimbia ......damu zinamwagika ..
Polisi na wanajeshi wakaruka kwenye vifaru na magari yao kwa hasira na uchungu wakakimbia kuelekea ikulu ....wakamkamata Causesco na kumpeleka bungeni kumshtaki kwa kuwauwa wananchi ...akajibu nyodo ...wakamtwanga risasi akafa
 
Wewe na familia yako kura zenu mkimpa msaliti wa Nchi haitaathiri kitu kwa sababu Dr Magufuli ni kipenzi cha Watanzania na tutampigia kura kwa 98% Vijana wachache wa Chadema mwaka huu mtajiua sana.
 
Asante Rais Magufuli kwa kutupeleka Tanzania katika uchumi wa kati, Mungu akupe afya uendelee kututumikia.
 
Sijawahi kuwapenda madikteta kama Idd Amin pamoja na Mobutu.

Sipendi double standard...!!!!
Iddi Amin alikua mtu poa Sana, alikua mzalendo wa kweli kwa nchi yake, ndio maana
_ akaamua kutangaza Sera ya kuwafukuza raia went asili ya bara Asia Ili arudishe uchumi kwa waganda halisi
_akaamua kuvamia kipande Cha mkoa wa kagera na kulazimisha kiwe ni Uganda(alifanya kwa ajili ya waganda) hakuvamia ili yeye akaishi pale.
_kwa kuwa alikua muislam, aliamua kujiunga na waislam wenzake duniani(Gaddafi) kupigana dhidi ya adui(wewe kwenye comment zako umemuita Western).

Swali linakuja kwako unaposema kwamba Western ndio wanafanya mipango ya kuondoa viongozi wazalendo kwa nchi zao, halafu likija suala la iddi Amin unamuita dikteta, nashindwa kukuelewa vizuri, iweje yule wa kijani(tz) unamtetea na kumuita mzalendo ilhali matendo mengi meusi yametokea wakati wake mpaka mwanae akabatizwa jina la Maliyamungu (Kama yule wa uganda)

Halafu ikija ishu ya iddi Amin unamuona ni dikteta? Ni Bora ukawa wazi kwamba uko upande gani hapa nchini.
 
Hakika binadamu wote tuna hulka ya kutopenda kuridhika.
 
Idd Amin alikuwa mtu mmoja mbaya na mkatili sana mkuu...
Hapana, kwa eidd nitasimama tofauti Sana na wewe ki mtizamo.

Amini nakwambia eidd alikua Bora mara Mia kuliko;

-Nkulunzinza.
-kagame.
-Museveni.
-Mgombea/gari la mkaa.

Wewe ni mliotekwa na propaganda za wazungu.

Amin alikua na maono ya mbali Sana, aliamua kuwaondoa wahindi mitaa ya Kampala ili awaruhusu raia wazawa wamiliki uchumi wao(niambie mgombea alishawahi hata kuwatishia wachina waondoke? Wachina wanaichezea tz watakavyo)

Amin alikua na mpango wa kuiunganisha Africa iwe moja, Yeye na Gaddafi ndio walikua na mipango hiyo kwa dhati kabisa.

Jaribu kufuatilia speech za Amin usikilize mtazamo wake, usikae na kusikiliza propaganda za tanzania , Mambo ya Amin kula nyama za watu, usiamini.
 
USSR
 
Tanzania alituletea mabasi ya kisasa yenye tela ya IKARUSI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…