Nicolae Ceauşescu: Swahiba wa Julius Nyerere, Rais wa Romania na mjamaa kindakindaki aliyeuawa kifo cha kumiminiwa risasi na wanajeshi (Firing Squad)

Ndio maana wanajijengea hadi International airport majumbani kwao.
Au wanaweza kujenga branch kubwa ya Bank inayoweza kuhudumia wateja 1000 kwa siku wakati hapo wapo 30
Kuhusu branch ya bank sijajua kama Mobutu na Idd Amin walijenga kwao
 
A good communist is a dead one , mkomunist hafai kuishi
 
A communist is better off dead ,
 
 
Communism = Devilish rulling system , na Hamna majitu yalioliyoua watu wengi kama makomunist , haya majitu hayafai kuishi , ukianzia Bolsheviks under Lenin, the demon Stallin , Mao , Polpot , Mengitsu nk
 
Huo ujamaa wa huyo Nyerere na rafiki zake umetuletea faida gani Sisi kama nchi ? ,Kama sio dictatorship ,misery , poverty na leadership crisis ambayo wote mnaishuhudia katika huu utawala ?, Nyerere failed miserably with his embrace of a failed & demonic system ( communism ) , angalia vi nchi vidogo kama South Korea , Singapore , Thailand , Taiwan vilivyofanikiwa spectacularly kuingia Hadi G20 Kwa kuembrace capilitalism , nchi zimefamikiwa in almost everything , Sisi na ujima WA kikomunisti mfumo ambao hata waliouanzisha walishauacha wamebaki na mapambio tu , Sisi madubwasha ndio bado tunapambana na uchumi WA mamachinja na peasants ,
Upuuzi
 
..hapo ni kutafuta wachawi tu.

..hila za western powers haziwezi kufanikiwa kama kiongozi anayelengwa ameweka mambo yake sawa, na yuko karibu na wananchi.
Pia kama ambavyo vikosi vya majeshi ya Marekani na washirika wake walivyoua raia wasio na hatia huko Iraq na Afghanistan.
Unalojua vizuri mgogoro WA Afghanistan wewe au unasikia Tu kwenye redio mbao za Lumumba na wewe unameza , unajua ni kiasi gani wasoviet wameua huko Afghanistan ? , Unajua ni manyanyaso na ukatili kiasi gani walipitia mpaka kuamua kupambana kumtoa Mrusi huko ?
 
..hapo ni kutafuta wachawi tu.

..hila za western powers haziwezi kufanikiwa kama kiongozi anayelengwa ameweka mambo yake sawa, na yuko karibu na wananchi.
Pia kama ambavyo vikosi vya majeshi ya Marekani na washirika wake walivyoua raia wasio na hatia huko Iraq na Afghanistan.
Unalojua vizuri mgogoro WA Afghanistan wewe au unasikia Tu kwenye redio mbao za Lumumba na wewe unameza , unajua ni kiasi gani wasoviet wameua huko Afghanistan ? , Unajua ni manyanyaso na ukatili kiasi gani walipitia mpaka kuamua kupambana kumtoa Mrusi huko ?
 
Bongo bahati mbaya kweli kwani nasema uongo ndugu zangu !
 
Bongo bahati mbaya kweli kwani nasema uongo ndugu zangu !
 
Alikuwa mgonjwa wa akili pamoja na mkewe waliojificha nyuma ya madaraka. Alikuwa mfukoni mwa mkewe. Walikuwa awajinga wa kawaida wasio na ujuzi wowote zaidi ya jinai na kujipenda wasijue walikuwa kama inzi juu ya maziwa. Vifo vyao vilifurahisha wapenda haki duniani sawa na vile vya mbwa kama Mobutu, Bokassa, Gnssingbe Eyadema, Omary Bongo, Felix Houphouet Boigny, Marcias Nguema, Jomo Kenyatta, Daniel Moi, Hastings Kamuzu Banda, Saddam Hussein, Adolf Hitler, Benito Musorini, Nero, Caligula, na wengine wengi.
 
Huyu hakuwa mjamaa mkuu
Yeye aliishi kifahari
Mjamaa pekee ni aliyekuwa Rais wa Uruguay

Ova
Si ndio hapo , utasikia Fala mmoja anajiita mi mjamaaa tunauenzi mfumo WA ujamaa , wewe unaujua ujamaa wewe ? Unauishi ujamaa ? . Kila nikiliona lijitu kama jiwe au kabudi na mazezeta wao huwa nahisi kutapika
 

Hiyo tena ni chumvi iliyokithiri.

Zaire haikuwa na airport ya kutua Concord ambayo ilikuwa inasafiri karibia na speed ya sauti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…