Nicole Joy Berry mrembo aliyejulikana kwa kilimo cha vitunguu akamatwa na Polisi kwa tuhuma za utapeli

Nicole Joy Berry mrembo aliyejulikana kwa kilimo cha vitunguu akamatwa na Polisi kwa tuhuma za utapeli

Nafikiri huko lupango wako na choo za kuweka hizo matako, la sivyo wamuache tu.
 
Kun
Wakuu,

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limemkamata Joyce Mbaga maarufu kwa jina la Nicole Joyberry kwa tuhuma za kujipatia pesa kwa njia ya udanganyifu na kufanya biashara ya kuanzisha ma-group na kukusanya pesa kinyume na sheria.

Soma pia: Nicole Berry, mwanadada anayepiga mamilioni kwenye kilimo cha vitunguu Iringa

Taarifa hiyo imetolewa leo na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Jumanne Muliro na kusema matukio hayo yametokea katika maeneo tofauti tofauti ya Jiji la Dar es Salaam na wakati mwingine nje ya mkoa wa Dar es Salaam.


"Matukio haya yametokea ndani na nje ya Dar es Salaam, kwa kuhamasisha baadhi ya watu akianzisha ma-group mbalimbali na kuweka majina hewa kwenye ma-grouup hayo kwamba wanachangia pesa na baada ya muda mfupi basi utapata kiwango kikubwa cha pesa, jambo ambalo baadaye anakuja kutopatikana kwenye simu na kupotea na pesa ambazo watu wamechangia," amesema Kamanda Muliro

Kuna kitu hakipo sawa. Nadharia yangu: Nicole kakosana na mtu wa mfumo, na tena mzito hivyo kamchomekea. Mi nilitegemea wangesema kiasia ambacho katapeli na hao watu 16 mbona wachache sana kusema eti wanejitokeza. Lakini pia inakuwaje wafanye press polisi ilhali matapeli wengine kama akina Mr Kuku hawajawahi wafanyia press. Nicole kama kuna rafiki yake humu anasoma aongee naye huyo waliyekosana na wanalizane. Sidhani kama ni rahisi kiasi hicho kutapeli eti nitengeneze tu group la WhatsApp then mnichangie sidhani. Nadharia yangu ya pili alikuwa mshiriki wa madawa, alichoka na kata kujitoa, hivyo wakamtengenezwa case. Hiyo kuchomoka kwake inabidi atafute watu wazito wa mfumo wamsaidie, kwani kama wametengeneza case itaisha kiurahisi. Ila pole zake mpambanaji
 
Kuna jamaa kaliwa kama 26M na anadeclare kabsa mbele ya Media aiseeh. Unajuliza mtu anafanya kazi daily na ukute ana familia anaenda kuweka hela kwa huyo Dada, sasa unajiuliza tu kwa yule Dada tu alivyo anakutapeli vipi?! Kwenye hili wajinga ni hao waliotapeliwa, huyo Dada anabaki kua shujaa mbele ya hizo nyumbu..senzi!!!
 
Kun

Kuna kitu hakipo sawa. Nadharia yangu: Nicole kakosana na mtu wa mfumo, na tena mzito hivyo kamchomekea. Mi nilitegemea wangesema kiasia ambacho katapeli na hao watu 16 mbona wachache sana kusema eti wanejitokeza. Lakini pia inakuwaje wafanye press polisi ilhali matapeli wengine kama akina Mr Kuku hawajawahi wafanyia press. Nicole kama kuna rafiki yake humu anasoma aongee naye huyo waliyekosana na wanalizane. Sidhani kama ni rahisi kiasi hicho kutapeli eti nitengeneze tu group la WhatsApp then mnichangie sidhani. Nadharia yangu ya pili alikuwa mshiriki wa madawa, alichoka na kata kujitoa, hivyo wakamtengenezwa case. Hiyo kuchomoka kwake inabidi atafute watu wazito wa mfumo wamsaidie, kwani kama wametengeneza case itaisha kiurahisi. Ila pole zake mpambanaji
Nimewaza hivyo pia
 
Duhh huyu binti akifika umri wa Kajala atakua amekongoroka sana....
Amekaa late 30s kumbe early 30s

Labda kutotoa hiyo pesa ya dhamana ni strategy,
Wolper BFF wake huyu, tuone kama na yeye ana spirit ya Wema kwa Kajala back then
 
Hii ni uthibitisho idadi kubwa ya wa Tz hawana akili, yani huyo kilaza nae kaweza kutapeli watu?
Wanaohojiwa ukiwaangalia wanaonekana vijana smart,lakini ni wajinga tu.Mwanaume mtu mzima unawezaje kutapeliwa na mtu kama Nicole,yaani muda huo unamtumia pesa akili yako inakuwa inawaza nini😳.Katika hali ya kawaida tu,mtu ambaye amebadili umbo lake,jina lake unawezaje kumuamini kuwa atakutinzia hela na kukupa nyingi zaidi?Tanzania wajinga hawataisha..Na mimi nasema acha wapigwe tu,maana wamechagua wenyewe kuibiwa.
 
Kun

Kuna kitu hakipo sawa. Nadharia yangu: Nicole kakosana na mtu wa mfumo, na tena mzito hivyo kamchomekea. Mi nilitegemea wangesema kiasia ambacho katapeli na hao watu 16 mbona wachache sana kusema eti wanejitokeza. Lakini pia inakuwaje wafanye press polisi ilhali matapeli wengine kama akina Mr Kuku hawajawahi wafanyia press. Nicole kama kuna rafiki yake humu anasoma aongee naye huyo waliyekosana na wanalizane. Sidhani kama ni rahisi kiasi hicho kutapeli eti nitengeneze tu group la WhatsApp then mnichangie sidhani. Nadharia yangu ya pili alikuwa mshiriki wa madawa, alichoka na kata kujitoa, hivyo wakamtengenezwa case. Hiyo kuchomoka kwake inabidi atafute watu wazito wa mfumo wamsaidie, kwani kama wametengeneza case itaisha kiurahisi. Ila pole zake mpambanaji
pia inaweza kuwa kweli na yeye na jina lake limetumika tu afu wanagawana % , awa wengi awana akili +njaa ni rahisi sana kutumika
 
Back
Top Bottom