Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Pamoja na yote hayo atazeeka hajai itwa mke wa mtu!
Aisee alikuwa mzuri kabla hajajaza uchafu mwilini mwakeNi mnyalu og apo kabla ajatoka uyo ni braza ake
Shangaa sana 🐒Kwa size hiyo ya mgodi na promo hizo bado amekosa wawekezaji wa kumuweka mjini?
Hawezi fungwa mzee kwasababu hapo hakuna kesi labda asiwe na HelaFungilia mbali mbwa huyo
Kumbe alikamatwa Juzi bana
Akitoka hapo ,Anaichangia CCM Milion Kadhaa, kesi inaisha
View: https://youtu.be/VXtwoDi1NP4?si=PN_73SJk5V1nGy0q
Bonge la "Shuzi" haya ndiyo maradhi yangu.Kama vitunguu hivi havilipi wewe unahitaji kupandikizwa Muhimbili.View attachment 3261323
Unachezaji mchezo wa hela zote hizo, kweli watanzania ni shida.Watu wamepigwa pesa ndefu sana na "Nicole" huko instagram ,kuna wengine hadi 40mils...Kwa haraka hara hao watu 20 wanamdai zaidi ya 200m.
Watu wana utani sanaUnachezaji mchezo wa hela zote hizo, kweli watanzania ni shida.
Jamaa alimwaga ndani kabisa?Kuna jamaa yangu kazaa nae mtoto wa kiume mkubwa tu
Umemmezea mateeeHilo libode sasa
Mi mwenyew nimeshangaa kumbe kuna wapare wenye mishepu hivyo!😅
TABU MBAGAWakuu,
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limemkamata Joyce Mbaga maarufu kwa jina la Nicole Joyberry kwa tuhuma za kujipatia pesa kwa njia ya udanganyifu na kufanya biashara ya kuanzisha ma-group na kukusanya pesa kinyume na sheria.
Soma pia: Nicole Berry, mwanadada anayepiga mamilioni kwenye kilimo cha vitunguu Iringa
Taarifa hiyo imetolewa leo na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Jumanne Muliro na kusema matukio hayo yametokea katika maeneo tofauti tofauti ya Jiji la Dar es Salaam na wakati mwingine nje ya mkoa wa Dar es Salaam.
"Matukio haya yametokea ndani na nje ya Dar es Salaam, kwa kuhamasisha baadhi ya watu akianzisha ma-group mbalimbali na kuweka majina hewa kwenye ma-grouup hayo kwamba wanachangia pesa na baada ya muda mfupi basi utapata kiwango kikubwa cha pesa, jambo ambalo baadaye anakuja kutopatikana kwenye simu na kupotea na pesa ambazo watu wamechangia," amesema Kamanda Muliro
Mbaga ni ukoo wa kinyalu au wa kipare?Ni mnyalu og apo kabla ajatoka uyo ni braza ake