Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Naona wakulima mnateteana#freenicole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona wakulima mnateteana#freenicole
Kama vitunguu hivi havilipi wewe unahitaji kupandikizwa Muhimbili.Vitunguu havilipi tena?
Mnyalu huyoMnaanza kuwakataa dada zenu wapare 😹
kwa huu mzigo sina usemi mieKama vitunguu hivi havilipi wewe unahitaji kupandikizwa Muhimbili.View attachment 3261323
Ndio sema alikua bado mdogo na surgery ya makalio na midomo kabla hapoweeee ni nicole yule kumbe
Kwa size hiyo ya mgodi na promo hizo bado amekosa wawekezaji wa kumuweka mjini?
Nyuma yake sio yeye, Kuna Vijana wa Kiume MATAPELI wa Dar
Watu wamepigwa pesa ndefu sana na "Nicole" huko instagram ,kuna wengine hadi 40mils...Kwa haraka hara hao watu 20 wanamdai zaidi ya 200m.
Na huko Nigeria si nasikia ndo kuna matapeli wa nyota 5Itakua wapopo wamemfundisha hayo mambo maana kutwa Nigeria
CreamHivi huwa wanatumia Nini kujibleach?
Alikua mweusi,ghafla mweupee
Halafu mnamshindaje kesi wakati pesa yenu ndio analipia wakili wakeWatu wamepigwa pesa ndefu sana na "Nicole" huko instagram ,kuna wengine hadi 40mils...Kwa haraka hara hao watu 20 wanamdai zaidi ya 200m.
Dada Alikuwa mzuri huyu
Portable Fulani
Sijui nani alimdanganya akaenda kufanya huu upuuzi wa kutengeneza mwili matokeo yake kaharibika
Haya na ndugu zake hawataki ht kumsikia baada ya kujiharibu