DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Huyu mrembo wa kitambo Ila havumi kunako IG
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mnyalu og apo kabla ajatoka uyo ni braza akeAnhaa nimeona hiyo Mbaga nkajua ni mpare
Kama unaikumbuka ile nyimbo ya sumalee hakunaga yule video kile kidem jamaa alikua anakibembeleza na kucheza nako ndio huyu kwa sasa"Wakuu,
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limemkamata Joyce Mbaga maarufu kwa jina la Nicole Joyberry kwa tuhuma za kujipatia pesa kwa njia ya udanganyifu na kufanya biashara ya kuanzisha ma-group na kukusanya pesa kinyume na sheria.
Soma pia: Nicole Berry, mwanadada anayepiga mamilioni kwenye kilimo cha vitunguu Iringa
Taarifa hiyo imetolewa leo na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Jumanne Muliro na kusema matukio hayo yametokea katika maeneo tofauti tofauti ya Jiji la Dar es Salaam na wakati mwingine nje ya mkoa wa Dar es Salaam.
"Matukio haya yametokea ndani na nje ya Dar es Salaam, kwa kuhamasisha baadhi ya watu akianzisha ma-group mbalimbali na kuweka majina hewa kwenye ma-grouup hayo kwamba wanachangia pesa na baada ya muda mfupi basi utapata kiwango kikubwa cha pesa, jambo ambalo baadaye anakuja kutopatikana kwenye simu na kupotea na pesa ambazo watu wamechangia," amesema Kamanda Muliro
Kumbe Nicole berry ni mpare,
Robert Heriel Mtibeli
mshana daughter
Mshana Jr
Extrovert
Mbaga Jr
Vishu Mtata
Dada yenu anawaaibisha huko mitandaoni
Watakurogaaaaa 😂Sema tu Nina familia inanitegemea tofauti na hapo namimi ningetafuta maboya kadhaa nikayachangisha hela nipae Ata ulaya😂niondokane na ujobless makutupora Monetary doctor Intelligent businessman
Alafu utakuta walimu ndo wametapeliwa😂
Huyu mm namkataaKumbe Nicole berry ni mpare,
Robert Heriel Mtibeli
mshana daughter
Mshana Jr
Extrovert
Mbaga Jr
Vishu Mtata
Dada yenu anawaaibisha huko mitandaoni
Dah em ngoja niingie YouTube aisee dah 🙌 kama n yeye kweli bc acha watu wawe matapeli tuu mana kwa mwili ule afu now ana mwili huu wa sasa bc sio poa kuuhudumia n lazima uwe tapeli na malaya🔥Kama unaikumbuka ile nyimbo ya sumalee hakunaga yule video kile kidem jamaa alikua anakibembeleza na kucheza nako ndio huyu kwa sasa"
Huyo tapeli sio mpare, huyo mnyalu kakaa sana huko kwao Iringa. Wapare hasa wenye jina Mbaga hatuna upuuzi huo
Unamkumbuka yule kiboko wa wachawi aliyekimbilia Congo baada ya kutapeli watu, kuna wamama watu wazima kanisani kwake huko walikuwa wanamtetea kuwa sio tapeli 😂 hapo n kabla jamaa hajaanza kurusha video zake za kuwaita watz n wapumbavu 😂Ila tz nchi ngumu sana
Yani watu wanaibiwa kirahisi mno
Mm simtambui, ukoo wetu hauna malaya 😎Itaneni mumjadili binti yenu bhana. Ukoo unachafuka.
Elimu ni kitu Cha msingi sana shida elimu wengi hawanaUnamkumbuka yule kiboko wa wachawi aliyekimbilia Congo baada ya kutapeli watu, kuna wamama watu wazima kanisani kwake huko walikuwa wanamtetea kuwa sio tapeli 😂 hapo n kabla jamaa hajaanza kurusha video zake za kuwaita watz n wapumbavu 😂
Watukufu wa Kashia😂😂Mm simtambui, ukoo wetu hauna malaya 😎