Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Kwa kweli hata kama watu hubadilika lakini kwa sura hii hapana 😂Kajichanganya, hicho kidada ni cha kariakoo, enzi hizo Nicole anaitwa Tabu yupo zake Mafinga huko anapalilia mpunga 😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli hata kama watu hubadilika lakini kwa sura hii hapana 😂Kajichanganya, hicho kidada ni cha kariakoo, enzi hizo Nicole anaitwa Tabu yupo zake Mafinga huko anapalilia mpunga 😄
Walau kajaribu mkuu, fanya kila namna usiwe masikini ila tu usitweze utu wako na watu wa karibu yako.Kumbe Nicole berry ni mpare,
Robert Heriel Mtibeli
mshana daughter
Mshana Jr
Extrovert
Mbaga Jr
Vishu Mtata
Dada yenu anawaaibisha huko mitandaoni
Mhehe pure wa iringaKumbe Nicole berry ni mpare,
Robert Heriel Mtibeli
mshana daughter
Mshana Jr
Extrovert
Mbaga Jr
Vishu Mtata
Dada yenu anawaaibisha huko mitandaoni
Dada Alikuwa mzuri huyuWadada wanachukua pesa kwa mataco feki hii haikubali hata kidogo 🤔
Mimi siku zote nasema Nina wasiwasi mkubwa sana na ule mwenge unaopitishwa mtaani..utakua na UCHAWI MKALI SANA WA KUWAPUMBAZA ASILIMIA KUBWA YA WATANZANIA..Watanzania sio wa kuwaonea huruma. Haya majanga huwa wanayataka.
Ponze scheme zote zinaishia kwenye haya ila bado kesho wengine wataenda kumchangia mwizi mwingine mamilioni.
Yale makalio chakula cha bwana jela
Free ya nn tena kwa upumbavu anaoufanya#freenicolejoyberry
Hapo anawaza tu kwamba siku akipata kota atawakomeshaNi mnyalu og apo kabla ajatoka uyo ni braza ake
Kachanganya na upare (Jina lake halisi Joyce mbaga)Ni mnyalu og apo kabla ajatoka uyo ni braza ake
Toka lini Mbaga akawa mnyalu? Acha uongo.Ni mnyalu og apo kabla ajatoka uyo ni braza ake
Kuna watu ukiwatafakari kwa haraka haraka unajua kabisa akili hakuna kabisaaUnamkumbuka yule kiboko wa wachawi aliyekimbilia Congo baada ya kutapeli watu, kuna wamama watu wazima kanisani kwake huko walikuwa wanamtetea kuwa sio tapeli 😂 hapo n kabla jamaa hajaanza kurusha video zake za kuwaita watz n wapumbavu 😂
Mnaanza kuwakataa dada zenu wapare 😹Mm simtambui, ukoo wetu hauna malaya 😎
weeee ni nicole yule kumbeKama unaikumbuka ile nyimbo ya sumalee hakunaga yule video kile kidem jamaa alikua anakibembeleza na kucheza nako ndio huyu kwa sasa"