Na huku alisema kucha zake tu kubandika milioni 9.........sasa kama watu wanalipia kucha si wamtoe kwa dhamana......maana mtu kama simba la masimba hashindwi hiko kibunda.........ila dada kuna wakati alijikuta bongo bahati mbaya hakuna wa kutoka naye...........sasa ndio maana kasuswa