Nicole joyberry apandishwa kizimbani, akosa dhamana apelekwa segerea

Nicole joyberry apandishwa kizimbani, akosa dhamana apelekwa segerea

Nimeshangaa pia.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Huyu mahakamani aliingia kwa pozi na alionesha dharau!
Mahakamani kuna mambo mengi
Kuna mahakimu wengine akili zao wanazijuwa wenyewe
Unakukaga wema sepetu alivyopelekwa segerea alileta pozi mahakamani anaulizwa hiki analeta dharau hakim akampeleka siku 14 haha 😄 ndy watu wakaanza kwenda mbio kumtoa huko

Ova
 
Usiamini sana majirani hasa ukiwa umefanikiwa. Watanzania ni sadist huwa wanafurahia sana matatizo ya wenzao.
Wanafurahi kama na wewe ulikua una waletea jeuri Watanzania hawapendi watu wanaojiona na kudharau wengine.
 
kwahiyo lile trackooo halijamsaidia PSL god
My dear mtani kwakweli sijui ila kuna scenario mbili

1. nasikia hajatoa dhamana ili akwepe adhabu ya kisheria maana kesi yake ni ya utapeli hivyo akitoa dhamana ya nusu aliyotapeliwa itaonekana kweli ametapeli watu maana katoa dhamana hivyo hajatoa ili waamini kweli kuwa yeye sio tapeli

2. Itakuwa kweli tako halijamsaidia nasikia kule insta picha nyingi ana edit japo ni kubwa ila la insta sio la uhalisia si umeona sura ilivyomshuka hivyo
 
My dear mtani kwakweli sijui ila kuna scenario mbili

1. nasikia hajatoa dhamana ili akwepe adhabu ya kisheria maana kesi yake ni ya utapeli hivyo akitoa dhamana ya nusu aliyotapeliwa itaonekana kweli ametapeli watu maana katoa dhamana hivyo hajatoa ili waamini kweli kuwa yeye sio tapeli

2. Itakuwa kweli tako halijamsaidia nasikia kule insta picha nyingi ana edit japo ni kubwa ila la insta sio la uhalisia si umeona sura ilivyomshuka hivyo
Mtani mjini huko kuna mambo sana
 
Me na mwanangu tukawa tuna mdiscuss uyo tapeli.

IMG_1838.png
IMG_1839.png
 
Huyu mahakamani aliingia kwa pozi na alionesha dharau!
Mahakamani kuna mambo mengi
Kuna mahakimu wengine akili zao wanazijuwa wenyewe
Unakukaga wema sepetu alivyopelekwa segerea alileta pozi mahakamani anaulizwa hiki analeta dharau hakim akampeleka siku 14 haha [emoji1] ndy watu wakaanza kwenda mbio kumtoa huko

Ova
[emoji23][emoji23][emoji23] hawa slay kwini sijui hata wanakuaje.
Nicole anakosa 46M? Mie nachoka kabisaaa.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Huyu naye kupenda aibu .........si angeweka ile range yake ya pink kujinasua .............ili akajipange nje kwa muda
 
Back
Top Bottom