Tripple MM
JF-Expert Member
- May 31, 2023
- 417
- 567
mwenyewe bado nashangaa mkuu!Mbona hapo Tako silioni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwenyewe bado nashangaa mkuu!Mbona hapo Tako silioni?
Kwanini uibe Kuku ?Watu serikalini kila kukicha wanaiba na kutapeli billions of money hawakamatwi wala kufikishwa mahakani lakini wanyonge ukiiba hata kuku moja saa hiishi umeshafunguliwa kesi...
Mambo ya kipumbavu kweli kweli. Hii inchi ni ya wanasiasa tu na royal families na koo zao.
Ingekuwa mamlaka yangu huyu asingeguswa badala yake nakamata wote waliotapeliwa. Wakaonyeshe upuuzi wao sero
Huyu ni Joyce wowowoSasa kama anaitwa Joyce Mbaga hiyo Nicole Berry alilitoa wapi?
Me nipo mjini lkn sijui hao slay ni akina nani na wamefanya tukio gani.Sisi wengine tuko nanjilinji. Sio kila wakati tunaingia hapa kujua yanayoendelea. Hujaweza kufikiria hata kidogo wapo wengi watakaofungua Uzi huu tu hawajui hawa ni akina nani? Walifanya nini?. Uandishi mzuri ilipaswa ujazie pia walifanya nini? Wapi?
Hawaoni aibu na hao pesa yao hairudi wasahau
Marole modoo wa wabongo haoooMe nipo mjini lkn sijui hao slay ni akina nani na wamefanya tukio gani.
LesbianLes ndiyo kina nani mkuu?
Kwahiyo watakuwa wanamla??Lesbian
Hao wanaitapeliwa hawajaenda shule bila shakaMjini shule
Unaona sasa hilo jinga, hawa wanatakiwa kukamatwa
Wengine watakuwa wameenda Ila shule haijawasaidia kitu.Hao wanaitapeliwa hawajaenda shule bila shaka
Anajiuliza ndio Nicole au copy?Mpiga picha yupo na Nikon D 3200 ina Lens ya kuvuta ila kawakaribia kama akikutana na wale wafungwa waliopinda wa USA kwa Trump wanamchapa vibao...
Huwa siwaelewagi hao wanaoungwa kwenye magroup ya kupigwa hela, wanachanga kumpa hela mtu tapeliWengine watakuwa wameenda Ila shule haijawasaidia kitu.
Vichwa vyao vipo tu Kama urembo,hawavitumii kutafakari mambo.Huwa siwaelewagi hao wanaoungwa kwenye magroup ya kupigwa hela, wanachanga kumpa hela mtu tapeli