Nicole joyberry apandishwa kizimbani, akosa dhamana apelekwa segerea

Nicole joyberry apandishwa kizimbani, akosa dhamana apelekwa segerea

Mrs van, wewe unatoka na ngapi bibie?!
Inategemea naenda wapi lakini mimi kwenye wallet yangu hua 50K-100K zikiwepo nakua na amani nikitoka.
Siku hizi mtu unatembeaje na cash 2M na zaidi kama sio ulimbuken au pesa hujazitolea jasho. Kuna lipa kwa simu mpaka kwenye bajaj, kulipa kwa bank kupo unatokaje na mamilioni
 
Joyce Mbaga (32) maarufu kwa jina la (Nicole Berry) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam mbele ya Hakimu Ramadhan Rugemalira kwa tuhuma za kupokea Shilingi milioni 185.5 kutoka kwa umma bila kibali kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BOT).

Mbali na Berry, mshtakiwa mwingine ni Rehema Mahanyu (31). Kwa pamoja wanatuhumiwa kwa makosa matatu, likiwemo la kuongoza genge la uhalifu kwa lengo la kujipatia fedha kutoka kwa umma na kupokea amana kutoka kwa umma bila leseni.

Kesi hiyo imeahirishwa hadi Machi 24, 2025, ambapo washtakiwa hao wamerudishwa rumande kwa kushindwa kutimiza masharti ya dhamana ya kuwa na wadhamini wawili na kuwasilisha mahakamani fedha taslimu Shilingi milioni 46.3 au hati ya mali isiyohamishika yenye thamani hiyo.


View attachment 3266353View attachment 3266355View attachment 3266356View attachment 3266357
Makeup zinabadili watu jamani😀
 
Joyce Mbaga (32) maarufu kwa jina la (Nicole Berry) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam mbele ya Hakimu Ramadhan Rugemalira kwa tuhuma za kupokea Shilingi milioni 185.5 kutoka kwa umma bila kibali kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BOT).

Mbali na Berry, mshtakiwa mwingine ni Rehema Mahanyu (31). Kwa pamoja wanatuhumiwa kwa makosa matatu, likiwemo la kuongoza genge la uhalifu kwa lengo la kujipatia fedha kutoka kwa umma na kupokea amana kutoka kwa umma bila leseni.

Kesi hiyo imeahirishwa hadi Machi 24, 2025, ambapo washtakiwa hao wamerudishwa rumande kwa kushindwa kutimiza masharti ya dhamana ya kuwa na wadhamini wawili na kuwasilisha mahakamani fedha taslimu Shilingi milioni 46.3 au hati ya mali isiyohamishika yenye thamani hiyo.


View attachment 3266353View attachment 3266355View attachment 3266356View attachment 3266357
Kesi hiyo imeahirishwa hadi Machi 24, 2025, ambapo washtakiwa hao wamerudishwa rumande kwa kushindwa kutimiza masharti ya dhamana ya kuwa na wadhamini wawili na kuwasilisha mahakamani fedha taslimu Shilingi milioni 46.3 au hati ya mali isiyohamishika yenye thamani hiyo😂😂😂😂😂
 
Sisi wengine tuko nanjilinji. Sio kila wakati tunaingia hapa kujua yanayoendelea. Hujaweza kufikiria hata kidogo wapo wengi watakaofungua Uzi huu tu hawajui hawa ni akina nani? Walifanya nini?. Uandishi mzuri ilipaswa ujazie pia walifanya nini? Wapi?
Hahaha
 
Inategemea naenda wapi lakini mimi kwenye wallet yangu hua 50K-100K zikiwepo nakua na amani nikitoka.
Siku hizi mtu unatembeaje na cash 2M na zaidi kama sio ulimbuken au pesa hujazitolea jasho. Kuna lipa kwa simu mpaka kwenye bajaj, kulipa kwa bank kupo unatokaje na mamilioni
Safi kabisa,waliokulea wape maua Yao!
 
Back
Top Bottom