Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo yule mkulima wa vitunguu kule Iringa? Ht sura ya mkulima anaijua huyoJoyce Mbaga (32) maarufu kwa jina la (Nicole Berry) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam mbele ya Hakimu Ramadhan Rugemalira kwa tuhuma za kupokea Shilingi milioni 185.5 kutoka kwa umma bila kibali kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BOT).
Mbali na Berry, mshtakiwa mwingine ni Rehema Mahanyu (31). Kwa pamoja wanatuhumiwa kwa makosa matatu, likiwemo la kuongoza genge la uhalifu kwa lengo la kujipatia fedha kutoka kwa umma na kupokea amana kutoka kwa umma bila leseni.
Kesi hiyo imeahirishwa hadi Machi 24, 2025, ambapo washtakiwa hao wamerudishwa rumande kwa kushindwa kutimiza masharti ya dhamana ya kuwa na wadhamini wawili na kuwasilisha mahakamani fedha taslimu Shilingi milioni 46.3 au hati ya mali isiyohamishika yenye thamani hiyo.
View attachment 3266353View attachment 3266355View attachment 3266356View attachment 3266357
Safi sana na hili likawe funzo wote wanaotumia majina yao na umaarufu wao kukiuka sheriaAlitumia fursa kinyume Cha Sheria ,nayo Sheria unataka ijilizishe ana kesi ya kujibu au laa
Experience inatofautiana sana, wengine bado hawajui, wengine wamesahau durbto life style yao, unti mambo kama haya yanapotokeaKwani hakujua binadamu walivyo¦
Experience inatofautiana sana, wengine bado hawajui, wengine wamesahau durbto life style yao, unti mambo kama haya yanapotokeaKwani hakujua binadamu walivyo¦
Wanajifunza basi? mbwembwe zotee kufake maisha hana hata Don mmoja wa kumwekea dhamana.Ndio ujifunze, wanakuzunguka na kukusifia leo, ndio hao hao watakaa pembeni wakati wa matatizo
Nadhani nicole akitoka huko itakuwa ni life change experience
Kwahyo mwaknyo bado ana miaka 29 tu😂Jeshi la Polisi mkoa wa Tanga linaendelea na uchunguzi wa tukio la bondia Hassan Mwakinyo (29) anyetuhumiwa kwa kumjeruhi na kumshambulia mvuvi Mussa Ally (21) mkazi wa Sahare Jijini Tanga
Akizungumza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga Almachius Mchunguzi amesema baada ya tukio hilo wameanza uchunguzi huku wakiendelea kumshikilia Mwakinyo.
Amekosa mali isiyohamishika ya kiasi hicho? Hawa watu wa mitandaoni jamani
Sheria inatambua evidence si nadharia na hisia, dad amanasa kwenye mtego live, hao unaofai wanaiba wamefunguliwa kesi na vielelezo?Watu serikalini kila kukicha wanaiba na kutapeli billions of money hawakamatwi wala kufikishwa mahakani lakini wanyonge ukiiba hata kuku moja saa hiishi umeshafunguliwa kesi...
Mambo ya kipumbavu kweli kweli. Hii inchi ni ya wanasiasa tu na royal families na koo zao.
lipo store walipohifadhi wigi na vitu vingine.Mbona hapo Tako silioni?
Mkuu hata kama wapo lazima wasomd upepo kwanza, labda awe miongon mwa wanafamiliaWanajifunza basi? mbwembwe zotee kufake maisha hana hata Don mmoja wa kumwekea dhamana.
No...kajenga kwa maskini..huezi elewa.ogopa sana hiyo kituSafi sana, nilisikiliza jirani zake jana nikaona Hassan ni mshenzi
Moja au mawili akaendelea au akabadilika,kichwa chake ndio ubongovwake ulipo!Ndio ujifunze, wanakuzunguka na kukusifia leo, ndio hao hao watakaa pembeni wakati wa matatizo
Nadhani nicole akitoka huko itakuwa ni life change experience
Anakuwa pozeo la wenye ugwadu!Huyu jamaa watakuwa wanamchukua jioni asubuhi wanamrudisha. Ni mwendo wa kujisevia tu
Binadamu ndivyo tulivyo,tulikula wote,mzigo anaubeba Yeye,akitoka tunampa pole na story nyingii!Kwani hakujua binadamu walivyo¦