NIDA wanapataje hela za kutoa gawio kwa serikali?

NIDA wanapataje hela za kutoa gawio kwa serikali?

Mitandao ya simu, vituo vyote vya radio, TV , na digital medias, wauuzaji na wasambazaji wa vifaa vya mawasiliano wanalipia leseni na ada zao za minara TCRA
nashukuru kwa ufafanuzi mkuu
 
Kaa ukijua mradi kawalazimisha nida kutowa gawio sasa nida watajiongeza kwa kukutoza mwanchi kitambulisho elfu 40 kama vile leseni ya udreva kwa sasa hivi nida wanakuchaji elfu 20 ukikosea jina ukitaka libadilishwe au unataka ubadilishe picha yako na ukipotea kuna chaji zao
 
Nida wana tozo mbalimbali za ziada...mf.ukitaka kujua namba yako kwa simu unapigwa miamoja kwa kila sms.
Tena.. ukipiteza kutambulisho.....kurenew mara ya kwanza ni 20k na mara ya pili ni 30k.
 
Hawa NIDA ni taasisi inayotoa vitambulisho kwa raia yaani haifanyi biashara sasa hilo gawio limetokana na nini au mimi ndio sijui labda kuna biashara ambayo NIDA wanafanya. Au amri za mkuu wa kazi? Ufafanuzi jamani.
 
Hawa NIDA ni taasisi inayotoa vitambulisho kwa raia yaani haifanyi biashara sasa hilo gawio limetokana na nini au mimi ndio sijui labda kuna biashara ambayo NIDA wanafanya. Au amri za mkuu wa kazi? Ufafanuzi jamani
Kutengeneza vitambulisho wameshindwa, kumbe wanakusanya fedha za kigawe kikubwa cha shirika.
 
Muhimbili wapo mbioni kutoa gawio nene.
Maendeleo hayana chama Wala hiyana
 
Kwani mkuu unashangaa nini NIDA ukipoteza ID au km imekosewa na unataka kuirenew tena, una deposit 20k kupita control number wanakupa kupita bank ya CRDB. Mimi niliwahi kushughulikia ili tatizo na takribani tulikuwa km Mia na wenye tatizo km langu kwa siku ili assume ni 20k ngap kwa siku ile zilikusanywa.
 
Kwani mkuu unashangaa nini NIDA ukipoteza ID au km imekosewa na unataka kuirenew tena, una deposit 20k kupita control number wanakupa kupita bank ya CRDB. Mimi niliwahi kushughulikia ili tatizo na takribani tulikuwa km Mia na wenye tatizo km langu kwa siku ili assume ni 20k ngap kwa siku ile zilikusanywa.
Kuna ile kuangalia namba ya kitambulisho kwa sms, hela pia wanapata.
 
All TRUTH nida ina sehemu ya kukusanya pesa tena kwa kiwango kikubwa tu, ndio maana nida imethubutu kujenga mijengo yake ya kutisha ktk kutoa huduma zake.

Moja ya mapato makubwa ya nida, ni kukusanya pesa ambayo ni kwa ajili ya marekebisho pamoja na kurudisha ID's zilizopotea, na hapo sio chin ya elfu 20 kwa MTU mmoja,
Ufafanuzi plzz
 
Inaelekea NIDA walitengewa pesa nyingi kwenye bajeti iliyopita. Bila shaka hakuna matumizi makubwa kwa sasa na posho na vikao vimepigwa mkono. Angalizo: NIDA wanatoa vitambulisho vya wageni halali na wakimbizi, vitambulisho vya aina hiyo havitolewi bure, vinalipiwa na hivyo kuongeza maduhuri ya Serikali......Gawio!
 

Attachments

IFM nayo imetoa gawio la 2 billion?

Dunia nzima Public University zinaendeshwa kwa ruzuku ya Serikal na zile Ada ni sehemu ndogo tu

IFM ni chuo kilicho chini ya wizara ya fedha, kuna uwezekano mkubwa mishahara inalipwa na serikali hivyo huwa na ziada ya kutosha ya fedha za kupelek hazina
 
HII HAPA
NIDA COST.png
 
Back
Top Bottom