Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,296
- 18,027
Kuna wajinga wanadhani ni viwanda vya hela.Up sahihi 1000%, vyuo vyote vya public havinaga surplus /faida , ni hasara , nazinatrgemea ruzuku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wajinga wanadhani ni viwanda vya hela.Up sahihi 1000%, vyuo vyote vya public havinaga surplus /faida , ni hasara , nazinatrgemea ruzuku
Mkuu, hivi kweli tozo pekee ndio zinaweza fikia fedha nyingi kiasi cha kuwawezesha kutoa gawio la 5.38 Billions..!!??
Hii inanipa wasiwasi kwamba sasa kama hivyo ndivyo, basi OSHA kazi yao sio kutowa elimu ya Usalama na Afya sehemu za kazi, bali imebadilika na kuwa idara ya faini kwa makosa ya Usalama na Afya sehemu za kazi.
Mkuu, hata kama OSHA wanatowa mafunzo kwa malipo ya watahiniwa, lakini bado naona hicho kiasi bado ni kikubwa sana
Ziada inatoka wapi sasa? Kwenye Ada? Au chuo kinafanya biashara?IFM ni chuo kilicho chini ya wizara ya fedha, kuna uwezekano mkubwa mishahara inalipwa na serikali hivyo huwa na ziada ya kutosha ya fedha za kupelek hazina
IFM ni chuo kilicho chini ya wizara ya fedha, kuna uwezekano mkubwa mishahara inalipwa na serikali hivyo huwa na ziada ya kutosha ya fedha za kupelek hazina
kwenye investments zenye permanent establishment, usiwe na mashaka, (hapa inaonyesha hata tungekuwa tunaibiwa au tuliibiwa poa tu et?),
OSHA Kila mwaka wanafanya ukaguzi usio bure na wa lazima kwa kila taasisi waliyoisajili, mbali na gharama za usajili wa eneo la kazi jipya (taasisi)
Je unajua kazi za OSHA au unataka kubisha tu. Ninazozijua Mimi ni kuna Registration fees( Inategemea na mtaji wa kampuni). Training fees ambayo ni mandatory kwa kila kampuni( katika kila wafanyakazi 13 anatoka mmoja, train za fire, electrical defects, health and safety, first aid na kadhalika) laki 500,0000 kwa kila mfanyakazi mmoja anae attend. Agronomic fees( unalipa kampuni kila mwaka kwa ajiri ya inspection ya OSHA mfano mtaji ukiwa milioni 200 basi wastani wake ni laki 9 hadi milioni 1 kwa mwaka. Penalties hapo ndo usiseme. Kwa hiyo OSHA wana hela kwelikweli.
Hata mimi ndivyo ninavyo fahamu kwamba wanapokea ruzuku toka serukali kuu, sasa nimepata mshtuko zaidi nilipoona kwamba wametowa gawio/faida.
Usikariri ndugu, vyuo vyote ambavyo viko chini ya Taasisi za Serikali ziliruhusiwa kujiendesha zenyewe kwa Faida tangu kipindi cha Mkwere kasoro vyuo vichache tu vinavyohudumiwa na Serikali kuuIFM nayo imetoa gawio la 2 billion?
Dunia nzima Public University zinaendeshwa kwa ruzuku ya Serikal na zile Ada ni sehemu ndogo tu
Usikariri ndugu, vyuo vyote ambavyo viko chini ya Taasisi za Serikali ziliruhusiwa kujiendesha zenyewe kwa Faida tangu kipindi cha Mkwere kasoro vyuo vichache tu vinavyohudumiwa na Serikali kuu
Ndio sijuiUnajiendeshaje kwa Faida wakati wote Mishahara inalipwa direct kutokea utumishi/Hazina?
Au neno kujiendesha kwa faida hujui?
Afadhali chief, maana usije ukajikuta unaingia kwenye matata na jamuhurinimeandika nikafuta ...mpaka nimechoka
Nimeshangaa pia kuona OSHA inatowa gawio. Sasa sijui nao wanafanya biashara gani..!!??
Kaangalie taarifa za fedha za ifmIFM ni chuo kilicho chini ya wizara ya fedha, kuna uwezekano mkubwa mishahara inalipwa na serikali hivyo huwa na ziada ya kutosha ya fedha za kupelek hazina
IFM nayo imetoa gawio la 2 billion?
Dunia nzima Public University zinaendeshwa kwa ruzuku ya Serikal na zile Ada ni sehemu ndogo tu