NIDA wanapataje hela za kutoa gawio kwa serikali?

NIDA wanapataje hela za kutoa gawio kwa serikali?

IFM nayo imetoa gawio la 2 billion?

Dunia nzima Public University zinaendeshwa kwa ruzuku ya Serikal na zile Ada ni sehemu ndogo tu
Hiyo 2 bn ya IFM wangefanya chuo chao kiwe modern hata kufunga wifi chuo kizima au kujenga hostels za wanafunzi.
 
izo fedha za ziada si wangenunua mashine za kutoa vitambulisho
mfano:morogoro mkoa mzima mashine 1
Hawa hawafanyi biashara. Ila wanatoa ziada ya fedha zilizopatikana kutokana na tizo mbalimbali wakati wanatoa huduma.
Walikuwa huru sana ndio maana walikuwa najenga majengo makubwa makubwa. Na matumizi ya ovyo ovyo kwa sababu walikuwa hawapeleki ziada hazina.
 
Haya maigizo mapya hatukuwahi kuyaona awamu zilizopita. Kuna mtu ana kichaa cha kupenda sifa na kuonekana live kwenye runinga
Duh! Mkuu unanisikitisha. Hujui gawio ni faida ya ziada. Kama umepanga mwishoni mwa mwaka huu utapata milion 1 na ukapata milion 2 basi hapo milion moja yako na moja nyingine ni gawio. So zamani hizi taasisi zilikuwa zinatumia vibaya hizo za ziada km kujijengea majumba makubwa kujirimbikizia posho n.k. so Magu yupo sahihi kuwabana kurejesha serikalini divident kama huwezi acha kazi.
 
Naomba kuuliza hivi hawa NIDA wanapataje pesa za kutoa gawio kwa serekali?

View attachment 1271357

Gawio ni lazima coz ao wanapewa Pesa na serikali yakufanya shughuli zao so Gawio apo ni kua kiasi kilichobaki ( yaani wajibane kupunguza vitu visivyo vya lazima) baada ya kupewa fedha na serikali kulingana na bajeti yao wanazirudisha na ndo izo zilizopokelewa
 
Kwani mkuu unashangaa nini NIDA ukipoteza ID au km imekosewa na unataka kuirenew tena, una deposit 20k kupita control number wanakupa kupita bank ya CRDB. Mimi niliwahi kushughulikia ili tatizo na takribani tulikuwa km Mia na wenye tatizo km langu kwa siku ili assume ni 20k ngap kwa siku ile zilikusanywa.
Ebu nyie acheni kutufanya sisi mandondocha, Nida vitambulisho ilivyogawa hata theruthi ya nchi nzima bado. So hao watu wanaopoteza vitambulisho ndo wameweza kuchanga hillo gawio kubwa kiasi hicho? Penye kukosoa koseni na penye kusifu msifu lkn katika uhalisoa. Mafala nyie
 
Hapa ni bongo muvu tu,haya magawio mbona hayana utaratibu maalum,huwa yanatoka,Mzee baba,akianza kukoroma,inakuwa kama kushitukizwa tu,
Hapa ukiwa mkubwa wa shirika la umma,inabidi utoe,ukidangsnya umetoa kwenye faida,kumbe umetoa kwenye bajeti yako ya matumizi ya kawaida,bila hivyo,mtumbuo unakuhusu
 
Mkuu, hivi kweli tozo pekee ndio zinaweza fikia fedha nyingi kiasi cha kuwawezesha kutoa gawio la 5.38 Billions..!!??
Hii inanipa wasiwasi kwamba sasa kama hivyo ndivyo, basi OSHA kazi yao sio kutowa elimu ya Usalama na Afya sehemu za kazi, bali imebadilika na kuwa idara ya faini kwa makosa ya Usalama na Afya sehemu za kazi.
Mkuu, hata kama OSHA wanatowa mafunzo kwa malipo ya watahiniwa, lakini bado naona hicho kiasi bado ni kikubwa sana
Nchi zile ambazo serikali ni msimamizi tu. Hata hizo kazi za OSHA zingefanywa na makampuni binafsi
 
Je unajua kazi za OSHA au unataka kubisha tu. Ninazozijua Mimi ni kuna Registration fees( Inategemea na mtaji wa kampuni). Training fees ambayo ni mandatory kwa kila kampuni( katika kila wafanyakazi 13 anatoka mmoja, train za fire, electrical defects, health and safety, first aid na kadhalika) laki 500,0000 kwa kila mfanyakazi mmoja anae attend. Agronomic fees( unalipa kampuni kila mwaka kwa ajiri ya inspection ya OSHA mfano mtaji ukiwa milioni 200 basi wastani wake ni laki 9 hadi milioni 1 kwa mwaka. Penalties hapo ndo usiseme. Kwa hiyo OSHA wana hela kwelikweli.
Wizi tu. taasisi ya umma inatakiwa kutoa huduma siyo biashara, biashara ni sector binafsi, taasisi binafsi na kampuni zikipewa fursa ya biashara zitakusanya mapato mengi zaidi ya Hutu tu hela kidogo twa gawio, kifupi wanajifurahisha tu.
 
Nida wanapata hela sana Ukipoteza kitambulisho ulieanda kutengeneza kingine unalipia 20 tshs
 
Nimeshangaa pia kuona OSHA inatowa gawio. Sasa sijui nao wanafanya biashara gani..!!??
Osha wanapiga fine viwanda visivyo simamia usalama wa wafanyakazi au usalama mahali pa kazi wanapata hela sana hawa jamaa
 
Osha wanapiga fine viwanda visivyo simamia usalama wa wafanyakazi au usalama mahali pa kazi wanapata hela sana hawa jamaa
Mkuu, hivi kweli tozo pekee ndio zinaweza fikia fedha nyingi kiasi cha kuwawezesha kutoa gawio la 5.38 Billions..!!??
Hii inanipa wasiwasi kwamba sasa kama hivyo ndivyo, basi OSHA kazi yao sio kutowa elimu ya Usalama na Afya sehemu za kazi, bali imebadilika na kuwa idara ya faini kwa makosa ya Usalama na Afya sehemu za kazi.
Mkuu, hata kama OSHA wanatowa mafunzo kwa malipo ya watahiniwa, lakini bado naona hicho kiasi bado ni kikubwa sana
 
Back
Top Bottom