Hiyo 2 bn ya IFM wangefanya chuo chao kiwe modern hata kufunga wifi chuo kizima au kujenga hostels za wanafunzi.IFM nayo imetoa gawio la 2 billion?
Dunia nzima Public University zinaendeshwa kwa ruzuku ya Serikal na zile Ada ni sehemu ndogo tu
Hawa hawafanyi biashara. Ila wanatoa ziada ya fedha zilizopatikana kutokana na tizo mbalimbali wakati wanatoa huduma.
Walikuwa huru sana ndio maana walikuwa najenga majengo makubwa makubwa. Na matumizi ya ovyo ovyo kwa sababu walikuwa hawapeleki ziada hazina.
Utakuwa hujui maana ya Gawio
Duh! Mkuu unanisikitisha. Hujui gawio ni faida ya ziada. Kama umepanga mwishoni mwa mwaka huu utapata milion 1 na ukapata milion 2 basi hapo milion moja yako na moja nyingine ni gawio. So zamani hizi taasisi zilikuwa zinatumia vibaya hizo za ziada km kujijengea majumba makubwa kujirimbikizia posho n.k. so Magu yupo sahihi kuwabana kurejesha serikalini divident kama huwezi acha kazi.Haya maigizo mapya hatukuwahi kuyaona awamu zilizopita. Kuna mtu ana kichaa cha kupenda sifa na kuonekana live kwenye runinga
Ebu nyie acheni kutufanya sisi mandondocha, Nida vitambulisho ilivyogawa hata theruthi ya nchi nzima bado. So hao watu wanaopoteza vitambulisho ndo wameweza kuchanga hillo gawio kubwa kiasi hicho? Penye kukosoa koseni na penye kusifu msifu lkn katika uhalisoa. Mafala nyieKwani mkuu unashangaa nini NIDA ukipoteza ID au km imekosewa na unataka kuirenew tena, una deposit 20k kupita control number wanakupa kupita bank ya CRDB. Mimi niliwahi kushughulikia ili tatizo na takribani tulikuwa km Mia na wenye tatizo km langu kwa siku ili assume ni 20k ngap kwa siku ile zilikusanywa.
Wanatoa gawio alafu wanaomba ruzuku, haya maigizo yataiangusha vibaya serikaliMimi hao dawa ndio nipo hii hili gawio si wangeboresha huduma zao tu
Nchi zile ambazo serikali ni msimamizi tu. Hata hizo kazi za OSHA zingefanywa na makampuni binafsiMkuu, hivi kweli tozo pekee ndio zinaweza fikia fedha nyingi kiasi cha kuwawezesha kutoa gawio la 5.38 Billions..!!??
Hii inanipa wasiwasi kwamba sasa kama hivyo ndivyo, basi OSHA kazi yao sio kutowa elimu ya Usalama na Afya sehemu za kazi, bali imebadilika na kuwa idara ya faini kwa makosa ya Usalama na Afya sehemu za kazi.
Mkuu, hata kama OSHA wanatowa mafunzo kwa malipo ya watahiniwa, lakini bado naona hicho kiasi bado ni kikubwa sana
Wizi tu. taasisi ya umma inatakiwa kutoa huduma siyo biashara, biashara ni sector binafsi, taasisi binafsi na kampuni zikipewa fursa ya biashara zitakusanya mapato mengi zaidi ya Hutu tu hela kidogo twa gawio, kifupi wanajifurahisha tu.Je unajua kazi za OSHA au unataka kubisha tu. Ninazozijua Mimi ni kuna Registration fees( Inategemea na mtaji wa kampuni). Training fees ambayo ni mandatory kwa kila kampuni( katika kila wafanyakazi 13 anatoka mmoja, train za fire, electrical defects, health and safety, first aid na kadhalika) laki 500,0000 kwa kila mfanyakazi mmoja anae attend. Agronomic fees( unalipa kampuni kila mwaka kwa ajiri ya inspection ya OSHA mfano mtaji ukiwa milioni 200 basi wastani wake ni laki 9 hadi milioni 1 kwa mwaka. Penalties hapo ndo usiseme. Kwa hiyo OSHA wana hela kwelikweli.
Osha wanapiga fine viwanda visivyo simamia usalama wa wafanyakazi au usalama mahali pa kazi wanapata hela sana hawa jamaaNimeshangaa pia kuona OSHA inatowa gawio. Sasa sijui nao wanafanya biashara gani..!!??
Mkuu, hivi kweli tozo pekee ndio zinaweza fikia fedha nyingi kiasi cha kuwawezesha kutoa gawio la 5.38 Billions..!!??Osha wanapiga fine viwanda visivyo simamia usalama wa wafanyakazi au usalama mahali pa kazi wanapata hela sana hawa jamaa