Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
- Thread starter
-
- #21
Wapi nimesema kuwa Rais anapaswa akutane na vyama vya siasa peke yake?Hutaki rais akutane na wanawake mnataka akutane na vyama vya siasa wakati demokrasia sio ya vyama vya siasa peke yao.
Siku ya ukimwi duniani Rais akaamua akutane na maiti za mochwari wa muhimbili kisha mimi nikapinga nitakuwa nazionea wivu maiti?Afu tuache kuwaonea wivu wanawake wakiwa wanaamua kukutana
Ndio kwasababu unampangia rais nini cha kufanya. Huo utakuwa wivuWapi nimesema kuwa Rais anapaswa akutane na vyama vya siasa peke yake?
Siku ya ukimwi duniani Rais akaamua akutane na maiti wa mochwari za muhimbili kisha mimi nikapinga nitakuwa nazionea wivu maiti?
Umeelewa hata swali nililokuuliza?!Nimekuuliza nionyeshe sehemu niliyoandika kuwa Rais anapaswa akutane na vyama vya siasa peke yake.Unajua kusoma?Ndio kwasababu unampangia rais nini cha kufanya. Huo utakuwa wivu
Unaweza kunielezea kuwa siku ya ukimwi duniani inahusu nini ili tuanzie hapo?Kwa sababu inawezekana kuwa unaongelea mada ambayo huijui!Ndio ni sahihi. Kwani wao Hua hawaumwi ukimwi au hawahitaji elimu kuhusu ukimwi?
"September 15 ni siku ya kimataifa ya demokrasia duniani ambapo nchi mbalimbali duniani hupata fursa ya kujadili demokrasia ya nchi zao na wadau husika wa demokrasia katika nchi hizo kama vile vyama vya upinzani.Umeelewa hata swali nililokuuliza?!Nimekuuliza nionyeshe sehemu niliyoandika kuwa Rais anapaswa akutane na vyama vya siasa peke yake.Unajua kusoma?
Una haja ya kunielezea hapa kwa sababu inaonekana kuwa unaongelea mada ambayo huijui.Haina haja ya kuielezea siku ya ukimwi duniani, elezea wewe uliyeileta,
Siku ya demokrasia duniani kumtaka Rais akutane na wadau wa demokrasia ni kumpangia Rais?kwanini raisi akutane na vyama vya siasa,kwanini unatK kumpangia rais.
Huo utaratibu ulioamua hivyo ni upi?Kama rais anaongozwa na sheria basi itoshe kusema utaratibu umeamua hivyo akutane na wanawake nyinyi wengine subirini
"September 15 ni siku ya kimataifa ya demokrasia duniani ambapo nchi mbalimbali duniani hupata fursa ya kujadili demokrasia ya nchi zao na wadau husika wa demokrasia katika nchi hizo kama vile vyama vya upinzani.Una haja ya kunielezea hapa kwa sababu inaonekana kuwa unaongelea mada ambayo huijui.
Siku ya demokrasia duniani kumtaka Rais akutane na wadau wa demokrasia ni kumpangia Rais?
Huo utaratibu ulioamua hivyo ni upi?
Wewe uliyeitolea mfano unaweza ielezea. Hivi huo mkutano na hao wanawake utakuwa saa ngapi mkuu ninataka nisikilize. Ndo uzur wa demokrasia nasikiliza ninachokitakaUna haja ya kunielezea hapa kwa sababu inaonekana kuwa unaongelea mada ambayo huijui.
Siku ya demokrasia duniani kumtaka Rais akutane na wadau wa demokrasia ni kumpangia Rais?
Huo utaratibu ulioamua hivyo ni upi?
Sasa hapo ni wapi nimesema kuwa Rais anapaswa kukutana na vyama vya upinzani peke yake?Nimesema hivi kwenye paragraph ya kwanza na nina nukuu:"September 15 ni siku ya kimataifa ya demokrasia duniani ambapo nchi mbalimbali duniani hupata fursa ya kujadili demokrasia ya nchi zao na wadau husika wa demokrasia katika nchi hizo kama vile vyama vya upinzani.
Sasa sielewi mantiki ya Rais Samia Suluhu Hassan kuitumia hiyo siku ya leo kuzungumza na wanawake wa Tanzania (mara ya pili) na sio wadau wa demokrasia (vyama vya siasa)"
Kwa kuwa nchi nyingine zinakutana na wapinzani na wewe unataka raisi akutane na wapinzani tu. Je na wewe ulielewa uliandika nini au ume copy tu sehemu ukaja ku paste hapa.
Acha rais akutane na amtakaye usimpangie wala usitake afanye kama wengine. Tupunguze wivu kwa rais kwa watu anaokutana nao
Basi yeye Rais ni kama vile amewapotezea upinzani afu kama vile anakutana na wanawake na ni kama vile ni wa ccm na ni kama vile chadema watalalamika ni kama vile wanabaguliwa. Na ni kama vile tusimpangie akutane na naniSasa hapo ni wapi nimesema kuwa Rais anapaswa kukutana na wadau wa demokrasia peke yake?Nimesema hivi kwenye paragraph ya kwanza na nina nukuu:
"September 15 ni siku ya kimataifa ya demokrasia duniani ambapo nchi mbalimbali duniani hupata fursa ya kujadili demokrasia ya nchi zao na wadau husika wa demokrasia katika nchi hizo kama vile vyama vya upinzani"
Hapo mwishoni nimesema wazi kabisa; 'wadau wa demokrasia kama vile vyama vya upinzani'.Unaelewa matumizi ya "kama vile?"
Unaelewa matumizi ya maneno "kama vile" katika sentensi huwa yanamaanisha nini?
Sasa ni kitu gani unaandika hiki?!Kama huwezi kujenga hoja zenye mantic kamwe usiwe unaniquote.Basi yeye Rais ni kama vile amewapotezea upinzani afu kama vile anakutana na wanawake na ni kama vile ni wa ccm na ni kama vile chadema watalalamika ni kama vile wanabaguliwa. Na ni kama vile tusimpangie akutane na nani
Nimeandika hoja zangu naona unanipangia cha kuandika. Kama hutaki tusiku quote basi usiandikeSasa ni kitu gani unaandika hiki?!Kama huwezi kujenga hoja zenye mantic kamwe usiwe unaniquote!
Rais ana haki kidemokrasia ya kukusanya watu wa aina yoyote ile. Siku ya ukimwi akikusanya wa malaria sawa hakuna sheria iliyosema akae na wenye ukimwi.
Turudi kwenye point rais kuongea na wanawake siku ya demokrasia ni sawa. Wanawake nao wanahitaji ushirikishwaji katika demokrasia. Demokrasia sio ya vyama vya siasa peke yake.
Conclusion rais katumia demokrasia yake kufanya anachoona ni sawa. Kwani hakuna wanawake wana siasa?
Wapi nimesema kuwa usiniquote?Na ndiyo maana kila saa nakuuliza kuwa unajua kusoma?Nimeandika hoja zangu naona unanipangia cha kuandika. Kama hutaki tusiku quote basi usiandike
Sasa ni kitu gani unaandika hiki?!Kama huwezi kujenga hoja zenye mantic kamwe usiwe unaniquote!Wapi nimesema kuwa usiniquote?Na ndiyo maana kila saa nakuuliza kuwa unajua kusoma?
Mimi nimepinga wewe kuniquote kama huna hoja zenye mantic kwa sababu ni kunipotezea muda halafu wewe unadai kuwa nimesema kuwa usiniquote!WTF!!!
Nakuuliza tena,unajua kusoma kwa ufasahaa?
Hapo ndio utajua kuwa hana nia njema na wapinzani na wapenda demokrasia nchini, atajutia haya anayofanya siku si nyingi!September 15 ni siku ya kimataifa ya demokrasia duniani ambapo nchi mbalimbali duniani hupata fursa ya kujadili demokrasia ya nchi zao na wadau husika wa demokrasia katika nchi hizo kama vile vyama vya upinzani.
Sasa sielewi mantiki ya Rais Samia Suluhu Hassan kuitumia hiyo siku ya leo kuzungumza na wanawake wa Tanzania (mara ya pili) na sio wadau wa demokrasia (vyama vya siasa).
Katika hali ya kawaida nilikuwa nategemea Rais akutane na wadau wa demokrasia kama vile vyama vya upinzani kisha wajadili hatima ya demokrasia ya nchi yetu lakini yeye anakutana na wanawake na tena hii ni mara ya pili.Kwangu mimi jambo hili haliingii akilini.
Au siku ya wanawake Duniani (March 08) ndiyo atakutana na wadau wa demokrasia (hususani vyama vya siasa) kujadili masuala ya kidemokrasia?
Sielewi mantiki ya kuwakimbia wapinzani wake wa kisiasa ambao ndiyo wadau wakubwa wa demokrasia hapa nchini.Nielewesheni
Ukiangalia picha ya pili hapo chini Tanzania tumezidi kushuka katika marks za demokrasia duniani ambapo sasa hivi tumeshuka kutoka marks 40/100 hadi kufika marks 34/100.
Yaani kama ni mtihani wa darasani maana yake ni kwamba umepata marks 34 kati ya mia.Hii si kupata F?
Hii maana yake ni kwamba bado kidogo tunaingia kwenye “not free countries” kwa sababu ya kuminya haki za kisiasa na za kiraia halafu Rais siku ya demokrasia duniani kama ya leo anaenda kukutana na wanawake badala ya kukutana na wadau wa demokrasia.
View attachment 1938278
View attachment 1938318
View attachment 1938356