Nielewesheni hili jambo Rais Samia kuzungumza na wanawake wa Tanzania siku ya Demokrasia duniani

Nielewesheni hili jambo Rais Samia kuzungumza na wanawake wa Tanzania siku ya Demokrasia duniani

Sasa ni kitu gani unaandika hiki?!Kama huwezi kujenga hoja zenye mantic kamwe usiwe unaniquote!
Hivi huyu sio wewe unayeandika [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
My Godness!!

1.Mimi nimesema kuwa usiniquote kama huna hoja zenye mantic kwa sababu ni kunipotezea muda.

2.Wewe ukadai kuwa nakataa usiniquote.

Kwa kukusaidia ni kwamba hizo hapo juu ni sentensi mbili tofauti kabisa na zenye maana mbili tofauti kabisa.Sentensi ya kwanza haitaki uniquote kwa sababu huna hoja zenye mantic na sentensi ya pili haitaki uniquote whatever what kitu ambacho sijakisema mimi bali umekisema wewe.Umeelewa sasa hivi?
Naona unaleta hoja za kupimana nani anajua kusoma na kuandika.

Tatizo unataka niandike unachowaza wewe hiyo haiwezekani. Anyway tupunguze kubishana mimi na wewe tuwaache wadau wengine wachangie.
Sijataka uandike ninachokitaka mimi bali nimetaka uandike hoja zenye mantic.Hivi ni vitu viwili tofauti kabisa.
 
Rais mwanamke, mambo ya nje mwanamke, ulinzi na nini vile naye mwanamke, sawa na sie sindikiza wanawake
 
Kwani siku ya ukimwi duniani ni siku ya kukusanya vipofu ambao hawana ukimwi na kuwaasa kuwa wajikinge na ukimwi?
drakelaugh.png
 
September 15 ni siku ya kimataifa ya demokrasia duniani ambapo nchi mbalimbali duniani hupata fursa ya kujadili demokrasia ya nchi zao na wadau husika wa demokrasia katika nchi hizo kama vile vyama vya upinzani.

Sasa sielewi mantiki ya Rais Samia Suluhu Hassan kuitumia hiyo siku ya leo kuzungumza na wanawake wa Tanzania (mara ya pili) na sio wadau wa demokrasia (vyama vya siasa).

Katika hali ya kawaida nilikuwa nategemea Rais akutane na wadau wa demokrasia kama vile vyama vya upinzani kisha wajadili hatima ya demokrasia ya nchi yetu lakini yeye anakutana na wanawake na tena hii ni mara ya pili.Kwangu mimi jambo hili haliingii akilini.

Au siku ya wanawake Duniani (March 08) ndiyo atakutana na wadau wa demokrasia (hususani vyama vya siasa) kujadili masuala ya kidemokrasia?

Sielewi mantiki ya kuwakimbia wapinzani wake wa kisiasa ambao ndiyo wadau wakubwa wa demokrasia hapa nchini.Nielewesheni

Ukiangalia picha ya pili hapo chini Tanzania tumezidi kushuka katika marks za demokrasia duniani ambapo sasa hivi tumeshuka kutoka marks 40/100 hadi kufika marks 34/100.

Yaani kama ni mtihani wa darasani maana yake ni kwamba umepata marks 34 kati ya mia.Hii si kupata F?

Hii maana yake ni kwamba bado kidogo tunaingia kwenye “not free countries” kwa sababu ya kuminya haki za kisiasa na za kiraia halafu Rais siku ya demokrasia duniani kama ya leo anaenda kukutana na wanawake badala ya kukutana na wadau wa demokrasia.

View attachment 1938278
View attachment 1938318
View attachment 1938356
Kwenye "uchafuzi" wa 2020, MaCCM waliteua wagombea wanawake wasiozidi 25 kugombea kwenye majimbo, CHADEMA iliteua wanawake zaidi ya 50... ni muhimu kukumbushana hili leo ikiwa ni siku ya Demokrasia na Mh Rais anakutana na wanawake... Tanzania ina majimbo 264
 
Huyu mama hajijui na hajui chochote, anapangiwa kila kitu na yeye mbio mbio kutekeleza.
Hii ndio maana ya mwanasesere.
Embu tazama hii trend....
-Kusafiri ovyo ovyo nje ya nchi
-Kuibatiza nchi yetu ni nchi ya kigaidi
-Kucheza filamu ya utalii kama sterling
-Kuapishwa kuwa Chief mwanamke katika kabila la wasukuma.
-Kuwakusanya wanawake siku ya Demokrasia.
 
Si mnasema kila siku wanawake wapewe nafasi, basi ndio hivyo sasa. Tutaelewana tu huko mbeleni. Na huyo mama akikaa miaka kumi wanaume watajikuta katika harakati za kupigania haki zao.
 
September 15 ni siku ya kimataifa ya demokrasia duniani ambapo nchi mbalimbali duniani hupata fursa ya kujadili demokrasia ya nchi zao na wadau husika wa demokrasia katika nchi hizo kama vile vyama vya upinzani.

Sasa sielewi mantiki ya Rais Samia Suluhu Hassan kuitumia hiyo siku ya leo kuzungumza na wanawake wa Tanzania (mara ya pili) na sio wadau wa demokrasia (vyama vya siasa).

Katika hali ya kawaida nilikuwa nategemea Rais akutane na wadau wa demokrasia kama vile vyama vya upinzani kisha wajadili hatima ya demokrasia ya nchi yetu lakini yeye anakutana na wanawake na tena hii ni mara ya pili.Kwangu mimi jambo hili haliingii akilini.

Au siku ya wanawake Duniani (March 08) ndiyo atakutana na wadau wa demokrasia (hususani vyama vya siasa) kujadili masuala ya kidemokrasia?

Sielewi mantiki ya kuwakimbia wapinzani wake wa kisiasa ambao ndiyo wadau wakubwa wa demokrasia hapa nchini.Nielewesheni

Ukiangalia picha ya pili hapo chini Tanzania tumezidi kushuka katika marks za demokrasia duniani ambapo sasa hivi tumeshuka kutoka marks 40/100 hadi kufika marks 34/100.

Yaani kama ni mtihani wa darasani maana yake ni kwamba umepata marks 34 kati ya mia.Hii si kupata F?

Hii maana yake ni kwamba bado kidogo tunaingia kwenye “not free countries” kwa sababu ya kuminya haki za kisiasa na za kiraia halafu Rais siku ya demokrasia duniani kama ya leo anaenda kukutana na wanawake badala ya kukutana na wadau wa demokrasia.

View attachment 1938278
View attachment 1938318
View attachment 1938356
Wadau wa demokrasia ni milioni sitini za Watanzania. Hapa nyinyi chadema ndipo mnakosea - mnajimilikisha demokrasia kana kwamba inawahusu nyinyi tu! Ndiyo maana hampati support ya watanzania wengi. Nani aliye sema wapinzani ndio Wadau wa demokrasia peke yao. Hujui kwamba tangu enzi na enzi wanawake ndio wamekuwa Wadau wa kwanza wa demokrasia?
Kajifunze kwanza ni nani na nani ambao ni Wadau.
 
Wadau wa demokrasia ni milioni sitini za Watanzania. Hapa nyinyi chadema ndipo mnakosea - mnajimilikisha demokrasia kana kwamba inawahusu nyinyi tu! Ndiyo maana hampati support ya watanzania wengi.
Wapi nimesema kuwa mimi ni chadema?
Nani aliye sema wapinzani ndio Wadau wa demokrasia peke yao.
Wapi nimesema kuwa wapinzani ndiyo wadau pekee wa demokrasia Tanzania?
Hujui kwamba tangu enzi na enzi wanawake ndio wamekuwa Wadau wa kwanza wa demokrasia?
Kajifunze kwanza ni nani na nani ambao ni Wadau.
Unaweza kuthibitisha kuwa Tanzania wadau wa kwanza wa demokrasia ni wanawake?
 
September 15 ni siku ya kimataifa ya demokrasia duniani ambapo nchi mbalimbali duniani hupata fursa ya kujadili demokrasia ya nchi zao na wadau husika wa demokrasia katika nchi hizo kama vile vyama vya upinzani.

Sasa sielewi mantiki ya Rais Samia Suluhu Hassan kuitumia hiyo siku ya leo kuzungumza na wanawake wa Tanzania (mara ya pili) na sio wadau wa demokrasia (vyama vya siasa).

Katika hali ya kawaida nilikuwa nategemea Rais akutane na wadau wa demokrasia kama vile vyama vya upinzani kisha wajadili hatima ya demokrasia ya nchi yetu lakini yeye anakutana na wanawake na tena hii ni mara ya pili.Kwangu mimi jambo hili haliingii akilini.

Au siku ya wanawake Duniani (March 08) ndiyo atakutana na wadau wa demokrasia (hususani vyama vya siasa) kujadili masuala ya kidemokrasia?

Sielewi mantiki ya kuwakimbia wapinzani wake wa kisiasa ambao ndiyo wadau wakubwa wa demokrasia hapa nchini.Nielewesheni

Ukiangalia picha ya pili hapo chini Tanzania tumezidi kushuka katika marks za demokrasia duniani ambapo sasa hivi tumeshuka kutoka marks 40/100 hadi kufika marks 34/100.

Yaani kama ni mtihani wa darasani maana yake ni kwamba umepata marks 34 kati ya mia.Hii si kupata F?

Hii maana yake ni kwamba bado kidogo tunaingia kwenye “not free countries” kwa sababu ya kuminya haki za kisiasa na za kiraia halafu Rais siku ya demokrasia duniani kama ya leo anaenda kukutana na wanawake badala ya kukutana na wadau wa demokrasia.

View attachment 1938278
View attachment 1938318
View attachment 1938356
Hata mimi najiuliza sipati jibu! Siku ya demokrasia anakutana na wanawake wa ccm? Kwani ndiyo wadau wa demokrasia? Halafu anazungumza nao matakwa yake ya kuwa raisi 2025 siyo mambo ya demokrasia? Bado nashangaa!!!!
 
Back
Top Bottom