Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
- Thread starter
- #41
My Godness!!Sasa ni kitu gani unaandika hiki?!Kama huwezi kujenga hoja zenye mantic kamwe usiwe unaniquote!
Hivi huyu sio wewe unayeandika [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
1.Mimi nimesema kuwa usiniquote kama huna hoja zenye mantic kwa sababu ni kunipotezea muda.
2.Wewe ukadai kuwa nakataa usiniquote.
Kwa kukusaidia ni kwamba hizo hapo juu ni sentensi mbili tofauti kabisa na zenye maana mbili tofauti kabisa.Sentensi ya kwanza haitaki uniquote kwa sababu huna hoja zenye mantic na sentensi ya pili haitaki uniquote whatever what kitu ambacho sijakisema mimi bali umekisema wewe.Umeelewa sasa hivi?
Sijataka uandike ninachokitaka mimi bali nimetaka uandike hoja zenye mantic.Hivi ni vitu viwili tofauti kabisa.Naona unaleta hoja za kupimana nani anajua kusoma na kuandika.
Tatizo unataka niandike unachowaza wewe hiyo haiwezekani. Anyway tupunguze kubishana mimi na wewe tuwaache wadau wengine wachangie.