Mra nyingine nashindwa kuelewa kama mie ndio mwenye tatizo la kuelewa mabo au ni wale ninaowasikiliza wenye tatizo hilo.
Hap nyuma tuliambiwa kwamba hatutakuwa na lock down kwa ajili ya corona kwa kuwa nchi jirani zinatutegemea kuwafikishia bidhaa zao. Hata mifano ikatolewa ya Rwanda, Zambia, DRC na kdhalika. Baada ya muda nikasikia kwenye mpaka wetu na Rwanda madereva wa malori toka Tanzania wanazuiwa kuingia nchini Rwanda kuwapelekea bidhaa zinazoingia kupitia bandari zetu. Na sasa nasikia Zmbia nao wamefung mpaka japo sisi tuko tayari kuwendelea kuwapelekea bidhaa zao zinazoptia hapa kwetu.
Hebu nielewesheni, kwa nini hawa jamaa wanafanya hivi wakati lengo letu ni kuwaonyesha roho yetu nzuri kwa majirani? Kwa nini hawatuelewi lakini? Hawaoni kwamba raisi wetu ana ufikirio sana kwao?
Ukitaka kuelewa jinsi ulimwengu ulivyo naomba sikiliza hii Audio:
Katika Afrika nchi ambayo iko independent na ambayo inaubavu wa kuweza amua mambo yake yenyewe ni Tanzania tu mdogo wangu. Nchi zote nyingine za Afrika zimekuwa hijacked na mabeberu. Believe me! Usiwe suke na mazuri ya vitani wako. Huo ni moto ambao umefunikwa na majivu mengi.
Kenya, Uganda na Rwanda hawako sawa na sisi. Marais wa nchi hizi zote ni Mapappett tu wa wazungu. Umeona hivi juzi juzi Rais Kenyatta alivyo jikomba kwa wazungu? Subiri nitaku-update na data.
Na isitoshe Rais Magufuli aliomba IMF na World Bank wasamehe baadhi ya madeni yao kwenye kipindi hiki cha janga la Coronavirus ili hizo nchi ziweze pambana ma hili janga, umesikia hizo nchi zilicho fanya? Faster faster wamekubali kupokea mikopo kipya kutoka hao mabeberu. Huu sasa utauhitaje? Sio unafiki huo?
Hao ndiyo Marais tunao taka kuwa nao kwenye East African Community
Sisi tuna bahati ya lugha yetu ya kiswahili. Kiswahili ni lugha ya amani. Wazungu wamejaribu sana kutufarakanisha wameshindwa. Ndiyo maana wanatuletea Stations zao BBC, VOA na DW katika lugha yetu ili waweze kutumanipulate.
Kenya inatumiwa sana na wazungu kutuvuruga sisi. Toka enzi ya Nyerere.
Wahenga watakumbuka Vita vya Kagera mkenya ambaye tuna damu moja alitusaliti sisi na kumsaidia Idi Amini Dada.
Fumbua macho ndugu yangu. Usipende ya wazungu na majirani ukafiri utakuwa salama.
Rais Magufuli amewashtukia sasa. Imechukua mda mrefu sana. Nafikiri sasa ameanza kuelewa kuwa sisi tuko peke yetu.
Wewe nchi ambayo inapoteza Uhuru wake na kuwaacha wazungu waje kusuruhisha mgogoro wao unategemea kushirikiana nao?
Sent using
Jamii Forums mobile app