Nielewesheni; Magufuli alisema hatutafanya lockdown kwani nchi jirani zinategemea bandari zetu, nchi jirani zinazuia magari toka kwetu kuiingia kwao!

Nielewesheni; Magufuli alisema hatutafanya lockdown kwani nchi jirani zinategemea bandari zetu, nchi jirani zinazuia magari toka kwetu kuiingia kwao!

Mara nyingine nashindwa kuelewa kama mie ndio mwenye tatizo la kuelewa mabo au ni wale ninaowasikiliza wenye tatizo hilo.

Hap nyuma tuliambiwa kwamba hatutakuwa na lock down kwa ajili ya corona kwa kuwa nchi jirani zinatutegemea kuwafikishia bidhaa zao. Hata mifano ikatolewa ya Rwanda, Zambia, DRC na kdhalika.

Baada ya muda nikasikia kwenye mpaka wetu na Rwanda madereva wa malori toka Tanzania wanazuiwa kuingia nchini Rwanda kuwapelekea bidhaa zinazoingia kupitia bandari zetu. Na sasa nasikia Zmbia nao wamefung mpaka japo sisi tuko tayari kuwendelea kuwapelekea bidhaa zao zinazoptia hapa kwetu.

Hebu nielewesheni, kwa nini hawa jamaa wanafanya hivi wakati lengo letu ni kuwaonyesha roho yetu nzuri kwa majirani? Kwa nini hawatuelewi lakini? Hawaoni kwamba raisi wetu ana ufikirio sana kwao?
Ushauri wa bure wewe kama wewe jipange kwakujiweka mwenyewe lockdown akili za mbayuwayu changanya na zakwako
 
Mkuu, unajua hizo nchi watu wamekufa wangapi, ukilinganisha na hapa kwetu?
Hapa kwetu watu wamekufa kweli sio utani mim niko sector ya afya najionea miujiza sio chini ya watanzania 1,500 wamekufa mpaka sasa na kama tungekuwa tunapima effectively tungekuwa na wagonjwa au wenye maambukizi sio chini ya 10,000.Jamani mimi nawapa angalizo tu jikinge hakikisha immune yako iko vizuri unakula chakula bora,unapata muda wa kupumzika.Na wale wenye magonjwa ya moyo,kisukari na wako dhaifu wajilinde na muwalinde wasipate maambulizi kwani ni hatari sana.Watanzania wengi hakuna utamaduni wa kupima afya zetu kwa sababu ya hali za maisha.Anyway cha muhimu ni wewe ujilinde serikali haikutunzi wala kukupa dawa
 
Mara nyingine nashindwa kuelewa kama mie ndio mwenye tatizo la kuelewa mabo au ni wale ninaowasikiliza wenye tatizo hilo.

Hap nyuma tuliambiwa kwamba hatutakuwa na lock down kwa ajili ya corona kwa kuwa nchi jirani zinatutegemea kuwafikishia bidhaa zao. Hata mifano ikatolewa ya Rwanda, Zambia, DRC na kdhalika.

Baada ya muda nikasikia kwenye mpaka wetu na Rwanda madereva wa malori toka Tanzania wanazuiwa kuingia nchini Rwanda kuwapelekea bidhaa zinazoingia kupitia bandari zetu. Na sasa nasikia Zambia nao wamefunga mpaka japo sisi tuko tayari kuwendelea kuwapelekea bidhaa zao zinazoptia hapa kwetu.

Hebu nielewesheni, kwa nini hawa jamaa wanafanya hivi wakati lengo letu ni kuwaonyesha roho yetu nzuri kwa majirani? Kwa nini hawatuelewi lakini? Hawaoni kwamba raisi wetu ana ufikirio sana kwao?
Mkuu hiyo ya kuwasaidia wenzetu ili ni sababu tu ya kuhalarisha kutokuwepo na lockdown,swali ni kuwa je baba aliongea na wenzake kwanini asifunge mipaka? kwa maana angeongea nao nao wasingetufungia.Wewe huna tatizo kabisa tatizo lipo kwa tunaowasikiliza.
 
Sisi ni ndugu wa kila mmoja ata waki tutenga sisi tuta endelea kuwapenda tu



Alisikika waziri mmoja mwenye elimu yake akiongea ayo

sijui itakuaje
 
Mkuu hiyo ya kuwasaidia wenzetu ili ni sababu tu ya kuhalarisha kutokuwepo na lockdown,swali ni kuwa je baba aliongea na wenzake kwanini asifunge mipaka? kwa maana angeongea nao nao wasingetufungia.Wewe huna tatizo kabisa tatizo lipo kwa tunaowasikiliza.
Mkuu, nimesema hapo juu; tumemsikiliza Museveni akiongea, tumeona kutokuwapo kwa Tanzania kwenye mkutano wa SADC juu ya suala hili. Je tutasema tumeongea na wenzetu?

Lakini jambo la kuzingatia ni kwamba, kama nchi kama Zambia na Rwanda hazitapitisha mizigo yao Tanzania, kuna mahali watapitisha, na huko watakapoamua kupitisha usidhani kwamba wataacha kupitisha baada ya tatizo la korona kwisha. Mara nyingine hatuna uwezo wa kuona mbali. Kamwe tusifikiri nchi hizi zitajikomoa ili kuikomoa Tanzania kama wengi wasioona mbali wanavyofikiria
 
Mara nyingine nashindwa kuelewa kama mie ndio mwenye tatizo la kuelewa mabo au ni wale ninaowasikiliza wenye tatizo hilo.

Hap nyuma tuliambiwa kwamba hatutakuwa na lock down kwa ajili ya corona kwa kuwa nchi jirani zinatutegemea kuwafikishia bidhaa zao. Hata mifano ikatolewa ya Rwanda, Zambia, DRC na kdhalika.

Baada ya muda nikasikia kwenye mpaka wetu na Rwanda madereva wa malori toka Tanzania wanazuiwa kuingia nchini Rwanda kuwapelekea bidhaa zinazoingia kupitia bandari zetu. Na sasa nasikia Zambia nao wamefunga mpaka japo sisi tuko tayari kuwendelea kuwapelekea bidhaa zao zinazoptia hapa kwetu.

Hebu nielewesheni, kwa nini hawa jamaa wanafanya hivi wakati lengo letu ni kuwaonyesha roho yetu nzuri kwa majirani? Kwa nini hawatuelewi lakini? Hawaoni kwamba raisi wetu ana ufikirio sana kwao?

kwni wakifunga mipaka nani anaathirika??

TATIZO ni kuwa ilitakiwa uhamiaji, mambo ya nje na watu wa forwarding, waweke utaratibu mpakani wa madereva kubadilishana magari

NIA ya rais ilikuwa nzuri, mana kiuhalisia wao ndio watataka mipaka kufunguliwa na LAZIMA watafanya hivyo na hawana option

sasa nyie wenye gubu ndio mmechukulia negative, may be wao wamewasiliana official nini wanafanya

HIZO NCHI ZINAHITAJI ZAIDI KUWA NA MIKAPA WAZI KULIKO KUFUNGWA
 
Mkuu, nimesema hapo juu; tumemsikiliza Museveni akiongea, tumeona kutokuwapo kwa Tanzania kwenye mkutano wa SADC juu ya suala hili. Je tutasema tumeongea na wenzetu?

Lakini jambo la kuzingatia ni kwamba, kama nchi kama Zambia na Rwanda hazitapitisha mizigo yao Tanzania, kuna mahali watapitisha, na huko watakapoamua kupitisha usidhani kwamba wataacha kupitisha baada ya tatizo la korona kwisha. Mara nyingine hatuna uwezo wa kuona mbali. Kamwe tusifikiri nchi hizi zitajikomoa ili kuikomoa Tanzania kama wengi wasioona mbali wanavyofikiria

kumbe uliuliza una mambo yako kichwani?? wajuaji bana!! sasa kiliwazuia nini tangu mwanzo kupitishia huko? mbona waliishajadili hilo na wakashindwa??
 
Mara nyingine nashindwa kuelewa kama mie ndio mwenye tatizo la kuelewa mabo au ni wale ninaowasikiliza wenye tatizo hilo.

Hap nyuma tuliambiwa kwamba hatutakuwa na lock down kwa ajili ya corona kwa kuwa nchi jirani zinatutegemea kuwafikishia bidhaa zao. Hata mifano ikatolewa ya Rwanda, Zambia, DRC na kdhalika.

Baada ya muda nikasikia kwenye mpaka wetu na Rwanda madereva wa malori toka Tanzania wanazuiwa kuingia nchini Rwanda kuwapelekea bidhaa zinazoingia kupitia bandari zetu. Na sasa nasikia Zambia nao wamefunga mpaka japo sisi tuko tayari kuwendelea kuwapelekea bidhaa zao zinazoptia hapa kwetu.

Hebu nielewesheni, kwa nini hawa jamaa wanafanya hivi wakati lengo letu ni kuwaonyesha roho yetu nzuri kwa majirani? Kwa nini hawatuelewi lakini? Hawaoni kwamba raisi wetu ana ufikirio sana kwao?


Mkuu issue hapa ni uelewa na upotashaji unaofanyika,
hakuna aliyeomba lockdown ya kufunga kila kitu na kila sehemu.
ila ukweli ulio wazi miji ya Dar na Arusha ilikuw aya kwanza kuathirika, na ingewezekana kabisa kuziia watu kutoka na kuingia hiyo miji bila sababu maalum.

tumechelewa na kwasasa waTZ wote ni wagonjwa hakika.
sasa hatuponi na hatutapona nadhani tutakuw awamwisho duniani kulishidna hili gonjwa.
na kwasasa tunaelkeea majira ya mvua na baridi na covid 19 hayo ndio mazingira yake, tutegemeee vifoo zaidi.
 
WHO wamewambia Nchi jirani endapo wataendelea kuwambukiza wananchi wao kwa makusudi kwa kuruhusu Raia wa Tanzania kuingia kwao watakosa pesa za kupambana na corona, WHO wana taarifa kuwa CCM hawataki kupambana na corona ndiyo maana wameruhusu watu wakae vijiweni vibarazani wabanane misikitini makanisani waambukizane kwa wingi wafe ili CCM wapate kisingizio cha kuahirisha uchaguzi mkuu , WHO hawataki watanzania waambukizane Nchi jirani
Ajali zinaua watu wengi kuliko corona
 
Ukitaka kuelewa jinsi ulimwengu ulivyo naomba sikiliza hii Audio:

Katika Afrika nchi ambayo iko independent na ambayo inaubavu wa kuweza amua mambo yake yenyewe ni Tanzania tu mdogo wangu. Nchi zote nyingine za Afrika zimekuwa hijacked na mabeberu. Believe me! Usiwe suke na mazuri ya vitani wako. Huo ni moto ambao umefunikwa na majivu mengi.

Kenya, Uganda na Rwanda hawako sawa na sisi. Marais wa nchi hizi zote ni Mapappett tu wa wazungu. Umeona hivi juzi juzi Rais Kenyatta alivyo jikomba kwa wazungu? Subiri nitaku-update na data.

Na isitoshe Rais Magufuli aliomba IMF na World Bank wasamehe baadhi ya madeni yao kwenye kipindi hiki cha janga la Coronavirus ili hizo nchi ziweze pambana ma hili janga, umesikia hizo nchi zilicho fanya? Faster faster wamekubali kupokea mikopo kipya kutoka hao mabeberu. Huu sasa utauhitaje? Sio unafiki huo?

Hao ndiyo Marais tunao taka kuwa nao kwenye East African Community

Sisi tuna bahati ya lugha yetu ya kiswahili. Kiswahili ni lugha ya amani. Wazungu wamejaribu sana kutufarakanisha wameshindwa. Ndiyo maana wanatuletea Stations zao BBC, VOA na DW katika lugha yetu ili waweze kutumanipulate.

Kenya inatumiwa sana na wazungu kutuvuruga sisi. Toka enzi ya Nyerere.

Wahenga watakumbuka Vita vya Kagera mkenya ambaye tuna damu moja alitusaliti sisi na kumsaidia Idi Amini Dada.

Fumbua macho ndugu yangu. Usipende ya wazungu na majirani ukafiri utakuwa salama.

Rais Magufuli amewashtukia sasa. Imechukua mda mrefu sana. Nafikiri sasa ameanza kuelewa kuwa sisi tuko peke yetu.

Wewe nchi ambayo inapoteza Uhuru wake na kuwaacha wazungu waje kusuruhisha mgogoro wao unategemea kushirikiana nao?



Sent using Jamii Forums mobile app

Ujinga tu,eti tuko huru?uko huru na mnanuka madeni?hiyo pesa mwenzio anaitaman we unaleta propaganda 😂😂😂😂😂😂acheni kujidanganya watanzania washaamka
 
Mara nyingine nashindwa kuelewa kama mie ndio mwenye tatizo la kuelewa mabo au ni wale ninaowasikiliza wenye tatizo hilo.

Hap nyuma tuliambiwa kwamba hatutakuwa na lock down kwa ajili ya corona kwa kuwa nchi jirani zinatutegemea kuwafikishia bidhaa zao. Hata mifano ikatolewa ya Rwanda, Zambia, DRC na kdhalika.

Baada ya muda nikasikia kwenye mpaka wetu na Rwanda madereva wa malori toka Tanzania wanazuiwa kuingia nchini Rwanda kuwapelekea bidhaa zinazoingia kupitia bandari zetu. Na sasa nasikia Zambia nao wamefunga mpaka japo sisi tuko tayari kuwendelea kuwapelekea bidhaa zao zinazoptia hapa kwetu.

Hebu nielewesheni, kwa nini hawa jamaa wanafanya hivi wakati lengo letu ni kuwaonyesha roho yetu nzuri kwa majirani? Kwa nini hawatuelewi lakini? Hawaoni kwamba raisi wetu ana ufikirio sana kwao?
Rais wetu hakufikiria hizo nchi bali yeye mwenyewe katika kukusanya kodi za kulipia ndege anazodai zimeshalipiwa, anaogopa uchumi utashuka kipindi hiki cha uchaguzi, hatumii busara na kujua ana sababu za uchumi kushuka dunia nzima.
 
Ebu fikiria wenyeviti wa Serikali za mitaa wote ni wa CCM lakini cha ajabu hawahangaiki kuzuia wananchi wao kukaa vijiweni vibarazani kurundikana kuambukizana hovyo, wameamua watanzania wafe kiwepesi lakini sasa Duniani kote wamejua Tanzania inasaka kisingizio cha kuahirisha uchaguzi mkuu kwa kuwatoa Raia wake kafara kwa njia hizo za kuruhusu umati vijiwe watu kujazana makanisani misikitini misibani na sasa tarehe 22 may 2020 watafungua shule watoto wakaambukizane mashuleni wafe na walimu wafe sababu kuu ni kusaka kisingizio cha kuahirisha uchaguzi mkuu.

Mtapambana sana lakini hamtashinda, corona itapita mtasahau kama hao majirani waliwahi kufunga mipaka.
 
Ukitaka kuelewa jinsi ulimwengu ulivyo naomba sikiliza hii Audio:

Katika Afrika nchi ambayo iko independent na ambayo inaubavu wa kuweza amua mambo yake yenyewe ni Tanzania tu mdogo wangu. Nchi zote nyingine za Afrika zimekuwa hijacked na mabeberu. Believe me! Usiwe suke na mazuri ya vitani wako. Huo ni moto ambao umefunikwa na majivu mengi.

Kenya, Uganda na Rwanda hawako sawa na sisi. Marais wa nchi hizi zote ni Mapappett tu wa wazungu. Umeona hivi juzi juzi Rais Kenyatta alivyo jikomba kwa wazungu? Subiri nitaku-update na data.

Na isitoshe Rais Magufuli aliomba IMF na World Bank wasamehe baadhi ya madeni yao kwenye kipindi hiki cha janga la Coronavirus ili hizo nchi ziweze pambana ma hili janga, umesikia hizo nchi zilicho fanya? Faster faster wamekubali kupokea mikopo kipya kutoka hao mabeberu. Huu sasa utauhitaje? Sio unafiki huo?

Hao ndiyo Marais tunao taka kuwa nao kwenye East African Community

Sisi tuna bahati ya lugha yetu ya kiswahili. Kiswahili ni lugha ya amani. Wazungu wamejaribu sana kutufarakanisha wameshindwa. Ndiyo maana wanatuletea Stations zao BBC, VOA na DW katika lugha yetu ili waweze kutumanipulate.

Kenya inatumiwa sana na wazungu kutuvuruga sisi. Toka enzi ya Nyerere.

Wahenga watakumbuka Vita vya Kagera mkenya ambaye tuna damu moja alitusaliti sisi na kumsaidia Idi Amini Dada.

Fumbua macho ndugu yangu. Usipende ya wazungu na majirani ukafiri utakuwa salama.

Rais Magufuli amewashtukia sasa. Imechukua mda mrefu sana. Nafikiri sasa ameanza kuelewa kuwa sisi tuko peke yetu.

Wewe nchi ambayo inapoteza Uhuru wake na kuwaacha wazungu waje kusuruhisha mgogoro wao unategemea kushirikiana nao?



Sent using Jamii Forums mobile app

Mnapotakiwa kuonyesha way forward mnaleta hadithi za kufikirika .....oh mara Tanzania hivi .......oh mara Tanzania vile acheni propaganda za zidumu fikira za Mwenyekiti ............. analeta hadithi tulizokuwa tunasimuliana shuleni kuhusu Mzee Kawawa R.I.P
 
Back
Top Bottom