Ukitaka kuelewa jinsi ulimwengu ulivyo naomba sikiliza hii Audio:
Katika Afrika nchi ambayo iko independent na ambayo inaubavu wa kuweza amua mambo yake yenyewe ni Tanzania tu mdogo wangu. Nchi zote nyingine za Afrika zimekuwa hijacked na mabeberu. Believe me! Usiwe suke na mazuri ya vitani wako. Huo ni moto ambao umefunikwa na majivu mengi.
Kenya, Uganda na Rwanda hawako sawa na sisi. Marais wa nchi hizi zote ni Mapappett tu wa wazungu. Umeona hivi juzi juzi Rais Kenyatta alivyo jikomba kwa wazungu? Subiri nitaku-update na data.
Na isitoshe Rais Magufuli aliomba IMF na World Bank wasamehe baadhi ya madeni yao kwenye kipindi hiki cha janga la Coronavirus ili hizo nchi ziweze pambana ma hili janga, umesikia hizo nchi zilicho fanya? Faster faster wamekubali kupokea mikopo kipya kutoka hao mabeberu. Huu sasa utauhitaje? Sio unafiki huo?
Hao ndiyo Marais tunao taka kuwa nao kwenye East African Community
Sisi tuna bahati ya lugha yetu ya kiswahili. Kiswahili ni lugha ya amani. Wazungu wamejaribu sana kutufarakanisha wameshindwa. Ndiyo maana wanatuletea Stations zao BBC, VOA na DW katika lugha yetu ili waweze kutumanipulate.
Kenya inatumiwa sana na wazungu kutuvuruga sisi. Toka enzi ya Nyerere.
Wahenga watakumbuka Vita vya Kagera mkenya ambaye tuna damu moja alitusaliti sisi na kumsaidia Idi Amini Dada.
Fumbua macho ndugu yangu. Usipende ya wazungu na majirani ukafiri utakuwa salama.
Rais Magufuli amewashtukia sasa. Imechukua mda mrefu sana. Nafikiri sasa ameanza kuelewa kuwa sisi tuko peke yetu.
Wewe nchi ambayo inapoteza Uhuru wake na kuwaacha wazungu waje kusuruhisha mgogoro wao unategemea kushirikiana nao?
Sent using
Jamii Forums mobile app