Nielewesheni; Magufuli alisema hatutafanya lockdown kwani nchi jirani zinategemea bandari zetu, nchi jirani zinazuia magari toka kwetu kuiingia kwao!

Ushauri wa bure wewe kama wewe jipange kwakujiweka mwenyewe lockdown akili za mbayuwayu changanya na zakwako
 
Mkuu, unajua hizo nchi watu wamekufa wangapi, ukilinganisha na hapa kwetu?
Hapa kwetu watu wamekufa kweli sio utani mim niko sector ya afya najionea miujiza sio chini ya watanzania 1,500 wamekufa mpaka sasa na kama tungekuwa tunapima effectively tungekuwa na wagonjwa au wenye maambukizi sio chini ya 10,000.Jamani mimi nawapa angalizo tu jikinge hakikisha immune yako iko vizuri unakula chakula bora,unapata muda wa kupumzika.Na wale wenye magonjwa ya moyo,kisukari na wako dhaifu wajilinde na muwalinde wasipate maambulizi kwani ni hatari sana.Watanzania wengi hakuna utamaduni wa kupima afya zetu kwa sababu ya hali za maisha.Anyway cha muhimu ni wewe ujilinde serikali haikutunzi wala kukupa dawa
 
Mkuu hiyo ya kuwasaidia wenzetu ili ni sababu tu ya kuhalarisha kutokuwepo na lockdown,swali ni kuwa je baba aliongea na wenzake kwanini asifunge mipaka? kwa maana angeongea nao nao wasingetufungia.Wewe huna tatizo kabisa tatizo lipo kwa tunaowasikiliza.
 
Sisi ni ndugu wa kila mmoja ata waki tutenga sisi tuta endelea kuwapenda tu



Alisikika waziri mmoja mwenye elimu yake akiongea ayo

sijui itakuaje
 
Mkuu, nimesema hapo juu; tumemsikiliza Museveni akiongea, tumeona kutokuwapo kwa Tanzania kwenye mkutano wa SADC juu ya suala hili. Je tutasema tumeongea na wenzetu?

Lakini jambo la kuzingatia ni kwamba, kama nchi kama Zambia na Rwanda hazitapitisha mizigo yao Tanzania, kuna mahali watapitisha, na huko watakapoamua kupitisha usidhani kwamba wataacha kupitisha baada ya tatizo la korona kwisha. Mara nyingine hatuna uwezo wa kuona mbali. Kamwe tusifikiri nchi hizi zitajikomoa ili kuikomoa Tanzania kama wengi wasioona mbali wanavyofikiria
 

kwni wakifunga mipaka nani anaathirika??

TATIZO ni kuwa ilitakiwa uhamiaji, mambo ya nje na watu wa forwarding, waweke utaratibu mpakani wa madereva kubadilishana magari

NIA ya rais ilikuwa nzuri, mana kiuhalisia wao ndio watataka mipaka kufunguliwa na LAZIMA watafanya hivyo na hawana option

sasa nyie wenye gubu ndio mmechukulia negative, may be wao wamewasiliana official nini wanafanya

HIZO NCHI ZINAHITAJI ZAIDI KUWA NA MIKAPA WAZI KULIKO KUFUNGWA
 

kumbe uliuliza una mambo yako kichwani?? wajuaji bana!! sasa kiliwazuia nini tangu mwanzo kupitishia huko? mbona waliishajadili hilo na wakashindwa??
 


Mkuu issue hapa ni uelewa na upotashaji unaofanyika,
hakuna aliyeomba lockdown ya kufunga kila kitu na kila sehemu.
ila ukweli ulio wazi miji ya Dar na Arusha ilikuw aya kwanza kuathirika, na ingewezekana kabisa kuziia watu kutoka na kuingia hiyo miji bila sababu maalum.

tumechelewa na kwasasa waTZ wote ni wagonjwa hakika.
sasa hatuponi na hatutapona nadhani tutakuw awamwisho duniani kulishidna hili gonjwa.
na kwasasa tunaelkeea majira ya mvua na baridi na covid 19 hayo ndio mazingira yake, tutegemeee vifoo zaidi.
 
Ajali zinaua watu wengi kuliko corona
 
Ujinga tu,eti tuko huru?uko huru na mnanuka madeni?hiyo pesa mwenzio anaitaman we unaleta propaganda πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚acheni kujidanganya watanzania washaamka
 
Rais wetu hakufikiria hizo nchi bali yeye mwenyewe katika kukusanya kodi za kulipia ndege anazodai zimeshalipiwa, anaogopa uchumi utashuka kipindi hiki cha uchaguzi, hatumii busara na kujua ana sababu za uchumi kushuka dunia nzima.
 

Mtapambana sana lakini hamtashinda, corona itapita mtasahau kama hao majirani waliwahi kufunga mipaka.
 
Mnapotakiwa kuonyesha way forward mnaleta hadithi za kufikirika .....oh mara Tanzania hivi .......oh mara Tanzania vile acheni propaganda za zidumu fikira za Mwenyekiti ............. analeta hadithi tulizokuwa tunasimuliana shuleni kuhusu Mzee Kawawa R.I.P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…