Niende Capetown, Pretoria au Johannesburg?

Niende Capetown, Pretoria au Johannesburg?

Wakuu heshima zenu.
Moja kwa moja kwenye mada husika.

Nataka kwenda South Africa kujaribu bahati yangu huko pia,maana uwanja wa nyumbani naona maji yananizidi kina kila uchwao...simaanishi kwamba nimejaribu kila kitu hapa nyumbani bongo "hapana" ,ila kuna baadhi ya vitu ambavyo huwa wanaume tunavifanya pale tunapokuwa desperate kuelekea the point of hitting-the-rock-bottom kwaajili ya kupata chochote kitu...sasa kusema ule ukweli siwezi kuvifanya hapa nyumbani(na hii ni kwasababu zangu binafsi ambazo kwako huenda ukaona ni sababu za kipuuzi,ila utofauti huu wa kimtazamo ndio sifa moja ya binadamu kamili right?)....

Sasa baadhi ya vitu ambavyo nipo tayari kuvifanya nje na sio hapa nyumbani ni kama kubeba mizigo bandarini/viwandani,kuuza vitu kwenye traffic jam,kutembeza bidhaa kitaa(street vendoring),....nk nahisi ushapata picha nini namaanisha.
Sasa kati ya nchi zote nimeichagua south africa sababu ya diversity ya hustlers waliopo kule, sasa shida ni kwamba siyajui kiundani majiji haya matatu Capetown, Pretoria na Johannesburg.

Hivo kwa mwenye kujua au anayeishi katika moja ya majiji hayo naomba kujuzwa taarifa za msingi kuhusu majiji haya matatu.
Asante.

"We're born to suffer"
Lucky Dube
tafuta nchi ya ulaya nenda kazamie huko, africa hata ukienda jobagi au takataka gani mii yote ni shit hole tu. mwafrika unazamia africa? wapi na wapi?
 
Wakuu heshima zenu.
Moja kwa moja kwenye mada husika.

Nataka kwenda South Africa kujaribu bahati yangu huko pia,maana uwanja wa nyumbani naona maji yananizidi kina kila uchwao...simaanishi kwamba nimejaribu kila kitu hapa nyumbani bongo "hapana" ,ila kuna baadhi ya vitu ambavyo huwa wanaume tunavifanya pale tunapokuwa desperate kuelekea the point of hitting-the-rock-bottom kwaajili ya kupata chochote kitu...sasa kusema ule ukweli siwezi kuvifanya hapa nyumbani(na hii ni kwasababu zangu binafsi ambazo kwako huenda ukaona ni sababu za kipuuzi,ila utofauti huu wa kimtazamo ndio sifa moja ya binadamu kamili right?)....

Sasa baadhi ya vitu ambavyo nipo tayari kuvifanya nje na sio hapa nyumbani ni kama kubeba mizigo bandarini/viwandani,kuuza vitu kwenye traffic jam,kutembeza bidhaa kitaa(street vendoring),....nk nahisi ushapata picha nini namaanisha.
Sasa kati ya nchi zote nimeichagua south africa sababu ya diversity ya hustlers waliopo kule, sasa shida ni kwamba siyajui kiundani majiji haya matatu Capetown, Pretoria na Johannesburg.

Hivo kwa mwenye kujua au anayeishi katika moja ya majiji hayo naomba kujuzwa taarifa za msingi kuhusu majiji haya matatu.
Asante.

"We're born to suffer"
Lucky Dube
Kama mbongo mwenzangu naomba nikushauri mambo machache.

1. Passport
Hakikisha wakati unakuja huku angalau passport yako iwe badobado mpya, toka umeipata mpaka sasa. Kwaana gani unapokuja huku unakuja kutafuta maisha so inamaana mpaka michongo ikae vizur itakuchukua kipindi kidogo ili usije ukapata usumbufu, umepata kazi then passport ndio inaishia muda wake

2.Visa.. Njooo na viza inayoelewa kwa maana ya visa yako ya kukaa huku iwe angalau sii chini ya 3 yrs, kwanini nasema hivi 3 ukiwa huku tayari umepata mchongo na saving ushaweka so unawaza tena kuja bongo na ku renew viza yako then unarudi...
 
Hizi mada zinakuja sana humu JF,na wengi wanaochangia ni watanzania waliojaa husuda, fitina, kukatishana tamaa na kebehi nyingi tu, mtoa hoja sikiliza mkuu maisha ni popote hapa duniani, kufa tunakufa popote usiogope, jiandae kisaikolojia kichwani na uelewe na uamue kuwa no turning back, good luck mkuu nenda kajaribu maisha, kule kuna dudula hapa kuna panya road usiogope, ukifika wabongo kaa nao mbali sana, wengi wako kama hawa humu wanaokukatisha tamaa, jhb ni kama Dar, pilika nyingi, mzunguko wa pesa upo, kifo kipo mkononi ila ndio sehemu ya kutafuta, Durban kuna opportunities nyingi sana hasa za ujenzi baada ya yale machafuko ya July, Capetown ni mji mzuri mno ila kwa waliojijenga tayari, kuko peace ila cost of living ipo hai, kwangu kama umekomaa kichwani ingia jhb straight, again kiswahili cha kibongo wakimbie, jichanganye na warundi,wakongo, wakenya even wapopo, good luck mkuu,ukifanikiwa on the way back via lingusenguse tusalimiane
Kwanini mara nyingi mnasisitiza wanaoenda ughaibuni wakae mbali na wabongo wa huko ?
 
Wakuu heshima zenu.
Moja kwa moja kwenye mada husika.

Nataka kwenda South Africa kujaribu bahati yangu huko pia,maana uwanja wa nyumbani naona maji yananizidi kina kila uchwao...simaanishi kwamba nimejaribu kila kitu hapa nyumbani bongo "hapana" ,ila kuna baadhi ya vitu ambavyo huwa wanaume tunavifanya pale tunapokuwa desperate kuelekea the point of hitting-the-rock-bottom kwaajili ya kupata chochote kitu...sasa kusema ule ukweli siwezi kuvifanya hapa nyumbani(na hii ni kwasababu zangu binafsi ambazo kwako huenda ukaona ni sababu za kipuuzi,ila utofauti huu wa kimtazamo ndio sifa moja ya binadamu kamili right?)....

Sasa baadhi ya vitu ambavyo nipo tayari kuvifanya nje na sio hapa nyumbani ni kama kubeba mizigo bandarini/viwandani,kuuza vitu kwenye traffic jam,kutembeza bidhaa kitaa(street vendoring),....nk nahisi ushapata picha nini namaanisha.
Sasa kati ya nchi zote nimeichagua south africa sababu ya diversity ya hustlers waliopo kule, sasa shida ni kwamba siyajui kiundani majiji haya matatu Capetown, Pretoria na Johannesburg.

Hivo kwa mwenye kujua au anayeishi katika moja ya majiji hayo naomba kujuzwa taarifa za msingi kuhusu majiji haya matatu.
Asante.

"We're born to suffer"
Lucky Dube
Nenda NAMTUMBO maana hao unawafuata huko wanapatikana Namtumbo
 
Kijana anakaa S.Africa mika 20 akifa kumsafirisha inakua issue wanazika hukohuko.
kwao njaa wanauliza kaacha nini mtutumie,wanaambiwa akuna sasa unajiuliza si angebaki home akawasaidia wazazi wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama mbongo mwenzangu naomba nikushauri mambo machache.

1. Passport
Hakikisha wakati unakuja huku angalau passport yako iwe badobado mpya, toka umeipata mpaka sasa. Kwaana gani unapokuja huku unakuja kutafuta maisha so inamaana mpaka michongo ikae vizur itakuchukua kipindi kidogo ili usije ukapata usumbufu, umepata kazi then passport ndio inaishia muda wake

2.Visa.. Njooo na viza inayoelewa kwa maana ya visa yako ya kukaa huku iwe angalau sii chini ya 3 yrs, kwanini nasema hivi 3 ukiwa huku tayari umepata mchongo na saving ushaweka so unawaza tena kuja bongo na ku renew viza yako then unarudi...
Mkuu samahani, hiyo visa ya 3 years unaipataje?
 
tafuta nchi ya ulaya nenda kazamie huko, africa hata ukienda jobagi au takataka gani mii yote ni shit hole tu. mwafrika unazamia africa? wapi na wapi?
mbona kawaida tu, mbona kuna wa america (Mexican, Cuban,) wanazamia america ,usa .
Kuna wazungu kibao wa western europe wanazamia tu nchi nyingine za ulaya mashariki?
 
Baki dar au nenda mwanza ila kama haiwezekani kabisa basi nenda cape town sababu
1.kuna mall nyingi sana na parks zinatoa part time job sana
2.wazungu wapo wengi na wale wanaajiri sana.
3.Angalau Kuna amani
4.mzunguko wake wa pesa uko vizuri
5.Wakhosa sio wabaya sana kama Zulu
Namba 3 upo sahihi??
 
Kwa ujumla kaka ungeamua mwenyewe tu na moyo wako ni mji gani ukadondokee pale kaburu ila ukisema ufuate ushauri wa wabongo nakwambia hatutoboi hata kidogo. Sisi wabongo kazi yetu ni kutishana na kuvunjana moyo tu.... Mi nakushauri usiku wa Leo kaa na halmashauri yako ya kichwa then hasubuhi utoke na majibu wewe kama wewe then yafanyie kazi.
 
Yaan nmegundua ni kwanini inafikia hatua mpaka mtu anaamua kutukana....mkuu umesoma vizuriii uzi wangu??? em nionyeshe ni wapi nimesema naenda kutafuta utajiri???
Afu usivo na aibu unasema eti ngozi nyeusi haitakiwiii na ni nchi ya bara lako la Afrika nnayoongelea, je ningesema naenda UK au USA ungesemaje????...
Kwanza elewa kwamba wanaokukosoa kabla hujaondoka ni wazuri sana kwako, kuliko wanaokuunga mkono kabla hayajakupata!
Siku zote mwenye akili atachukua tahadhari ambayo ni nzuri mno kimafanikio.
Pili, ni kweli hata hapa bongo unaweza kufanikiwa kwa juhudi ileile utakayofanya kule Bondeni ufanikiwe.
Tatu, wakati wa sasa kazi za kibishi kila mahali zimekabwa!
Zamani ilikuwa uhakika zaidi.
Siku hizi kuzamia ni sawa na kucheza bonanza la mchina
 
Tafuta chuo huko chenye course ya 3 yrs apply, ukikubaliwa andaa hela ya bima ya afya ya mwanafunzi hii inalipiwa mwaka mmoja, baada ya hivi vitu ukiwa na passport nenda ubalozini kwao ndani ya mwezi mmoja permit iko tayar kwa wewe kwenda zako huko, hii njia ni bora ambayo nita m recommend mtu yeyote anayetaka kwenda south kuitumia

Kwasababu gani 3, wakati ukiwa huko permit yako itakupa muda mrefu wakutafuta kazi... Kila la kheri
Mkuu samahani, hiyo visa ya 3 years unaipataje?
 
Back
Top Bottom