Hapa hapa kwa nyerere,ya nini niende ulaya,sijui hata misele ya huko,kuishi kama dikidiki kwenye msitu wa simba mimi siwezi, zamani palikuwa panaishu huko sio sasa hivi binadamu wametengeneza roho mbaya,nisije bure nikatolewa bandana na Figo yangu,ugali wa mlenda na daga wa mwanza nitawapati wapi nikienda huko,daah eti nikabebe maboks,mara town kuuza vinywaji kwenye magari mmhhh nani anataka maisha ya kiwaki hivyoo,naseti mipango na toboa hapa hapa bongo,mbona wazazi wangu wamenilea vinzuri bila ya kwenda South??hauna ndugu wala jamaa sindo unaenda kuwa bwabwa 🤭🤭🤭