Niende Capetown, Pretoria au Johannesburg?

Asante, hivyo hiyo bima ni kiasi gani? Pia kwa ujumla niandae bajeti ya kiasi gani itakayo niwezesha kuishi huko kabla sijapata kazi? Nisaidie kunielewesha maana mimi ni miongoni mwa watu tunaotafuta namna ya kujinasua
 
Asante, hivyo hiyo bima ni kiasi gani? Pia kwa ujumla niandae bajeti ya kiasi gani itakayo niwezesha kuishi huko kabla sijapata kazi? Nisaidie kunielewesha maana mimi ni miongoni mwa watu tunaotafuta namna ya kujinasua
Huku kama unayo mtu wakukupokea hapo kakupunguzia mzigo kwenye chakula na malazi, maana wakati wakutafuta ukiwa na makazi na chakula, akili inakuwa inatulia kwenye kutafuta kazi tuu.... Bima zipo za namna nyingi yani ni kama classes za maisha kuna first, middle na classes ya mwisho. Sasa wewe mfuko wako unaegemea class gani hapo,kwenye kutaka bima?
 
mbona kawaida tu, mbona kuna wa america (Mexican, Cuban,) wanazamia america ,usa .
Kuna wazungu kibao wa western europe wanazamia tu nchi nyingine za ulaya mashariki?
hata hujaelewa somo. usifananishe western europe, america ya kaskazini na huo uswahili. America is America, Europe is Europe, and Africa is AFrica.
 
fungua duka la vyakula na bidhaa mchanganyiko kama la Mangi. Utanishukuru baadaye. south Africa ndiyo chimbuko la shida kwa africa. utakuja kujuta
 
Nenda miji mdogo kama Kimberley au Gqeberha. Ishi locations (kwenye slums) fungua saloon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…