Niende Uganda ama Kenya

Niende Uganda ama Kenya

Usiende Kenya, wabinafsi, makatili, wabaguzi na wana roho mbaya mno.

Uganda kama ni muendekeza uchi hasa misambwanda basi juwa ndio utalowea kabisa.

Kwa swala la fursa kote Kenya na Uganda ni pangu pakavu kama Bongo tu.
acha zako bhana Kwan hapa Tz hamna ayo. ulio sema mm nimekua Kenya sasa Mienz kadha inaenda sijaona watu wenye moyo na walio sereous na maisha kama kenya
 
Kenya Pesa ipo Japo kila mtu kenya yuko na yake kwaio kukopa sijui kuazima sio sana
na wakijua wew ni mbongo aghh🤣😂😂wanajua sisi ni wachawi na waongo sema saiv kenya wamechagawa sana Na Mambo anayo fanya LUTO

vicha na wehu ni wengi mmno mtaani
 
Back
Top Bottom