Bata Boy Official
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 259
- 309
- Thread starter
- #21
Iko Kampala ama?Karibu matombo rafiki,kuna pesa ya kumwagaaaa.
Tutalima,tutavuna na kufuga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iko Kampala ama?Karibu matombo rafiki,kuna pesa ya kumwagaaaa.
Tutalima,tutavuna na kufuga.
Asante kwa ushauri, vp sehemu UG kuna wabongo wengi?Kwa gharama za maisha Uganda,,,,,.......Kenya nenda katembee tu
Chumba kupanga Uganda inaweza kuwa bei gani? Uswahilini ya Kampala...maana huko ndo inakuwa simple kuanzia maisha na kupata experience ya kutoshaKwa gharama za maisha Uganda,,,,,.......Kenya nenda katembee tu
Sikimbii kitu mkuu, nimeamua kuexplore maisha ya nchi mbalimbali kwa namna hiyo, ila fika najua bongo is the bestUnataka kuruka mikojo ukakanyage mavi wewe.
Sasa hapo unakimbia nini ikiwa hizo nchi zote mbili zinashinda na sisi kwa njaa na ukata.
Tanzania vijijini.Iko Kampala ama?
Sikimbii kitu mkuu, nimeamua kuexplore maisha ya nchi mbalimbali kwa namna hiyo, ila fika najua bongo is the best
acha zako bhana Kwan hapa Tz hamna ayo. ulio sema mm nimekua Kenya sasa Mienz kadha inaenda sijaona watu wenye moyo na walio sereous na maisha kama kenyaUsiende Kenya, wabinafsi, makatili, wabaguzi na wana roho mbaya mno.
Uganda kama ni muendekeza uchi hasa misambwanda basi juwa ndio utalowea kabisa.
Kwa swala la fursa kote Kenya na Uganda ni pangu pakavu kama Bongo tu.
Kumbe ushajua ni zangu sasa nini kimekuzuia kusema zako bila kujibu zangu???acha zako bhana Kwan hapa Tz hamna ayo. ulio sema mm nimekua Kenya sasa Mienz kadha inaenda sijaona watu wenye moyo na walio sereous na maisha kama kenya
Kuna shida gani kurudi nazo mkuu?Nenda Mozambique, huko hela ni za kuzoa ila shida ni jinsi ya kurudi nazo bongo
Mkoa gani mkuu? Napenda kilimo piaTanzania vijijini.
Labda akaishi vijijini lakini sio jijini. Kampala maisha yako juu Bora ya bongoKwa gharama za maisha Uganda,,,,,.......Kenya nenda katembee tu
Matombo?Karibu matombo rafiki,kuna pesa ya kumwagaaaa.
Tutalima,tutavuna na kufuga.
Upo kenya sehemu gani mkuu?acha zako bhana Kwan hapa Tz hamna ayo. ulio sema mm nimekua Kenya sasa Mienz kadha inaenda sijaona watu wenye moyo na walio sereous na maisha kama kenya
MombasaUpo kenya sehemu gani mkuu?
Kampala sehemu gani mkuu...maana hata dar kuna sehemu kuishi ni expensive kuliko sehemu nyingine na ni Dar moja iyo iyoLabda akaishi vijijini lakini sio jijini. Kampala maisha yako juu Bora ya bongo