Bata Boy Official
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 259
- 309
- Thread starter
-
- #61
Ningefurahi ungekuwa serious kidogo maana kuna mamia wanapitia au watapitia hiki tunachokiandikaMorogoro milimani,karibu sana.
Ila network hapa shida niko juu ya mti nikipeana taarifa na ndugu zangu wa JF.
Shukrani mkuuBei kama za bongo nenda mitaa ya industrial area Kabowa, Narukorongo uta enjoy maisha
Kwa Afrika Nchi nzuri za kwenda kufanya biashara ni Uganda, Namibia, Botswana, Mauritius au Shelisheli.Wapi unashauri mtu aende KENYA ama UGANDA?
Jana ilikuwa tanga, Leo morogoro 🤣🤣Morogoro milimani,karibu sana.
Ila network hapa shida niko juu ya mti nikipeana taarifa na ndugu zangu wa JF.
[emoji16][emoji16]Unataka kuruka mikojo ukakanyage mavi wewe.
Sasa hapo unakimbia nini ikiwa hizo nchi zote mbili zinashindana na sisi kwa njaa na ukata.
Punguza Wivu kijana.Jana ilikuwa tanga, Leo morogoro 🤣🤣
ain't envying you bro, bahoji kwa wema tu😀Punguza Wivu kijana.
Ok , na wewe karibu matombo.ain't envying you bro, bahoji kwa wema tu😀
Ko ume travel kwa speed ya light ehh🤓🤣, Yani for 1 day ume Lima na kufuga, miksa staying juu ya mti🤣Ok , na wewe karibu matombo.
Kwahiyo nikifanya kilimo nikae shamba kulinda muda wote?Ko ume travel kwa speed ya light ehh🤓🤣, Yani for 1 day ume Lima na kufuga, miksa staying juu ya mti🤣
i hope mta vuna kwa speed ya keyboard 😄🤣.Kwahiyo nikifanya kilimo nikae shamba kulinda muda wote?
Tunalima mazao tofauti hata sasa we're straight up farming with the crew na tumeshiba ugali wa nguvu,kazi inaendelea.
Hahaha!i hope mta vuna kwa speed ya keyboard 😄🤣.
Kenya hapana simshauri, hatoishi kwa amani. Polisi wa Kenya ni wasumbufu sana kutwa kusaka wageni na wakikukuta mgeni uwe na documents zote mpaka COVID 19 certificate utembee nayoacha zako bhana Kwan hapa Tz hamna ayo. ulio sema mm nimekua Kenya sasa Mienz kadha inaenda sijaona watu wenye moyo na walio sereous na maisha kama kenya
To be honest, naamini tz Ina potential kubwa kuliko sehemu hizo.Hahaha!
Unamshauri mleta thread afike Uganda au kenya?
Achana na mambo ya kukutana na wabongo mahali,Iyo Fort potal kuna wabongo wenzetu wengi sio?
Naaaaam,wazo zuri pia.To be honest, naamini tz Ina potential kubwa kuliko sehemu hizo.
ajaribu ku break through hiki kipindi kigumu alicho nacho, anaeza hama mkoa au wilaya.
Au hata KU change Aina ya mishe anazo fanya, Kama ni msomi, aweke gamba la cheti chini ili awe hustler wa kimtaa zaidi .
au mpe kazi huko matombo 😄Naaaaam,wazo zuri pia.
Sawa Tu kama unapata hiyo nafasiE
Exchange rate sio kitu.
Kama ukiwa Engineer Uganda ukalipwa 10M ya Uganda. Na Engineer wa Tz akalipwa 6.2M ya Tz ,si inakuwa sawa tu?