Niezeke bati la kiwanda gani kati ya Alaf na Sunshare?

Niezeke bati la kiwanda gani kati ya Alaf na Sunshare?

tatizo mabati ya mawakala ni fake mengi
mm nili nunua mabati pale sunshare kiwandani hadi leo mwaka wa 4 bado kupauka.


ushauri wangu ukitaka bati nyingi tafuta wakala kanunue kiwandani
Yes kamanda upo sahihi nilienda kiwandani kwao nikanunua bati zao. Ziko na rangi Ile Ile mpaka leo. Ukiziangalia kama plastic flani hivi lkn ni bati na zikiwekwa Mia hapo chini unaweza dhani zipo ishirini. Sunshare wako Safi Sana toka 2017 mpaka leo nearly 6 yrs hazijapauka ziko vile vile
 
tatizo mabati ya mawakala ni fake mengi
mm nili nunua mabati pale sunshare kiwandani hadi leo mwaka wa 4 bado kupauka.


ushauri wangu ukitaka bati nyingi tafuta wakala kanunue kiwandani
Miaka 4 bado ni muda mfupi sana angalau miaka zaidi ya 5 hivi
 
Mtaalamu Wa Finishing kali zenye viwango vya juu vya ubora ....nipo DSM na mikoani nafika

Tunashughulika na Yafuatayo

[emoji3502] UREMBO WA KISASA

[emoji3502]PLASTA ZA KISASA

[emoji3502]SKIMING NA RANGI

[emoji3502]TILES

[emoji3502]USIMAMIZI WA KAZI

[emoji3502]TUPO TEMEKE

[emoji830]CONT. [emoji336]0789005562

Kwa bei ya kizalendo nitafanya nyumba yako ipendeze na ivutie kwa kazi Nzuri

Na kwa sasa tuna offer

Dirisha Tsh 35,000

Kona Tsh 35,000

Nguzo Tsh 40,000

Mlango Tsh 30,000

Dining (Arch) 80,000

Arch ya nje Tsh 20,000

Skating nzima Tsh 2,000,00

Nipigie kwa namba hii 0789005562View attachment 2117514View attachment 2117516View attachment 2117517View attachment 2117513View attachment 2117515View attachment 2117519
cover_244973814_168439302147864_8830706457783532796_n.jpg
View attachment 2117518View attachment 2117520
 
Naomba msaada wenu kati ya bati za Alaf na Sunshare ipi bora. Fundi ananishauri nitumie Sunshare ila mimi napenda Alaf.
Alafu ndo lenyewe mkuu halipauku hayo mengine kanjanja tupu likiwa jipya linang'aa ila juaa kali baadas linapauka.
Huyo fundi hataki alaf kwa kuwa ni gumu kukata na kutoboa kugonga hivyo anataka hilo lingine mana ni jepesi fulani hata kukata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom