Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukienda kwa wakala wao pale Buguruni karibu na ofisi za Azam utauzuwa ALAF ogMiaka hiyo labda, hakuna tofauti kati ya bati za Alaf na sunshare
Ututumie japo kapicha! Run meter moja sasa imefika bei gani?Namshukuru Mungu nimepata bati za Alaf na kazi inaendelea. Asanteni kwa ushauri wenu
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
jana nmetoka kununua bat za ALAF n 36k pesa[emoji28][emoji28][emoji119]Ututumie japo kapicha! Run meter moja sasa imefika bei gani?
Inategemea aina ya mbao, hizi zinazovunwa kutoka miti isiyokomaaa zikinyeshewa kidogo tu ,zinapindaPole! Ungenunua hata kwa wakala kiwandani frst priorty kwao ni mawakala! Mbao hata zikirowa kwa muda mfup hakuna shida.
Run meter moja? Kwa bati aina gani?jana nmetoka kununua bat za ALAF n 36k pesa[emoji28][emoji28][emoji119]
Tumia ALAFNaomba msaada wenu kati ya bati za Alaf na Sunshare ipi bora. Fundi ananishauri nitumie Sunshare ila mimi napenda Alaf.
Bei sh ngapi pice moja gej 30 migongo mipana?Tumia ALAF
Kuhusu bei mkuu wanauza kwa mita bora kwenda kiwandani.Bei sh ngapi pice moja gej 30 migongo mipana?
Hakuna kama ALAF mkuuMbona Kama siku hizi hazing"ai kivileeee??
Pia hutoka ALAFKiboko yatafaa
Weka bati la kiboko mkuuMm Niko njia panda naambiwa bati za Alaf ndio bora sana nataka nipaue ila bei ya alaf ipo juu sasa sijui nivute subra niongezee hela ili ninue alafu ,maana naambia mengine yanapauka