Nifah nimekuona uko ' online ' upesi sana tunakuomba majibu yako ya Kutukuka juu ya haya maswali

Stori/thread inamuhusu Nifah sasa watu wanaleta mambo ya forex inahusu?!

Kwenye kila Kijiji Wachawi / Wanga huwa hawakosekani Mkuu. Halafu ukiona Watu wanaacha Kujadili mada iliyopo mezani na wanahamisha ' goal post ' jua hawana tu Umasikini wa Kipato bali pia wana Umasikini wa Akili ambao Kwangu Mimi nadhani ndiyo mbaya na hatari zaidi.

Kuna ' Mijitu ' inakera na kuudhi sana Mkuu.

Cc: Nifah
 
Hanga pia ni jina la kaskazini?
 
Huyu Sasa ndo kawa celebrate
 
CHEERS!!!!!!
 
Ngoja niende insta yake nichungulie nina miezi sijamcheki na yake..

Ila mengine hapo uliyouliza mie napita.. aje ajivu yeye maana sikuyaona then..
Anatumia jina gani mkuu? Walau na Mimi nikachungulie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…