Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

Nimeenda kufungua banda la kuku nmerudi uzi unatembea hivi....duuuuh Nifah kweli kiboko

Yani vile ulikuwa unaleta habari za ma celeb na ubuyu pambeee bs huu uzi lazma wajuba wafunguke sana ya mioyoni mwao...!!

Leo utakula sana vichambo kutoka kwa vibungo na feminist yani wewe na dada ASHA_DII wa jamii ya twitter mnamaliza mwka mkiwa

Kwenye flow inayofanana

Sent from Hisense Smart Tv
 
Mimi Raia mwema napambana sana jamaa Maghayo aache bange yeye pamoja na genge lake kwani madhara yake ni makubwa kwa members humu.

Cheki mfano hapo chini Ghayo's gang wakiingia Jf baada ya kushambulia vipisi vya bange , Bora hata dronedrake Bakari Nondo yake haikeri members humu.View attachment 2858733
Hahahahaha!. Nimecheka sana Mkuu.
 
Nimeenda kufungua banda la kuku nmerudi uzi unatembea hivi....duuuuh Nifah kweli kiboko

Yani vile ulikuwa unaleta habari za ma celeb na ubuyu pambeee bs huu uzi lazma wajuba wafunguke sana ya mioyoni mwao...!!

Leo utakula sana vichambo kutoka kwa vibungo na feminist yani wewe na dada ASHA_DII wa jamii ya twitter mnamaliza mwka mkiwa

Kwenye flow inatofanana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Asha Dii amefanyaje?
 
Wote wajuaji, the bold mjuaji na wewe mjuaji.
Ilikua ni suala la muda tu.
Ahahahaha....wote wanakikuta majasusi!? 😂😂😂.
Ila she is strong kwakwel. Kwakwel na declare interest leo kwamba Nifah Ume qualify kuwa mleta ubuyu mwenye quality unbiased standard..unoko wa watu unatuletea na wakwako umetuwekea, tuseme nini tena?
 
Nimeenda kufungua banda la kuku nmerudi uzi unatembea hivi....duuuuh Nifah kweli kiboko

Yani vile ulikuwa unaleta habari za ma celeb na ubuyu pambeee bs huu uzi lazma wajuba wafunguke sana ya mioyoni mwao...!!

Leo utakula sana vichambo kutoka kwa vibungo na feminist yani wewe na dada ASHA_DII wa jamii ya twitter mnamaliza mwka mkiwa

Kwenye flow inatofanana.

Sent using Jamii Forums mobile app
😂🤣🤣 wewe unaogopa kumtaja Binti unayemzimia😂
 
Break up: mwezi August.

Press release: kuelekea sikukuu ya mwaka mpya (January) 😄

Mleta mada hebu subiri kwanza January iishe afu ndipo utukumbushe hii 'public notice' yako. Kwasasa tunaipuuza kwanza. 😎

-Kaveli-
 
Back
Top Bottom