Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Humu bila ku Cc. wanaona bado hawa japendana kumbe wanatengeneza uadui.Kwanza ujasiri huu wa kuweka mahusiano Yao wazi wanatoaga wapi,Sijawahi kuamini kama ukiwa na mahusiano na mtu ni lazima muonyeshe watu Kuwa mnapendana
utakuta hata wazazi hawajuiWazazi wakae na vijana chini
Hahahahaha!. Nimecheka sana Mkuu.Mimi Raia mwema napambana sana jamaa Maghayo aache bange yeye pamoja na genge lake kwani madhara yake ni makubwa kwa members humu.
Cheki mfano hapo chini Ghayo's gang wakiingia Jf baada ya kushambulia vipisi vya bange , Bora hata dronedrake Bakari Nondo yake haikeri members humu.View attachment 2858733
pm nimeshawaachia wenyewemwenyewe, ukizama PM umekwisha
Ndo inavyokuaga.. Aibu sasa afanyaje, hana namnasio kwa huyo jaman,nilikuwa nampenda sana yule bidada
Nimeenda kufungua banda la kuku nmerudi uzi unatembea hivi....duuuuh Nifah kweli kiboko
Yani vile ulikuwa unaleta habari za ma celeb na ubuyu pambeee bs huu uzi lazma wajuba wafunguke sana ya mioyoni mwao...!!
Leo utakula sana vichambo kutoka kwa vibungo na feminist yani wewe na dada ASHA_DII wa jamii ya twitter mnamaliza mwka mkiwa
Kwenye flow inatofanana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahaha....wote wanakikuta majasusi!? 😂😂😂.Wote wajuaji, the bold mjuaji na wewe mjuaji.
Ilikua ni suala la muda tu.
Mimi nilipo ona karejea kwa mara nyingine Jf nilijua mahusiano yao yanapumulia mashine.Kumbe ndio maana unapost sana jukwaani. Nimefahamu ni stress za kuachwa. Pole sana.
Huu uzi umekua mfanoMahusiano ya humu you gotta be tricky, just that..tricky!!
Dr. Bhana[emoji28][emoji28][emoji28]
Wewe una mrefu sana humu...
Kila anachozungumziaga hujawahi kukielewa tu.. na mbona kipo wazi sana[emoji1]
😂🤣🤣 wewe unaogopa kumtaja Binti unayemzimia😂Nimeenda kufungua banda la kuku nmerudi uzi unatembea hivi....duuuuh Nifah kweli kiboko
Yani vile ulikuwa unaleta habari za ma celeb na ubuyu pambeee bs huu uzi lazma wajuba wafunguke sana ya mioyoni mwao...!!
Leo utakula sana vichambo kutoka kwa vibungo na feminist yani wewe na dada ASHA_DII wa jamii ya twitter mnamaliza mwka mkiwa
Kwenye flow inatofanana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa husda nyingi sana na kufanya hivo inabid ujihakikishie kuwa ni wako wa maishaHumu bila ku Cc. wanaona bado hawa japendana kumbe wanatengeneza uadui.
🤣🤣🤣 tena bila hofuAhahahaha....wote wanakikuta majasusi!? 😂😂😂.
Ila she is strong kwakwel. Kwakwel na declare interest leo kwamba Nifah Ume qualify kuwa mleta ubuyu mwenye quality unbiased standard..unoko wa watu unatuletea na wakwako umetuwekea, tuseme nini tena?
Na hii nyengine?We nae umezidi ujuaji.
😂😂😂Hiyo miaka miwili kwani tulifikaaa😄💔