ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Kati huwezi kuniweka, wewe upo huko mimi huku unaniwekajeUNaonaje nikuweke kati?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kati huwezi kuniweka, wewe upo huko mimi huku unaniwekajeUNaonaje nikuweke kati?
Kumbe humu ndani watu mko serious hivi? SikujuaView attachment 2858656
Mapenzi kama yalivyo mambo mengine yana mwanzo na mwisho pia. Ni wachache waliobarikiwa na wenye bahati katika mapenzi huishia pamoja kwa kudumu milele hadi kifo kuwatenganisha, Huku wengi wakiishia njiani na hakuna ubaya katika hilo. Ndio maisha na mapenzi…. Ni safari isiyotabirika.
Miaka kadhaa iliyopita nilipata kuingia katika mapenzi yaliyofahamika na wengi hapa jamvini.
Hivyo basi, kwa kuwa mapenzi yale hayapo tena, imeniwia vyema kurudi tena hapa kuweka hilo wazi.
Tulikuwa na malengo ya kufika mbali, lakini kutokana na kutofautiana katika mambo mengi tulishindwa hata kufikia hatua za kuyarasimisha mahusiano yetu kuwa halali.
Tulitengana rasmi mwezi August mwaka huu 2023, na kutokana na hilo pengine huenda yakawa ndio mahusiano yangu ya mwisho kuyaweka wazi.
Mapenzi ya wazi hapa yamenipa wakati mgumu kujibu mamia ya wanachama waliokuwa wakihoji endapo bado tupo pamoja, na ndio sababu kuu naweka uzi huu kuwafahamisha wote kwa pamoja, hatupo tena katika mahusiano.
Tumeachana kwa amani, na kwa dhati kabisa namtakia kheri katika maisha mapya bila ya uwepo wangu kwa aliyekuwa mwenzangu.
Nifah
Naona kabisa🤣🤣 sio b tu anauliza eti b halafu jina linashushwa hapo.😂😂😂 kwamba hamuonagi? b.. b..??
mwenyewe, ukizama PM umekwishaKumbe ndio mama kizimkazi
Kipenzi changu nakutafuta ..haurespond[emoji17][emoji17][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aisee tatizo kubwa
Alinishawishi sana nirudiane na x-wangu ambaye kimtindo nilikuwa najuta kuachana nae coz mm ndio niliyezingua, kwaiyo kama wameachana atakuwa kazingua sana😁aisee inaonekana unaufuatilia huu mtanange kwa umakini sana walah
Ikiwa swimming pool tutaweka maji tuogelee kwa raha zetu.Kama wewe mwanamke hio miaka 2 hio mbususu jamaa si atakuwa kishaifanya iwe swimming pool tena🤣🤣
Binti inaonekana alikua kwenye mahusiano na jamaa wawili (ama zaidi) inawezekana mkuu The Bold akasanukaNifar, nakumbuka ulisema kwa mwaka huu kitu ulichofanikiwa nikurudiana na mpenzi wako mliyotenga kwa muda.
Swali; ndio huyo mliyoachana? Nijibu pls.
nimeshangaa coz niffah ni id ya zamanisana ..so mostly lazima au mshangazi kama mimi...au basi under 25 kama weweDah 😂
mapenzi shoga angu acha tuKwakweli [emoji2][emoji2].. Hivi inakuwaga aje mpaka watu wanajua Kama mnadate, au Mimi ndo mshamba wa mapenzi??. Maana naona kinachoumizaga ni Ile aibu watu wanatuonaje na vitu Kama hivyo [emoji848][emoji848]
watabiri wa hali ya hewa mmeanzaaBinti inaonekana alikua kwenye mahusiano na jamaa wawili (ama zaidi) inawezekana mkuu The Bold akasanuka
Kwa jema unaanza kumtaja mwenzako then unamalizia na wewe, kwa baya unaanza na wewe unamalizia na mwenzako.Hivi Kiswahili sahihi ni ipi? Kutanguliza kujitaja wewe kisha mwenzako ama kumtaja mwenzako kisha wewe?
Anyway, ni jambo jema. Kila la kheri katika mahusiano mengine mapya. Mungu akusimamie.
Mwanangu pombe za New Year hizo zinatoa ya moyoni😂Muachane Agost , ukae kimya mpaka msimu huu wa sikukuu?
Kawaida msimu wa sikukuu wanawake huwa hatar Sana.
Unasalimiwa na pacha wako Mufti kuku The InfinityMimi Raia mwema napambana sana jamaa Maghayo aache bange yeye pamoja na genge lake kwani madhara yake ni makubwa kwa members humu.
Cheki mfano hapo chini Ghayo's gang wakiingia Jf baada ya kushambulia vipisi vya bange , Bora hata dronedrake Bakari Nondo yake haikeri members humu.View attachment 2858733
Dr. Bhana[emoji28][emoji28][emoji28]Nifah sini juzi tu hapa nimekusoma mahali ukisema mapenzi na baby wako uliyerudiana nae yamekolea ama??[emoji3061]
Au ndio kusema ulikua unaongelea mapya ambayo hutoyaweka wazi....??[emoji54][emoji851]
hivi na mimi nimeanza kuwa mbea eehWeee usiniambie [emoji2][emoji2]