Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Imbecile naona umerudi jukwaani. 🤣Pumbavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imbecile naona umerudi jukwaani. 🤣Pumbavu
[emoji1787][emoji1787]mliishia mieziHiyo miaka miwili kwani tulifikaaa[emoji1][emoji174]
Ahahahahahah....hujui mitandao huu wa huku anaweza akawa ndio huko huko ulipo ?Kati huwezi kuniweka, wewe upo huko mimi huku unaniwekaje
That’s it.Mahusiano ya humu you gotta be tricky, just that..tricky!!
utaukimbia tu huu uzi tulia🤣Ikiwa swimming pool tutaweka maji tuogelee kwa raha zetu.
Tunajadili mjadala kulingana na mada zilizopo mezani mkuuwatabiri wa hali ya hewa mmeanzaa
Dah dunia hii 🤣🤣😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😇😅Mimi Raia mwema napambana sana jamaa Maghayo aache bange yeye pamoja na genge lake kwani madhara yake ni makubwa kwa members humu.
Cheki mfano hapo chini Ghayo's gang wakiingia Jf baada ya kushambulia vipisi vya bange , Bora hata dronedrake Bakari Nondo yake haikeri members humu.View attachment 2858733
Haha😃😃Nimecheka sana hii comment
kumbe wewe sio mke wa nanilii ni utani tuThat’s it.
Ila kuna watu wanadate kweli jamani🥴
aisee ndio hivyo banaOoh no ilikua couple yangu bora ya kila mwaka, why jamani? Mapungufu yapo hakuna mkamilifu, mmeshindwa kabisa kupata suluhu🤔
Sio dhambi 😃hivi na mimi nimeanza kuwa mbea eeh
😂😂😂kumbe wewe sio mke wa nanilii ni utani tu
Ahaaa
Sikia! Wewe nitishe lkn huu uzi tutaukimbia woteutaukimbia tu huu uzi tulia🤣
eti siaminjMmmh......sad, ila bado kama siaminj
sio kwa huyo jaman,nilikuwa nampenda sana yule bidadaSio dhambi [emoji2]