Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

Kama hutajali naomba uwe mpenzi wangu tuanze safari ya kufikia lengo kuu la kuwa mume na mke, ni ombi tu
 
Ila Nifah.....
 
Sema ukweli, alikuvumilia sana, kijana wa watu. Una lipi la kueleza kwa singp maza wakipata kijana ambaye hana mtoto kama jamaa
 
Humu pipo zinapenda zenyewe zikinanga kusema au kuchamba mtu mtu atulieee tu ndio zinafurahia tena kwa kumchangia kabisa yanii utulieee tu ..Huyo mtu akijibu na ameharibu uzi bwahahahahahahahahah!
Nifah Nimeipenda Hii akili big up
 
Sasa kama Jamaa alianza kwa kupenda avatar yako kabla ya kukuona uliamini mtatoboa?
Alafu we ndo tatizo mambo ambayo ulitakiwa kuyamaliza huko faragha na muachane kwa amani unakimbilia ku publish we ni mwanamke unaependa drama huwezi kutunza siri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…