Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana


Weeeee uzi wa kufungia mwaka [emoji23][emoji23]
 
Dr Restart kakupa like, mzee mbeya huyo
 
Very bright of you

Wengi wakiachana husihia kuchafuana na kulaumiana.
Umeweka wazi hapa kuwa mmeachana. Na anayeumia sana nyie kuachana akasaka sababu ni vyema akaja inbobo kuliko kukulazimisha kumwaga siri za sirini hadharani

Kudos

Demi mimi nawe tufike wapi ili unielewe
 
😂😂😂
Njoo kunywa maji mpenzi
Maana nimesoma haraka haraka mpaka nimepaliwa
Mdogo wake Zai😆
Anyway 2024 tuanze na mapya, halafu urudi kule uswekeni, kupelekwa salon bas ndo unahara kila sehem, ungeenda hata Glamour hair si makao makuu ya JF yangefungwa🚮
Ptyuuu
 
the bold demu wa mjini asingemuweza,wasimbe mambo mengi sana.
 
Shida ya wanawake wa Jf bwana ujuaji, kujikuta much know...kujikuta wana connection, kujikuta wana maisha ya juu.
Utasikia nina project hapa nasogeza hebu kama kuna 5m isio na mashart assist me, hahaa 5m unaitaja kama pedi iliyoko dukani kwa Mangi acheni ushamba.

Halafu acheni tabia ya kuanzisha magaroup mnatu add, kisha mnatuuzia kei kila mmoja wetu inbox.

Yale magroup yaliyo anzishwa humu na admins ni wanawake nadhani mnayajua.

Am out
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…