Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

Angekuwa bingwa kichwa yake ingekuwa inachaji [emoji706]
History sio vishazi wala kukariri formula za physics

Kila siku maushuzi tu yasiokwisha kunuka inahuu?

Ifike muda akafie mbele na penzi lake. Smart this Smart that.. kwa kipi?
Kitu gani asichoridhika nacho akaendelea mbele na maisha yake? Hakazwi?? Ama alisikia Smart nje kahonga nn ndo bado anakisumbukia? Uchungu gani usiomuisha siku zote hizo toka amepumzishwa mpaka sahiv anapashwa?

Toka mwaka jana mambo ni kurise na kufall [emoji23][emoji23] jamani!! Em basi atumie free time zake kujifunza namna ya kucreate content mpya, mwakani hatutaki ma ujinga yake ya kufosi kufit kila topic.

Woiyee
Happy new year pals.
Sorryn bana. Dah [emoji1787][emoji23][emoji23]

Weeeee uzi wa kufungia mwaka [emoji23][emoji23]
 
Angekuwa bingwa kichwa yake ingekuwa inachaji 🚮
History sio vishazi wala kukariri formula za physics

Kila siku maushuzi tu yasiokwisha kunuka inahuu?

Ifike muda akafie mbele na penzi lake. Smart this Smart that.. kwa kipi?
Kitu gani asichoridhika nacho akaendelea mbele na maisha yake? Hakazwi?? Ama alisikia Smart nje kahonga nn ndo bado anakisumbukia? Uchungu gani usiomuisha siku zote hizo toka amepumzishwa mpaka sahiv anapashwa?

Toka mwaka jana mambo ni kurise na kufall 😂😂 jamani!! Em basi atumie free time zake kujifunza namna ya kucreate content mpya, mwakani hatutaki ma ujinga yake ya kufosi kufit kila topic.

Woiyee
Happy new year pals.
Sorryn bana. Dah 🤣😂😂
Dr Restart kakupa like, mzee mbeya huyo
 
View attachment 2858656

Mapenzi kama yalivyo mambo mengine yana mwanzo na mwisho pia. Ni wachache waliobarikiwa na wenye bahati katika mapenzi huishia pamoja kwa kudumu milele hadi kifo kuwatenganisha, Huku wengi wakiishia njiani na hakuna ubaya katika hilo. Ndio maisha na mapenzi…. Ni safari isiyotabirika.

Miaka kadhaa iliyopita nilipata kuingia katika mapenzi yaliyofahamika na wengi hapa jamvini.
Hivyo basi, kwa kuwa mapenzi yale hayapo tena, imeniwia vyema kurudi tena hapa kuweka hilo wazi.

Tulikuwa na malengo ya kufika mbali, lakini kutokana na kutofautiana katika mambo mengi tulishindwa hata kufikia hatua za kuyarasimisha mahusiano yetu kuwa halali.

Tulitengana rasmi mwezi August mwaka huu 2023, na kutokana na hilo pengine huenda yakawa ndio mahusiano yangu ya mwisho kuyaweka wazi.

Mapenzi ya wazi hapa yamenipa wakati mgumu kujibu mamia ya wanachama waliokuwa wakihoji endapo bado tupo pamoja, na ndio sababu kuu naweka uzi huu kuwafahamisha wote kwa pamoja, hatupo tena katika mahusiano.

Tumeachana kwa amani, na kwa dhati kabisa namtakia kheri katika maisha mapya bila ya uwepo wangu kwa aliyekuwa mwenzangu.

Nifah
Very bright of you

Wengi wakiachana husihia kuchafuana na kulaumiana.
Umeweka wazi hapa kuwa mmeachana. Na anayeumia sana nyie kuachana akasaka sababu ni vyema akaja inbobo kuliko kukulazimisha kumwaga siri za sirini hadharani

Kudos

Demi mimi nawe tufike wapi ili unielewe
 
Angekuwa bingwa kichwa yake ingekuwa inachaji 🚮
History sio vishazi wala kukariri formula za physics

Kila siku maushuzi tu yasiokwisha kunuka inahuu?

Ifike muda akafie mbele na penzi lake. Smart this Smart that.. kwa kipi?
Kitu gani asichoridhika nacho akaendelea mbele na maisha yake? Hakazwi?? Ama alisikia Smart nje kahonga nn ndo bado anakisumbukia? Uchungu gani usiomuisha siku zote hizo toka amepumzishwa mpaka sahiv anapashwa?

Toka mwaka jana mambo ni kurise na kufall 😂😂 jamani!! Em basi atumie free time zake kujifunza namna ya kucreate content mpya, mwakani hatutaki ma ujinga yake ya kufosi kufit kila topic.

Woiyee
Happy new year pals.
Sorryn bana. Dah 🤣😂😂
😂😂😂
Njoo kunywa maji mpenzi
Maana nimesoma haraka haraka mpaka nimepaliwa
Mdogo wake Zai😆
Anyway 2024 tuanze na mapya, halafu urudi kule uswekeni, kupelekwa salon bas ndo unahara kila sehem, ungeenda hata Glamour hair si makao makuu ya JF yangefungwa🚮
Ptyuuu
 
View attachment 2858656

Mapenzi kama yalivyo mambo mengine yana mwanzo na mwisho pia. Ni wachache waliobarikiwa na wenye bahati katika mapenzi huishia pamoja kwa kudumu milele hadi kifo kuwatenganisha, Huku wengi wakiishia njiani na hakuna ubaya katika hilo. Ndio maisha na mapenzi…. Ni safari isiyotabirika.

Miaka kadhaa iliyopita nilipata kuingia katika mapenzi yaliyofahamika na wengi hapa jamvini.
Hivyo basi, kwa kuwa mapenzi yale hayapo tena, imeniwia vyema kurudi tena hapa kuweka hilo wazi.

Tulikuwa na malengo ya kufika mbali, lakini kutokana na kutofautiana katika mambo mengi tulishindwa hata kufikia hatua za kuyarasimisha mahusiano yetu kuwa halali.

Tulitengana rasmi mwezi August mwaka huu 2023, na kutokana na hilo pengine huenda yakawa ndio mahusiano yangu ya mwisho kuyaweka wazi.

Mapenzi ya wazi hapa yamenipa wakati mgumu kujibu mamia ya wanachama waliokuwa wakihoji endapo bado tupo pamoja, na ndio sababu kuu naweka uzi huu kuwafahamisha wote kwa pamoja, hatupo tena katika mahusiano.

Tumeachana kwa amani, na kwa dhati kabisa namtakia kheri katika maisha mapya bila ya uwepo wangu kwa aliyekuwa mwenzangu.

Nifah
the bold demu wa mjini asingemuweza,wasimbe mambo mengi sana.
 
Shida ya wanawake wa Jf bwana ujuaji, kujikuta much know...kujikuta wana connection, kujikuta wana maisha ya juu.
Utasikia nina project hapa nasogeza hebu kama kuna 5m isio na mashart assist me, hahaa 5m unaitaja kama pedi iliyoko dukani kwa Mangi acheni ushamba.

Halafu acheni tabia ya kuanzisha magaroup mnatu add, kisha mnatuuzia kei kila mmoja wetu inbox.

Yale magroup yaliyo anzishwa humu na admins ni wanawake nadhani mnayajua.

Am out
 
Back
Top Bottom