Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Angekuwa bingwa kichwa yake ingekuwa inachaji [emoji706]
History sio vishazi wala kukariri formula za physics
Kila siku maushuzi tu yasiokwisha kunuka inahuu?
Ifike muda akafie mbele na penzi lake. Smart this Smart that.. kwa kipi?
Kitu gani asichoridhika nacho akaendelea mbele na maisha yake? Hakazwi?? Ama alisikia Smart nje kahonga nn ndo bado anakisumbukia? Uchungu gani usiomuisha siku zote hizo toka amepumzishwa mpaka sahiv anapashwa?
Toka mwaka jana mambo ni kurise na kufall [emoji23][emoji23] jamani!! Em basi atumie free time zake kujifunza namna ya kucreate content mpya, mwakani hatutaki ma ujinga yake ya kufosi kufit kila topic.
Woiyee
Happy new year pals.
Sorryn bana. Dah [emoji1787][emoji23][emoji23]
Weeeee uzi wa kufungia mwaka [emoji23][emoji23]