Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

Acha unaa mkuu! Unatuharibia
Unaa upi? Nimempa ushauri kwasababu ana tabia njema na anahitaji mwanaume mwema wa shoka, atakayemuongoza na kumlinda.
Akiwa na haraka hatampata kabisa na anaweza kuwa single mom.
Kuna wanaume huwa wanawapeleka wanawake katika wrong direction na wapo wanaowapeleka katika right direction ( ndoa, kujenga familia).
 
Naona wakwe,ndugu upande wa kike na kiume tumepewa taarifa.

I love JF.🤣
 
Mdogo wangu 🤣🤣🤣😊
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…