Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwa nini hukutujulisha mapema?Mbona wengine tulistuka zamani ni ID mbili klakini mtu mmoja tu
Unataka kusema The Bolt ana zile tabia za kike tunazokataa humu?Mbona wengine tulistuka zamani ni ID mbili klakini mtu mmoja tu.
Ni vyema mapenzi feki umeuwa ki feki feki.
😂😂😂 mtoa ushauri mbona kama umeshachelewa 🤭Ni wakati wa kutulia sasa, usiingie kwenye mahusiano mapya haraka haraka, mapenzi ya kweli hayahitaji haraka, nakuombea upate mtu mwingine aliye bora ambaye mtafunga pingu za maisha na kutengeneza kizazi kijacho.
Naona wakwe ndugu upande wa kike na kiume tumepewa taarifa.
Unaa upi? Nimempa ushauri kwasababu ana tabia njema na anahitaji mwanaume mwema wa shoka, atakayemuongoza na kumlinda.Acha unaa mkuu! Unatuharibia
Nimechelewa nini tena? Niambie.😂😂😂 mtoa ushauri mbona kama umeshachelewa 🤭
😂😂😂UmekaririHivi Kiswahili sahihi ni ipi? Kutanguliza kujitaja wewe kisha mwenzako ama kumtaja mwenzako kisha wewe?
Anyway, ni jambo jema. Kila la kheri katika mahusiano mengine mapya. Mungu akusimamie.
ila wabongo kwa maneno.... hahah I see.Maana yake jimbo liko wazi, Haya ngoja tuwashe chopa zetu tuje kupiga kampeni huko uchaguzi mdogo!!
Naona wakwe,ndugu upande wa kike na kiume tumepewa taarifa.View attachment 2858656
Mapenzi kama yalivyo mambo mengine yana mwanzo na mwisho pia. Ni wachache waliobarikiwa na wenye bahati katika mapenzi huishia pamoja kwa kudumu milele hadi kifo kuwatenganisha, Huku wengi wakiishia njiani na hakuna ubaya katika hilo. Ndio maisha na mapenzi…. Ni safari isiyotabirika.
Miaka kadhaa iliyopita nilipata kuingia katika mapenzi yaliyofahamika na wengi hapa jamvini.
Hivyo basi, kwa kuwa mapenzi yale hayapo tena, imeniwia vyema kurudi tena hapa kuweka hilo wazi.
Tulikuwa na malengo ya kufika mbali, lakini kutokana na kutofautiana katika mambo mengi tulishindwa hata kufikia hatua za kuyarasimisha mahusiano yetu kuwa halali.
Tulitengana rasmi mwezi August mwaka huu 2023, na kutokana na hilo pengine huenda yakawa ndio mahusiano yangu ya mwisho kuyaweka wazi.
Mapenzi ya wazi hapa yamenipa wakati mgumu kujibu mamia ya wanachama waliokuwa wakihoji endapo bado tupo pamoja, na ndio sababu kuu naweka uzi huu kuwafahamisha wote kwa pamoja, hatupo tena katika mahusiano.
Tumeachana kwa amani, na kwa dhati kabisa namtakia kheri katika maisha mapya bila ya uwepo wangu kwa aliyekuwa mwenzangu.
Nifah
Nieleweshe Madam.😂😂😂Umekariri
Kwani walikuwa wanandoa?
Yaelekea unahudhuria harusi nyingi huko uliko👁️
Mdogo wangu 🤣🤣🤣😊View attachment 2858656
Mapenzi kama yalivyo mambo mengine yana mwanzo na mwisho pia. Ni wachache waliobarikiwa na wenye bahati katika mapenzi huishia pamoja kwa kudumu milele hadi kifo kuwatenganisha, Huku wengi wakiishia njiani na hakuna ubaya katika hilo. Ndio maisha na mapenzi…. Ni safari isiyotabirika.
Miaka kadhaa iliyopita nilipata kuingia katika mapenzi yaliyofahamika na wengi hapa jamvini.
Hivyo basi, kwa kuwa mapenzi yale hayapo tena, imeniwia vyema kurudi tena hapa kuweka hilo wazi.
Tulikuwa na malengo ya kufika mbali, lakini kutokana na kutofautiana katika mambo mengi tulishindwa hata kufikia hatua za kuyarasimisha mahusiano yetu kuwa halali.
Tulitengana rasmi mwezi August mwaka huu 2023, na kutokana na hilo pengine huenda yakawa ndio mahusiano yangu ya mwisho kuyaweka wazi.
Mapenzi ya wazi hapa yamenipa wakati mgumu kujibu mamia ya wanachama waliokuwa wakihoji endapo bado tupo pamoja, na ndio sababu kuu naweka uzi huu kuwafahamisha wote kwa pamoja, hatupo tena katika mahusiano.
Tumeachana kwa amani, na kwa dhati kabisa namtakia kheri katika maisha mapya bila ya uwepo wangu kwa aliyekuwa mwenzangu.
Nifah
[emoji23][emoji23][emoji23] kumbe watu washanyamua mzigo[emoji23][emoji23][emoji23] mtoa ushauri mbona kama umeshachelewa [emoji2960]