Uangalie. Palipo na issue ya mapenzi au Hamas hakosiWe nae umezidi ujuaji.
Halafu ana jifanya hapendi vurugu😂😀Dr Restart kakupa like, mzee mbeya huyo
Kishazi huru na kishazi tegemezi😂Inafu is inafu.
Kuna dogo anaitwa mshamba_hachekwi unammudu?Kishazi huru na kishazi tegemezi😂
Ndio uzunguke kama Vasco Da Gama😆
Ms eyes nini tena? Kuna kiashilia cha ukweli?Au yule alokuwa analalamika sijui manini ya mtu wake yamekuwa kama ndara za lodge🤣🤣🤣🤣
😂😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We don't want peace...
Darlin size yangu mkuu
😂😂😂namkunja kwenye kwapa
Hapana Mkuu.Nifar, nakumbuka ulisema kwa mwaka huu kitu ulichofanikiwa nikurudiana na mpenzi wako mliyotenga kwa muda.
Swali; ndio huyo mliyoachana? Nijibu pls.
😂 ni haya mafataki ya wenye mtandao wao, pole na mapenzi dada!😁Kwani umeona kibwengo mwenzetu? 🤣🤣
Shida ya wanawake wa Jf bwana ujuaji, kujikuta much know...kujikuta wana connection, kujikuta wana maisha ya juu.
Utasikia nina project hapa nasogeza hebu kama kuna 5m isio na mashart assist me, hahaa 5m unaitaja kama pedi iliyoko dukani kwa Mangi acheni ushamba.
Halafu acheni tabia ya kuanzisha magaroup mnatu add, kisha mnatuuzia kei kila mmoja wetu inbox.
Yale magroup yaliyo anzishwa humu na admins ni wanawake nadhani mnayajua.
Am out
😀😀😀Nachukua nondo hapa kutoka Kwa wataalamu wa mapenzi 😂😂😂😀
Leo umechangamka sana, hii sio bure.
Mnapendana? Nae akae 4 years bila ndoa akuachie tu zawadi ya kua single mazaKwahiyo unanishaurije? 🤣🤣🤣
Huyu wa sasa nimpe sharti hilo?
Ila mi sipendi kufosi, aamue mwenyewe. Kwakuwa tunapendana am good.
😂😂😂 mwenzanguWeeeee uzi wa kufungia mwaka
🤣🤣DahAu yule alokuwa analalamika sijui manini ya mtu wake yamekuwa kama ndara za lodge🤣🤣🤣🤣