Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana


Afu Tunapenda sie ndo tusikilizwe sasa habari zangu ziwe zakweli zako za uongo na wakati watu wanatufahamu kuliko hata tunavojifahamu humu


Nifah kwahii akili ameupiga mwingi!
 
Kwahiyo unanishaurije? 🤣🤣🤣
Huyu wa sasa nimpe sharti hilo?

Ila mi sipendi kufosi, aamue mwenyewe. Kwakuwa tunapendana am good.
Mnapendana? Nae akae 4 years bila ndoa akuachie tu zawadi ya kua single maza

Uwe single maza kwa wanaume wawili?
Labda kama wewe ndo una matatizo wanashindwa kukuoa

lkn kama upo sawa, 2024 usiishe bila ndoa cz mnazeeka 30's hamna utoto wakuganda kwenye uchumba

Wewe ni mzuri sanaaaa, nilivyokuona hadi mimi nilichanganyikiwa sembuse mwanaume.

NB: Sijawahi kuolewa, Sio mshauri wa Ndoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…