[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa hivi anaona kila mtu anamuibia [emoji23][emoji23][emoji23] ndio maana kila uzi [emoji23][emoji23]
Nuzu kidogo kidogo😀😀, sitaki upotee😀🏃Si bure ana kichaa
Shindwa pepo 😂😂😂,, tunataka tuamke nao 2024 huu uzi😃Uz huu sijui kama utauona mwaka
Vipi tena? Umeshapiga kamnyweso?Sasa si ukae kando
Unaropoka nini mtoa dawa wa Taifa
Aisee, hatimaye Ume kukolea 😀😂Kwakweli hao wa kupandana kichwani ni kuwafungia tu mwaka hakuna namna😂😂🤒
Mahondaw alipotelea wapi yule Kiumbe?Ni kama ilishaandikwa humu juu yenu kuachana.. kila nikikusoma nakuona upo bado ila hauko naye tena kimapenzi.
Mlivuma kama mwenzako Mahondwa or so..
Maisha yaendelee.. [emoji847]
🤣🤣🤣🤣kupigwa chini ni kupigwa chini tu!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nakuheshimu...
Nimekuelewa kipenzi😁🏃🏽♀️Nuzu kidogo kidogo😀😀, sitaki upotee😀🏃
😀😀😀Ngoja tuoneShindwa pepo 😂😂😂,, tunataka tuamke nao 2024 huu uzi😃
Acha wafu waZikwe😀😂Unapinduka saa 6 na hii ndio kwanza saa Tatu 😂
Acha wafu waZikwe😀😂Unapinduka saa 6 na hii ndio kwanza saa Tatu 😂
Mi nimeongelea baadhi yetu humu kwa kujifanya wajuaji ishu za groups sijui hata kumbe kuna groups za kuuza humu doh!!!Mtu unapata faida gani kutaka kuonekana uko juuuuu, ukimkazia kidogo unaombwa hadi luku ya elf 5.
Unajiuliza huyu kasahau kwamba katutangazia maisha yake ni grade A.
Halafu huyu niffer sio admin wa lile grop kweli?
Anajidai kwao coastal ya East afrika
sasa kwanini side effects za dawa unapata wewe? Maana huelekei kutofautiana na machizigono limemuasili yeyé na linie
Ogopa kuingia kwenye shamba lililokuwa na mgogoro hapo nyuma...Kwahiyo jimbo liko wazi na Halina mgogoro ?
"Wataachana tu" washaanza kujitokeza [emoji847][emoji125]Wote wajuaji, the bold mjuaji na wewe mjuaji.
Ilikua ni suala la muda tu.
Unamaanisha kwamba alishampa staili zote unazozijua duniani kwa hio unapoingia ingia na akili zakoWeka wazi kwa wageni humu Nifah kuwa mna mtoto nae... Na mtaendelea kumlea pamoja....
Ili anaengia mchezoni atambue mapema kuwa yuko nyuma kwa 1-0 kabla mechi haijaanza!
Kwa hiyo unataka mwenzako apange msururu hapa kila mtu aujue🤣🤣, bora akawa na privacy tu manakeeee..Lakini kuhusu kuweka wazi huyu wa sasa ulituahidi mwenyewe mkuu, usighairi ahadi ni deni, ikitokea umeachana na huyu wa sasa huyo mwingine ndio usiweke wazi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sawa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kupigwa chini ni kupigwa chini tu!!
Love you more 💓💓, sema enjoy 😀😂.Nimekuelewa kipenzi😁