Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

Shemela si ungekausha tu, HivI vile umekuja na uzi inaonekana anayeumia ni wewe huku mtaalamu bold Yuko katulia zake na manzi mwingine kimya Wala Hana habari.
 
Kwa hiyo unataka mwenzako apange msururu hapa kila mtu aujue[emoji1787][emoji1787], bora akawa na privacy tu manakeeee..
Haha hapana huyu wa sasa alisema mwenyewe kwamba kuna siku atamuweka wazi, sasa naona leo anakuja na habari za kutokuweka tena wazi mahusiano yake, ndio nataka nijue je hili tamko linajumuisha na huyu wa sasa au watakaofuata
 
Hii taarifa najua ni ya kuhuzunisha ila haya mafataki ya mwaka mpya yanafanya nashindwa kucatch feelings[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Ila mods imagine mtu anatoa taarifa ya kifo halafu ndo haya mafataki yamekakamaaa

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kiukweli kabisa...jf sio sehemu ya kuweka mambo yako sio ya mahusiano tu hata mengine yahusuyo maisha binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…